mwanamke

  1. Hyrax

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kila mwanamke mrembo unayemuona, ana mwanaume ambaye amechoka kuwa naye kwenye mahusiano

    Take Note.
  2. Strong and Fearless

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume kulipiwa kila kitu na mwanamke ni aibu

    Jana nimetoka out with my friend wa kike, we ordered drinks and food and tulikubaliana tutashare bills, Sasa suddenly my friend wa kike akasema kuna rafiki yangu wa kiume nilisoma Nae anakuja, nikasema okay , kufika alikua ni mwnaume. Basi tumekaa pale akaorder heinken 7 na sisi we were having...
  3. Mama Ametufikia

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke kama ameshafika miaka 30 na kuendelea waachie wazee

    Kama Mwanamke ana miaka kuanzia 30 , wewe Kama Kijana huyo Mwanamke achana nae atakusumbua . Wengi hasa Tanzania wanakuwa wametumika Sana kama hajazaa ujue ameshatoa mimba n, P2 n.k Nb nazungumzia wanaotafuta ndoa
  4. Boeing787-8

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimfanyie Nini huyu Mwanamke?

    Hello, Nimekuja kwenu ndugu zangu naomba mnipe mawazo yenu, naomba mnishauri kama ndugu au rafiki yenu. Sitaficha chochote. Nilimaliza chuo miaka kama 5 iliyopita nkapata kazi private after two years kazi ikaisha. Nilifungua bihashara ikadumu mwaka mmoja then ikafilisika, baada ya hapo...
  5. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Yaani mwanamke akitaka attention ya vijana atapata tu

    Hapa hata wale waliotaka kuwahi kuondoka kwenye kikao wataendelea kusubiri tu. 🤣
  6. Hyrax

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kila mwanaume, kila mwanamke ana pair zake akikutana nazo ni rahisi sana kula au kuliwa

    Hata kama umeoa au umeolewa kuna mtu ukikutana naye huwa kuna nguvu inawakutanisha kinguvu kutokana na muingiliano wa tabia na haiba mlizonazo mnajikuta mnazama penzini tena penzi zito kweli kweli bila kujali madhara yake nje ya upeo wa fahamu zenu. Mimi wakati nimeshaoa niliwahi kukutana na...
  7. Loading failed

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wa kikristo walipieni wasichana mahari na siyo kuwalipia wanawake mahari kama mnavyofanya sasa

    Ndugu zangu. Mahari iliwekwa kwaajili ya kulipia wasichana na siyo kulipia wanawake pindi unapotaka kuoa. Ila cha kushangaza utakuta wanaume wengi wa kikristo wanakomaa kulipia wanawake mahari badala ya kulipia wasicha(binti) huku wazazi wa wanawake hao wanakaza kichwa na kutamka mapesa makubwa...
  8. Rule L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume ni kitu gani hua kinakukata stim ukikiona kwa mwanamke mkiwa mnaanza mtanange??

    Habari za wakati huu wanajamvi. Kila mtu ana matamanio yake linapokuja suala la totoz, ila hizo totoz wakati mwingine hua zinavutia kwa nje tu. Akikuvulia nguo mwili unaishiwa pawa kabisa, na kubaki na maswali kichwani tu. Ila kutokana na utomvu wa nidham wa shahawa inabidi upige tu hata...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hutakaa umuheshimu mwanamke mpaka siku utakayoshuhudia akijifungua

    Kwa hakika utaendelea kumchukulia poa mwanamke mpaka siku utakayomshudia akipitia maumivu ya kuleta mtoto duniani Ewe mwanaume ukipata fursa ya kumshudia mwanamke akijifungua mtazamo wako hautabaki kama ulivyokuwa hapo kabla Kama maneno matakatifu kutoka kwenye biblia yanavyosema kwamba...
  10. Think2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kauli ya wadada "Hutokuja kupata mwanamke kama mimi we mwanaume wewe

    Wadada hizo kauli zenu utafikiri dunia nzima kuna mwanamke mmoja 🤣🤣🤣🤣 au ndo hua mnatulaani tusipate mwingine Eti wadada mnamaanishaga nini?
  11. Brain Kingdom

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aisee Usiombe Ukutane na Mwanamke Kibonge Anajua Kusimamia na Kuikalia kwa juu na Mauno yake ya feni

    Nimekoma mimi nimekoma nimekoma vibonge sitawadharau tena, wanashoo kali sana hawa viumbe Ni hayo tu
  12. MK254

    JamiiForums Tanzania Video: Kule Iran Mwanamke amfumania mwanaume wa kidini akimchukua video hospitalini kisa hajasitiri nywele

    Hawa watu kwenye hii dini ya muarabu sijui nywele za wanawake huwapa mzuka au nyege au nini, yaani jamaa bila aibu na likanzu sijui lijoho lake anazurura hospitalini akichukua video ya kila mwanamke ambaye hajasitiri nywele. https://www.youtube.com/shorts/1PpnRkoqkqU
  13. Mfalme_wa_Nyika

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania We mwanamke mwenye kipini puani! Ulichonifanya Mungu anajua

    Yaani hawa wanawake wenye vipini jamani...alichonifanyia kijana wa watu sijui hata nianzaje kuwaelezea... Ila niseme tu vijana wenzangu wapenda maendeleo epuka wanawake wenye vipini puani... Waepuke kama kama ukoma...kilichonikuta ni masikitiko
  14. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Angalia video Hii kisha utoe hukumu kwa haki.

    Binafisi mimi nimetokea kwenye familia ya wafugaji wa mifugo karibia yote yaani mbuzi,kondoo na hata ng'ombe . kipindi tukiwa tunachunga ilikuwa ni fahari sana kulisha mazao ya wakulima tena ikitokea mkalisha na msionwe au kukutwa mtajipongeza kweli. Ukweli usiosemwa ukisikia vita ya wakulima...
  15. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kulingana na mstari huu wa Biblia mwanamke hapaswi kuajiriwa huku ameolewa

    Leo sitaki kugusia matendo ya uzinzi yanayofanywa na wake wa watu wakiwa kwenye safari za kikazi au wakiwa kazini. Ninataka nigusie zaidi suala la uwajibikaji ambao mwanamke anapaswa kuwa nao kwa mume wake. Msije mkasema siijui Biblia — nimesoma vyuo vya Biblia takribani vitatu, vikiwemo...
  16. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke asiye na marafiki wengi anaweza kuwa na sifa mbalimbali, ambazo si lazima ziwe hasi au chanya

    Mwanamke asiye na marafiki wengi anaweza kuwa na sifa mbalimbali, ambazo si lazima ziwe hasi au chanya—zinategemea muktadha wa maisha yake, tabia yake, na mazingira yanayomzunguka. Hapa kuna baadhi ya sifa zinazoweza kumtambulisha mwanamke wa aina hii: --- ### 🌿 Sifa Chanya 1. Mwenye...
  17. Abdul Said Naumanga

    JamiiForums Tanzania Botshwana: Mwanamke wa Kitanzania Ahukumiwa kwa Kosa la Kukutwa na Bhangi

    Tarehe 11 Agosti 2025, Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Broadhurst, nchini Botswana, ilitoa hukumu dhidi ya raia wa Tanzania, Emma Sezary Beda (42), baada ya kumtia hatiani kwa kosa la umiliki wa dawa za kulevya aina ya “dagga” (bhangi). Kwa mujibu wa taarifa za Jeshi la Polisi la Botswana, tukio...
  18. kadiri kasimba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke kutoa mlio ukeni wakati wa kufanya mapenzi

    Wakuu mko salama? Je Ushawahi kufanya mapenzi na mtu(ke) halafu kuna mda uke ukatoa mlio kama kujamba??? Kama ndio hiyo inaitwa Queefing (vaginal flatulence) Nini maana ya Queefing?? ni hali ambapo hewa inatoka kwenye uke na kutoa mlio unaofanana kabisa ule kabisa wa kujamba. Utajiuliza...
  19. U

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wa Saudia Noura Salem Al- Shammari ametoa figo yake moja na kumchangia mke wa pili wa mumewe Taghreed Awadh Al-Saadi.

    Mwanamke wa Saudia Noura Salem Al- Shammari ametoa figo yake moja na kumchangia mke wa pili wa mumewe Taghreed Awadh Al-Saadi, ambaye alikuwa akiteseka kwa miaka mingi baada ya figo yake kufeli.
  20. Nucky Thompson

    JamiiForums Tanzania Mwanamke akabiliwa na adhabu ya kupigwa mawe mpaka kufa baada ya kuvaa Tshirt inayomtukana Allah

    Mwanakulitafuta, Mwanakulipata Ibtissame Lachgar wa nchini Morocco anatuhumiwa kwa kuweka picha akiwa amevalia shati ambalo linauchukiza Uislamu, na kuandika maelezo ambayo pia yalikuwa yanaitukana dini hiyo kuwa Allah ni msagaji
Back
Top Bottom