mwanamke

  1. towashi wa kushi

    JamiiForums Tanzania Rais Mwanamke shujaa na shupavu ndio huyu

    Rais wa Namibia mwanamama Netumbo Nandi-Ndaitwah ameiongoza nchi hiyo kufikia hatua muhimu ya kiuchumi kwa kukamilisha malipo ya deni la Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF). Namibia imelipa jumla ya dola za Kimarekani milioni 23.9, hatua inayolenga kupunguza mzigo wa madeni ya nje na kuimarisha...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kuna kazi au Majukumu mwanamke au Mwanaume akiziweza kuoa inakuwa kipengele

    KUNA KAZI AU MAJUKUMU MWANAMKE AU MWANAUME AKIZIWEZA KUOA INAKUWA KIPENGELE. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Chunguzi zangu zinaonyesha hivyo. 2. Wanaume kadiri anavyoshindwa majukumu Fulani anayoyaweza Mwanamke na kuyamudu majukumu ya kiume ndivyo anavyokuwa husband material. Vivyohivyo...
  3. Red black

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kudate/kuoa mwanamke mwembamba (slim) unatakiwa uwe na uvumilivu wa kiwango cha SGR

    sjui ni nature au nini ila mostly wana Gubu, hasira , mlio wahi kudate au kuoa wanawake slim nadhani mnatambua vyema.
  4. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke ambaye sio rafiki yako hawezi kuwa mkeo

    MWANAMKE AMBAYE SIO RAFIKI YAKO HAWEZI KUWA MKEO Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Rafiki yako namba moja baada ya Mungu ni Mkeo/Mumeo. Kama hii kwako ni ngumu acha kuoa/kuolewa. Ndoa itakushinda Mapema Sana. 2. Na isipokushinda ukajikaza. Utaishi kwa Mateso na kugugumia. Ndoa ni urafiki...
  5. Mshana Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke anayejilipia mahari ndoa yake haiwezi kudumu

    Pamoja na wimbi kubwa la talaka na watu kutengana ama kuachana kabisa lakini hii ni special case kwa muktadha wa mada hii Mahari ninini? 1.Wajibu wa Mwanamume: Katika mafundisho ya kidini (kama Uislamu na Ukristo), mahari ni zawadi au "mahr" inayotolewa na bwana harusi kwa bibi harusi kama...
  6. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi mwanamke anaweza kuwa mlevi na asiwe malaya?

    Leo naamka na wanawake. Hivi mwanamke anaweza kuwa mlevi na asiwe malaya? Sizungumzii mwanamke mnywaji, nazungumzia mlevi. Yule wa kurudi usiku kutoka kwenye ulevi.
  7. H

    JamiiForums Tanzania Mpigie kura mwanamke kinara sekta ya elimu 2026 - Christiba Chacha

    MPIGIE KURA MWANAMKE KINARA SEKTA YA ELIMU 2026 - CHRISTINA CHACHA Mwisho wa kupiga Kura ni tarehe 20.04.2026 11.59 usiku. Andika jina kwenye comment katika akaunti ya Instagram ya Mwanamke Kinara (Jina Christina Chacha) au Piga kura kwenye Channel ya Whatsapp ya Mwanamke Kinara link SEKTA...
  8. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Mtu anasema hataoa mwanamke asiye bikira wewe unakasirika. Jamaa kama umeoa na kutoa mahali Kwa mwanamke used kaa kwa kutulia.

    Inashangaza sana mtu anaelezea msimamo wake kuwa Mimi wakuu siwezi kuoa mwanamke asiye na bikira wanawake used na wanaume walioa used wanakasirika hadi kuanza kutoa laana kwenye msimamo wa mtu. Mkuu kama ulikubali either ukaoa mwanamke mwenye mtoto au asiye na bikira na ukatoa mahali wewe ni...
  9. kyagata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi inakuaje mwanaume umelala na mwanamke X lkn unaota unamla mate mwanamke Y?

    Hamjambo watu wa Mungu? Hapa nimeshtuka toka usingizini,nimelala na mwanamke X lkn nimeota niko namla mate mwanamke Y. Hii imekaaje wakuu?
  10. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania Ukiona Mwanamke anatumia JF basi ana Ujiniaz ndani yake

    Mzuka wana jamvi ? Wanawake wengi wanapenda mitandao kama Instagram, TikTok , Fb nk ambayo haina mambo magumu ni showoff kwenda mbele . Lakini Jf pisi Kali anabishana na secretarybird kuhusu Ayatollah, pisi Kali anachambua mabomu ya Ukraine. Hata kwenye majukwaa mengine MMU Jf ni full spana ...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Australia yamteua Mwanamke kuongoza Jeshi kwa Mara ya kwanza katika Historia ya taifa hilo

    Australia imetangaza kuwa kwa mara ya kwanza katika historia yake, mwanamke ataongoza jeshi la nchi hiyo, ikiwa ni sehemu ya mabadiliko ya uongozi ndani ya vikosi vya ulinzi. Luteni Jenerali Susan Coyle, ambaye kwa sasa ni mkuu wa uwezo wa pamoja wa kijeshi, anatarajiwa kuwa mkuu wa jeshi la...
  12. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiwa na Pesa halafu Hendisamu kuna vitu huwezi fanya kwa mwanamke

    Huwezi hangaikia mwanamke. Kumfukuzia au yeye akuzungushe. Na ukiwa naye huhitaji kumfanya mpaka amalize. Ukimaliza wewe mwenye uhitaji inatosha. Sisi wenye pesa na mvuto mwanamke anamaliza kwa wakati. Mi nawaza issues za maana nikazane masaa mawili ili akojoe? No way. Siwezi. Nina pesa...
  13. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natamani kupata Mwanamke ambaye atanibadilisha kiroho

    Kuna nafsi iliniambia nenda JF huko utampata naa utamuoa, nikajiunga huku nikiwa sina hili wala lile wala sikumjua ni nani huyo ambae niliambiwa nikija nitampata ? Lakini katika maono ya siku chache zilizopita nilionyeshwa Mwanamke huyo ni Setfree Najua sasa hivi Setfree atakuwa kanisani...
  14. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Toa ushahidi ni wapi umewahi ona mwanamke mwenye makalio makubwa akawa na akili popote pale Duniani?

    Sisemi kwamba hawana akili kabisa la hasha nazungumzia akili kwa kipimo walau cha professor achana na akili za kiwaida tu. Nashindwa kuweka vizuri ili nieleweke vyema lakini kwa % kubwa hawa watu hazimo kichwani ni ngumu sana ama ni kama haiwezekani kabisa kumuona professor mwenye matako...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pastor Nikki Shaboka, anakuambia hawezi kushindana na mwanamke aliyezaa naye watoto watatu. Ni ileile Facts niliyowapa. Mwanamke mzuri mzalishe watoto

    Hamjambo Wote! 1. Kuna wanaume wenye upeo Mdogo Sana. Ndio wale wanaotajwa wamezidiwa akili na wanawake. Ndio maana mambo madogo kama haya wanashindwa kuyaelewa. 2. Wanaume wote ambao uliwahi kuwaona hawababaishwi na Mapenzi wanatabia zinazofanana. Mojawapo ni kujua kuwatumia wanawake...
  16. Pakome

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke anamtafsiri Mwanaume kawaida kisia ndiyo sababu anaweza kuishi zaidi ya miaka 40 bila kushiriki mapenzi

    Mwanamke ni kiumbe mwenye uwezo wa kuishi zaidi ya miaka 20-40 pasipokushiriki mapenzi kwasababu anamtafsiri Mwanaume kama mtu wa kawaida kihisia na wala hashawishiki na uchi wa Mwanaume ikiwa anakubali basi ni kwa mapenzi ya kumhurumia Mwanaume anayemshawishi Mwanamke anaweza kumpa Mwanaume...
  17. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Trends Reading: Japo Rais wa 2030 Namjua, Simtaji ili Kumlinda!. Be The First to Know Good News Kawe-2030, MB.ni Mwanamke!, Kawe Itapaa kwa Maendeleo!

    Wanabodi, Information is power!, kitendo cha kumjua rais wa Tanzania wa mwaka 2030, kinakupa powers za kujua nchi inapoelekea, kwasababu unakuwa unajua tunakwenda kumpata rais wa namnagani. Hii ya kumjua rais ajae kabla ya mwaka wa uchaguzi, kuna watu wanaita ni unabii, hivyo sisi jf, tunao...
  18. Yoda

    JamiiForums Tanzania Rotina Mavhunga, mwanamke ambaye karibu aifanye Zimbabwe iwe kama Dubai kupitia mafuta kwa kutumia mawe.

    Ameandika The Instigator, @Am_Blujay Kutana na Rotina Mavhunga, mwanamke ambaye karibu aifanye Zimbabwe iwe kama Dubai kwa kutumia mawe 😂 Mnamo mwaka 2007, aliwashawishi mawaziri wakuu wa serikali kwamba angeweza kuzalisha dizeli safi kutoka kwenye mawe huko Chinhoyi. Ndiyo, dizeli. Kutoka...
  19. Natafuta Ajira

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unataka kumfanyia mwanamke kitendo cha uovu?

    Kibaka akitaka kumwibia mwanamke, kwanza kabisa ataangalia kama ameongozana na mwanaume. Muuza magari akitaka kumuuzia mwanamke gari bovu au kumpiga kwenye bei, ataangalia kwanza kama yupo na mwanaume. Fundi wa kukarabati nyumba akitaka kumpiga mwanamke material za ujenzi kwanza ataangalia...
  20. Sakwe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi mimi kumrudia Mwanamke huyu (EX) Kwa sasa?

    Habari wana jamvi ! poleni na hongereni kwa kila jambo mwaka fulani nilifanikiwa kupata kibarua kampuni (X), hapo baada ya miezi nilikutana na mwanamke mmoja mrembo kwa taarifa nilizopewa yeye alikuwa na watoto wawili kwa wakati huo. Yaani Single mother of two kids mimi wakati huo bado yanki so...
Back
Top Bottom