NDOA INAPANGWA NA MWANAMKE SIO MWANAUME
Kauli hii inaweza kukushangaza kidogo ila ngoja nikufafanulie,
Mwanamke ndiye anaepanga ndoa na sio mwanaume, hii inamaana gani!!!
Maana yake ni kwamba wewe mwanamke kwa tabia yako njema, uvumilivu wako, huruma yako, heshima yako, utiifu wako kwa...