Huu ni utafiti wangu binafsi naomba mwenye pingamizi aje kwa comment. Asanteni
Kilio unachosikia wakati mwanamke ameumizwa au ana uchungu ndio sauti hiyo hiyo utaisikia akiwa anafanya mapenzi tofauti ni volume tu
This is very interesting for me
Nimejikuta kwenye deep love na bint mwenye ujauzito wa miezi minne.
Ila anasema mwenye mimba amekataa kwasababu alikuwa anataka mwanamke aitoe..so kwakuwa mwanamke amekataa kuitoa basi hataki mimba.
Wakuu nataka kujitolea kukilea hiki kiumbe, kinawezekana kuwa...
Ilikuwa yapata saa 7:30 usiku, baada ya umati kupungua mitaani mjini Bordeaux, ndipo Manon alipohisi kudungwa na sindano kwenye mkono wake.
“Mtu alinipiga kidogo kwenye mkono wangu wa kushoto. Nikaanza kuhisi ganzi kwenye misuli, kama vile unavyohisi baada ya kupata chanjo. Baada ya takriban...
Baada ya kuishi katika ndoa ndo nimejifunza kuwa ndoa ni sawa na mashindano ya mpira kila team inapambana ili ichukuwe point 3
Mume na mke kila mmoja anapambana ili atawale mwenzake japo kuwa watu usema kuwa mke na mtii mume wake ukiingia katika ndoa inawezekana utii uo ukauona miezi miwili...
Hedhi ni Nini Haswa?
Hedhi ni damu inayotoka kutokana na ukuta wa ndani ya mfuko wa mimba (uterus) ambao huandaliwa kila mwezi kwa ajili ya ujauzito. Endapo mimba haijatungwa, ukuta huo hubomoka na kutoka kama damu ya hedhi.
Wanawake huanza kuona hedhi wakati wa kubalehe (puberty) kati ya miaka...
Mwasisi wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Edda Sanga amesema udhalilishaji unaofanywa kwenye mitandao ya Kijamii dhidi ya Wanawake Wanasiasa, unajenga taswira kuwa Mwanamke hafai katika ngazi ya uongozi.
Amesema “Kama udhalilishaji huu unakwenda hivyo unavyokwenda, bado...
Bro, Ni kweli wanawake wapo wengi sana duniani kuliko sisi wanaume
Lakini ukifika muda wa kutafuta MKE - ndipo utagundua wanawake ni wachache mno hapa duniani
Bro, kumbuka hili:
Watoto wako hawahitaji mama mrembo, Wanahitaji mama BORA wa kuwalea, kuwaongoza, na kuwajenga kwa ajili ya kesho...
Huu ndio ukweli kila mwanaume anapaswa kuujua:
1. Hofu zako kuu.
Leo anaweza kukufariji… kesho akazitumia kama silaha dhidi yako.
2. Kiasi halisi cha salio lako la benki.
Siri = nguvu. Uwazi kamili = udhaifu.
3. Idadi ya wapenzi uliowahi kuwa nao.
Haitawahi kusaidia. Itabaki kukutesa.
4...
Aliyewahi kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ni mwanamke wa kipekee mwenye akili na maono makubwa, kiasi kwamba hajawahi kumuona mwanamke mwingine mwenye uwezo kama wake.
Akizungumza leo Juni 24, 2025, kwenye Jukwaa la...
Museveni siku hizi amelegea, makobaz ameyaachia yanaanza kuzagaa na yanamshika kidevu, hili ni tukio la pili mwanamke kujilipua bomu. Kuna lile la kwanza ambapo mwanamke na mwanaume walilipukiwa na bomu walilokusudia kutumia kulipua Wakatoliki waliokua wamekwenda kuhiji.
Halafu hili soko...
Mwanaume ni gatekeeper wa ndoa. Wakati ukifika ndie atakaemua amuoe nani kwenye orodha ya machaguo yake. Hakuna ndoa bila maamuzi ya mwanaume.
Mwanamke ni gatekeeper wa sex. Ndie anaemua afanye tendo na nani kwenye orodha ya machaguo yake. Hakuna sex bila maamuzi ya mwanamke, vinginevyo awe...
Katika tukio la kusikitisha na kuzua maswali mengi kwa jamii, mwanamke mmoja aitwaye Kangw’a Tungu Mahigi (25), mkazi wa Kijiji cha Lugubu, Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, amefariki dunia kwa kunywa sumu aina ya Ruruka 80 WDG, inayotumika kuua viwavi jeshi vinyamizi — huku pia akiwanywesha...
Naenda moja kwa moja kwenye maada.
Nina miaka 33, kabila langu (siri), kazi yangu (siri) na mkoa ninaoishi kwa sasa (siri) ingawa ni kanda ya ziwa.
Nina watoto wanne, wakiume wawili na wakike wawili pia. Watoto watatu nimepata kwa mama mmoja na mmoja nimepata kwa mama mwngine.
Mzazi mwenzangu...
Yupo Hapa kijana ana Age 30 Muathirika Anahitaji Mwanamke wa kuwa naye kimahusiano hadi ndoa
Uwe serious na mwenye kujimudu kiuchumi
Njoo Pm niwakutanishe Yupo Arusha
Nipo Salama! Salama! Sijui ninyi huko.
Sio rahisi kijana ambaye ameanza mapenzi wakati wa balehe yake akikikua akaanza kuumizwa umizwa na mapenzi. Au ukamkuta anahonga au kupelekeshwa na wanawake.
Asilimia tisini na tisa ya wanaume unaowaona wanahonga au kupelekeshwa na wanawake kwenye...
Michepuko imeheshemishwa sana siku hizi, nafasi yake ni kahaba alie changamka ila vijana wana wapa privilege.
Vijana wanaiga ngozi nyeupe kupigia magoti wala ugali wenzao.
Vijana wanababaika na matako manene kupelekea kufanya ya ajabu ajabu.
Msongo Wa Mawazo Ni Nini?
Msongo wa mawazo ni mfadhaiko wa akili anaoupata mtu kutokana na shida, taabu, dhiki, matatizo au changamoto zinazomkabili katika maisha ya kila siku.
Kwa kawaida mtu hupata msongo wa mawazo pale anaposhindwa au kukosa namna ya kukabiliana na jambo linalomsumbua...
Shirika la kijasusi la Uingereza, maarufu MI6 litaongozwa na mwanamke kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka mia moja 16 ya uhai wake.
Blaise Metreweli, aliyejiunga shirika hilo mwaka 1999, atakuwa mkuu wa 18 akichukua nafasi ya Sir Richard Moore baadaye mwaka huu.
Kwa sasa anahusika na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.