mwanamke

  1. Tundusami

    Mwanamke anayetafuta mwanaume mtandoni wengi wa athirika wa ukimwi, umri umeenda au single maza

    Kama sio mwathirika wa ukimwi uyo basi umri umeenda sana yupo 30 na kuendelea na pia ana watoto kuanzia wawili na ametelekezwa anatafuta wa kumtulia shida zake Uwezi kumkuta mwanamke yupo chini ya 30 hana changamoto ya feza na hana ukimwi akatafuta mwanaume mtandaoni
  2. Tundusami

    Adui mkubwa wa mwanamke ni UMRI

    Hakuna la kuongeza wala kupunguza apo adui mkubwa wa mwanamke ni umri
  3. G

    Mwanaume jitahidi uoe mwanamke uliyemzidi kipato zaidi ya mara mbili na kuendelea pia akili usiweke pembeni

    Ni ushauri wa Bure Kwa mwanaume anayetaka kubaki kwenye nafasi yake ya uanaume. Ambao mmeamua kuleft siwashangai Wala kuwadharau uanaume ni kazi ngumu sana Huwezi kuambiwa jikaze kimwanamke , jikaze kiume ndo NENO liko Hadi kwenye maandiko
  4. Roving Journalist

    ACT Wazalendo: Machi 8, hatutasherehekea mafanikio ya Mwanamke Duniani, mioyo yetu bado inavuja damu, Oktoba 29 imeacha kovu

    HOTUBA YA KIONGOZI WA WANAWAKE - ACT WAZALENDO KWA WAANDISHI WA HABARI NA TAIFA Kauli Mbiu: Machozi ya Mama – Deni la Taifa UTANGULIZI NA SALAMU YA CHAMA Ndugu Waandishi wa Habari, na Watanzania wenzangu mnaonitazama na kunisikiliza, Nawasalimu kwa salamu ya chama chetu: TAIFA LA WOTE...
  5. Half american

    Kwa kisa hiki cha EL MENCHO kinazidi kuthibitisha na kutufundisha kuwa kila anguko kubwa la mwanaume husababishwa na mwanamke

    Nguli wa biashara ya dawa za kulevya nchini Mexico, Nemesio Oseguera Cervantes maarufu kwa jina la El Mencho, ameripotiwa kufariki dunia baada ya kujeruhiwa na risasi katika operesheni ya kijeshi iliyofanyika Jimbo la Jalisco nchini humo. Akizungumza na vyombo vya habari Jumanne Februari 24...
  6. Pdidy

    Mwanamke mwenye miaka 30+ hujaolewa unasubiri nini?

    Mwanamke ukifikisha miaka 30 bila dalili za kupata mume ndio utaelewa kwa nini Mama yako alitupilia mbali vigezo vya mwanaume wa ndoto yake na kuolewa au kuzaa na Baba yako licha ya ufupi wake. Unauliza Mwenyekiti nataka kusema nini? Wewe uko hapo unasema Mimi mwanaume ili nikubali anioe...
  7. jamaikatz

    Njia gani rahisi ya kumfanya mwanamke akupende ?

    Njia gani rahisi ya kumfanya mwanamke akupende ?
  8. Vien

    Sehemu pekee naweza ruhusu mwanamke akawa juu yangu ni wakati wa sex tuu

    Habari wana JF, Naandika haya si kwa lengo la kudhalilisha mwanamke, bali kuweka wazi msimamo wangu kuhusu nafasi ya mwanaume katika jamii na familia. Katika mpangilio wa asili na kimajukumu, mwanaume amepewa jukumu la kuwa kiongozi. Uongozi si ubabe, si dharau, si kumkandamiza mwanamke- bali...
  9. Pdidy

    Tabia yako mbaya kwa mumeo ndio italeta mwanamke mwingine.. wanawake wa nje huondoa udhaifu wa wanawake wa ndani

    SHALOM WANA WA MUNGU ALIE HAI TABIA MBAYA KWA MUMEO NDIO INALETA MWANAMKE MWINGINE KWENYE NYUMBA YAKO MPENDWA ULIEOLEWA MUMEO AKITOKA NJE SHETANI ATAITUMIA KUPATA MWANAMKE AMBAE HANA HIO TABIA UNAYOMFANYIA MUMEO NDANI eg Mwanamke anaemtukana mumewe shetani anamfanya kumkutanisha na mwanamke...
  10. Tundusami

    Ukiona mwanamke anakukwepa kukupa tendo la ndoa mpaka umuoe ujue huyo ana madhaifu ataki uyajue utamuacha

    Yani uyo mwanamke kakaa kijanja anajua kwa madhaifu aliyonayo ukimfunua tu mara moja utotaka kurudia tena ndo maana anakunyima iyo ni defensive mechanism yake Mwanamke anayejiamini na uanamke wake hamnyimi boyfriend wake eti mpaka waoane.
  11. jamaikatz

    Ili mwanamke akupende inabidi utumie mbinu hii

    Ili Mwanamke akupende kwa dhati hakikisha anajua una wanawake wengi
  12. masai dada

    Ukimkuta mwanamke ana roho mbaya, ni anayo mbaya kwelikweli

    Muombe Mungu sana katika vitu vya kuhitaji msaada usikutane na mwanamke katili Maana wanakuaga makatili kwelikweli Mwanamke anaweza akakufanyia jambo la ajabu mpaka wewe mwenyewe ukawa unashangaa ground ya jambo hilo Haswa akiwa na gari anaweza hata kukugonga Fanya research fupi Kama ukiwa...
  13. Tundusami

    Tuseme ukweli kuwa mwanamke ni shida sana kuliko kuwa mwanamke yeye na hospitali ni pete na chanda.

    wanawake wanapitia magumu sana haswa wakianza kuvunja ungo. Hapo ndo shida rasmi zinaanza ule usumbufu wa kuingia period kila mwezi na wengine period zao zinaingia na maumivu pamoja na kutokwa na damu nyingi inapelekea kupata shida ya damu mfumo wa homoni usipokaa sawa kidogo tu matatizo...
  14. Dr. Mariposa

    Wanaume wa kibongo acheni unafki: Angekuwa mzungu mwanamke amewaita msingeenda?

    Ifike mahala sasa muweke unafki pembeni na mgeuze shilingi, angekua ni Mrussia mwanamke amekukuta sijui stand ya bus, sijui supermarket au kibanda cha kubet amekuita hutaenda kumsikiliza? akakwambia wewe ni handsome sana na umevaa kitanashati hutajichekelesha chekelesha? akakwambia msindike...
  15. hamis77

    “NIFUATE” – Ndoto Iliyobadili Maisha ya Mwanamke Kutoka Iran

    Hivi karibuni, wanawake watatu waliokuwa Waislamu walishiriki ushuhuda wao wa kipekee kupitia jukwaa la “I Found the Truth”, wakieleza jinsi walivyodai kukutana na Jesus Christ katika ndoto na maono ya kiroho. Ushuhuda wao unaeleza jinsi wanavyoamini kuwa Yesu anajifunua kwa Waislamu wengi...
  16. A

    Sasa hivi kuishi na mwanamke imekuwa kama ugonjwa wa kansa kwetu wanaume

    Kutokana na mambo mengi ambayo yanatokea duniani kuhusu wanawake Mda mwingine hivi vitabu vya dini tunavitukana lakini ukichunguza vizuri vilikuwa vina haki ya kuwanyima uhuru hawa viumbe na hata mababu zetu walivyokuwa wana watenga yaani kuwashusha kabisa thamani yao walikuwa wana haki...
  17. Tundusami

    Mwanamke akitoka period muwai haraka haraka anakuwaga mtamu balaa

    Mwanamke akitoka period muwahi haraka haraka kwanza anakuwaga ana hamu ya mapenzi sana yani nyege zinajaa K ukiigusa ya motooo Yani mda mwingine unakuta anajibinua binua ovyo kumbe anataka mshedede
  18. Tundusami

    Sifa ya mwanamke kutokujua kila kitu

    Demu atakiwi kujua kila kitu . Sio demu anamjua mpaka komando kipensi. Inatakiwa ukimuuliza “baby unamjua Lukaku?” akujibu “ni yule rafiki yako wa kijijini?” Ukimuuliza “baby, Haaland unamjua?” akujibu “si ndo yule mtoto wa mama James?” Sio demu anajua timu za mpira Bongo mpaka Ulaya, anamjua...
  19. JanguKamaJangu

    ATWOLI: Wanaume mlio na mwanamke mmoja 'Shenzi Zenu'

    Katiku Mkuu wa vyama vya wafanyakazi Kenya - Cetral Organization of Trade Unions Kenya (COTUK)
  20. Think2

    Ni mwanamke anayemfanya mwanaume afanikiwe vilevile kufeli

    we men mwanamke unamchango mkubwa sana kwenye kufanikiwa au kufeli kwako, hapa nazungumzia wanaume sio wavulana anyway kama hujaoa wewe ni mvulana sio mwanamume Iko ivi, kuna baadhi ya wanawake ukiwa nao kwenye ndoa mambo yako yatanyooka sana riziki utapata sana na hawa wanawake wa namna hio ni...
Back
Top Bottom