Leo naomba nizungumze na wanawake.
Nyie wanawake baadhi yenu ni wa.pu.uzi sana. Umri ukienda ndio mnajua mnachohitaji yaani mwanaume serious mtu mzima tena mnatambua hilo baada ya kuchezewa sana sana na masharobaro na mabraza meni.
Mnapokuwa katika umri mzuri na mna mvuto mnakuwaga na nyodo za kipuuzi na dharau kwa wanaume ambao wanakuja kuwaonesha nia ya dhati ya kuwaoa.
Tena bila kutumia akili mnawadharau wanaume watafutaji na wenye umri 30+ kwa sababu ya visharobaro ambavyo kimsingi huwa vinawachezea na kuwalisha bata tu.
Eti mnasema mnakula bata. Kuleni bata tuone kama umri unasubiri. Wengine mnawa-disapoint wanaume wanaokuja kuwapenda kwa dhati kwa kuwadangia dangia na kuwachuna ili mkawafurahishe visharobaro wenu.
Sasa fainali umri ukishawatupa mkono ndo mnajishaua shaua -ooh nataka mwanaume serious, mtu mzima mwenye nia ya dhati-.
Japo si wote mpo hivyo lakini wengi ndo tabia yenu.
Mbaya zaidi ni baada ya kuolewa.
Kwa kuwa baadhi yenu mnakuwa mmeolewa for the sake of marriage only, baadhi yenu huwa bado hamja-tune akili na mawazo yenu katika ndoa na wajibu wenu ndani ya ndoa na familia. Sijui huwa kitu gani kinawatatiza au kinawakumba. Maana siku hizi nikawaida kusikia mwanamke anasema "nimeolewa tu kutoa nuksi ila kudanga kuko pale pale". Sasa kinachosikitisha zaidi ni hiki "nimeolewa tu ili mradi lakini siwezi kuachana na Joel, huku nipo kwa ajili ya ndoa tu ila mapenzi yangu yapo kwa Joel".
Sasa huo sio u.pu.u.zi ?
Mwanamke kwanza hueshimu wanaume wanaokuja kwa nia ya kukuoa kwa kuendekeza ujana usio na maana.
Mwanamke hueshimu mwanaume anaekupenda na kukuhudumia, kwa sababu ya tamaa na kuendekeza ujana unaishia kumdangia na kula na kisharobaro chako.
Mwanamke hueshimu mwanaume ambae amekuoa na badala yake unaendelea kudanga danga kwa siri au unaendelea na mahusiano na kile kisharobaro ambacho hakikuwa hata na mpango wa kukuoa. Kwanza angekuwa anakupenda sana si angekuoa ?
Japo si wote mko hivyo lakini kama uko hivyo badilika.
Mwanamke jitambue, tambua nafasi yako katika jamii, tambua unachohitaji, achana na fantasy za ujana zisizo na maana na kama ni mke basi tambua wajibu wako katika ndoa na familia yako achana mahusiano na mtu asiependa amani ya familia yako. (Mtu anaekupenda kwa dhati hawezi kukufanya um-cheat mumeo)
Nyie wanawake baadhi yenu ni wa.pu.uzi sana. Umri ukienda ndio mnajua mnachohitaji yaani mwanaume serious mtu mzima tena mnatambua hilo baada ya kuchezewa sana sana na masharobaro na mabraza meni.
Mnapokuwa katika umri mzuri na mna mvuto mnakuwaga na nyodo za kipuuzi na dharau kwa wanaume ambao wanakuja kuwaonesha nia ya dhati ya kuwaoa.
Tena bila kutumia akili mnawadharau wanaume watafutaji na wenye umri 30+ kwa sababu ya visharobaro ambavyo kimsingi huwa vinawachezea na kuwalisha bata tu.
Eti mnasema mnakula bata. Kuleni bata tuone kama umri unasubiri. Wengine mnawa-disapoint wanaume wanaokuja kuwapenda kwa dhati kwa kuwadangia dangia na kuwachuna ili mkawafurahishe visharobaro wenu.
Sasa fainali umri ukishawatupa mkono ndo mnajishaua shaua -ooh nataka mwanaume serious, mtu mzima mwenye nia ya dhati-.
Japo si wote mpo hivyo lakini wengi ndo tabia yenu.
Mbaya zaidi ni baada ya kuolewa.
Kwa kuwa baadhi yenu mnakuwa mmeolewa for the sake of marriage only, baadhi yenu huwa bado hamja-tune akili na mawazo yenu katika ndoa na wajibu wenu ndani ya ndoa na familia. Sijui huwa kitu gani kinawatatiza au kinawakumba. Maana siku hizi nikawaida kusikia mwanamke anasema "nimeolewa tu kutoa nuksi ila kudanga kuko pale pale". Sasa kinachosikitisha zaidi ni hiki "nimeolewa tu ili mradi lakini siwezi kuachana na Joel, huku nipo kwa ajili ya ndoa tu ila mapenzi yangu yapo kwa Joel".
Sasa huo sio u.pu.u.zi ?
Mwanamke kwanza hueshimu wanaume wanaokuja kwa nia ya kukuoa kwa kuendekeza ujana usio na maana.
Mwanamke hueshimu mwanaume anaekupenda na kukuhudumia, kwa sababu ya tamaa na kuendekeza ujana unaishia kumdangia na kula na kisharobaro chako.
Mwanamke hueshimu mwanaume ambae amekuoa na badala yake unaendelea kudanga danga kwa siri au unaendelea na mahusiano na kile kisharobaro ambacho hakikuwa hata na mpango wa kukuoa. Kwanza angekuwa anakupenda sana si angekuoa ?
Japo si wote mko hivyo lakini kama uko hivyo badilika.
Mwanamke jitambue, tambua nafasi yako katika jamii, tambua unachohitaji, achana na fantasy za ujana zisizo na maana na kama ni mke basi tambua wajibu wako katika ndoa na familia yako achana mahusiano na mtu asiependa amani ya familia yako. (Mtu anaekupenda kwa dhati hawezi kukufanya um-cheat mumeo)