Kama sio mwathirika wa ukimwi uyo basi umri umeenda sana yupo 30 na kuendelea na pia ana watoto kuanzia wawili na ametelekezwa anatafuta wa kumtulia shida zake
Uwezi kumkuta mwanamke yupo chini ya 30 hana changamoto ya feza na hana ukimwi akatafuta mwanaume mtandaoni
Ni ushauri wa Bure Kwa mwanaume anayetaka kubaki kwenye nafasi yake ya uanaume.
Ambao mmeamua kuleft siwashangai Wala kuwadharau uanaume ni kazi ngumu sana
Huwezi kuambiwa jikaze kimwanamke , jikaze kiume ndo NENO liko Hadi kwenye maandiko
HOTUBA YA KIONGOZI WA WANAWAKE - ACT WAZALENDO KWA
WAANDISHI WA HABARI NA TAIFA
Kauli Mbiu: Machozi ya Mama – Deni la Taifa
UTANGULIZI NA SALAMU YA CHAMA
Ndugu Waandishi wa Habari, na Watanzania wenzangu mnaonitazama na kunisikiliza,
Nawasalimu kwa salamu ya chama chetu: TAIFA LA WOTE...
Nguli wa biashara ya dawa za kulevya nchini Mexico, Nemesio Oseguera Cervantes maarufu kwa jina la El Mencho, ameripotiwa kufariki dunia baada ya kujeruhiwa na risasi katika operesheni ya kijeshi iliyofanyika Jimbo la Jalisco nchini humo.
Akizungumza na vyombo vya habari Jumanne Februari 24...
Mwanamke ukifikisha miaka 30 bila dalili za kupata mume ndio utaelewa kwa nini Mama yako alitupilia mbali vigezo vya mwanaume wa ndoto yake na kuolewa au kuzaa na Baba yako licha ya ufupi wake.
Unauliza Mwenyekiti nataka kusema nini?
Wewe uko hapo unasema Mimi mwanaume ili nikubali anioe...
Habari wana JF,
Naandika haya si kwa lengo la kudhalilisha mwanamke, bali kuweka wazi msimamo wangu kuhusu nafasi ya mwanaume katika jamii na familia.
Katika mpangilio wa asili na kimajukumu, mwanaume amepewa jukumu la kuwa kiongozi. Uongozi si ubabe, si dharau, si kumkandamiza mwanamke- bali...
SHALOM WANA WA MUNGU ALIE HAI
TABIA MBAYA KWA MUMEO NDIO INALETA MWANAMKE MWINGINE KWENYE NYUMBA YAKO
MPENDWA ULIEOLEWA MUMEO AKITOKA NJE SHETANI ATAITUMIA KUPATA MWANAMKE AMBAE HANA HIO TABIA UNAYOMFANYIA MUMEO NDANI
eg
Mwanamke anaemtukana mumewe shetani anamfanya kumkutanisha na mwanamke...
Yani uyo mwanamke kakaa kijanja anajua kwa madhaifu aliyonayo ukimfunua tu mara moja utotaka kurudia tena ndo maana anakunyima iyo ni defensive mechanism yake
Mwanamke anayejiamini na uanamke wake hamnyimi boyfriend wake eti mpaka waoane.
Muombe Mungu sana katika vitu vya kuhitaji msaada usikutane na mwanamke katili
Maana wanakuaga makatili kwelikweli
Mwanamke anaweza akakufanyia jambo la ajabu mpaka wewe mwenyewe ukawa unashangaa ground ya jambo hilo
Haswa akiwa na gari anaweza hata kukugonga
Fanya research fupi
Kama ukiwa...
wanawake wanapitia magumu sana haswa wakianza kuvunja ungo. Hapo ndo shida rasmi zinaanza ule usumbufu wa kuingia period kila mwezi na wengine period zao zinaingia na maumivu pamoja na kutokwa na damu nyingi inapelekea kupata shida ya damu
mfumo wa homoni usipokaa sawa kidogo tu matatizo...
Ifike mahala sasa muweke unafki pembeni na mgeuze shilingi, angekua ni Mrussia mwanamke amekukuta sijui stand ya bus, sijui supermarket au kibanda cha kubet amekuita hutaenda kumsikiliza? akakwambia wewe ni handsome sana na umevaa kitanashati hutajichekelesha chekelesha? akakwambia msindike...
Hivi karibuni, wanawake watatu waliokuwa Waislamu walishiriki ushuhuda wao wa kipekee kupitia jukwaa la “I Found the Truth”, wakieleza jinsi walivyodai kukutana na Jesus Christ katika ndoto na maono ya kiroho. Ushuhuda wao unaeleza jinsi wanavyoamini kuwa Yesu anajifunua kwa Waislamu wengi...
Kutokana na mambo mengi ambayo yanatokea duniani kuhusu wanawake
Mda mwingine hivi vitabu vya dini tunavitukana lakini ukichunguza vizuri vilikuwa vina haki ya kuwanyima uhuru hawa viumbe na hata mababu zetu walivyokuwa wana watenga yaani kuwashusha kabisa thamani yao walikuwa wana haki...
Mwanamke akitoka period muwahi haraka haraka kwanza anakuwaga ana hamu ya mapenzi sana yani nyege zinajaa K ukiigusa ya motooo
Yani mda mwingine unakuta anajibinua binua ovyo kumbe anataka mshedede
Demu atakiwi kujua kila kitu . Sio demu anamjua mpaka komando kipensi.
Inatakiwa ukimuuliza “baby unamjua Lukaku?” akujibu “ni yule rafiki yako wa kijijini?”
Ukimuuliza “baby, Haaland unamjua?” akujibu “si ndo yule mtoto wa mama James?”
Sio demu anajua timu za mpira Bongo mpaka Ulaya, anamjua...
we men mwanamke unamchango mkubwa sana kwenye kufanikiwa au kufeli kwako, hapa nazungumzia wanaume sio wavulana anyway kama hujaoa wewe ni mvulana sio mwanamume
Iko ivi, kuna baadhi ya wanawake ukiwa nao kwenye ndoa mambo yako yatanyooka sana riziki utapata sana na hawa wanawake wa namna hio ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.