mwamba

Musonda Trevor Selwyn Mwamba (born 1958), known as Trevor Mwamba, is an Anglican bishop. He was consecrated Bishop of Botswana on 6 February 2005. He tendered his resignation as Bishop of Botswana on 30 September 2012 – the day on which Botswana marks the anniversary of its independence from Britain. His successor was consecrated on 14 July 2013. On April 4th 2021, he was elected President of the United National Independence Party.
A true ‘citizen of the world’, at home in many cultures. Passionate about justice, equality and the empowerment of all God’s children. Outgoing, well-read, approachable, with a sense of humour and strong diplomatic skills.
He took up the post of Team Rector of Barking in the Church of England on 1 January 2014, a post he resigned in December 2019. On 9 November 2013 he was made an honorary assistant bishop in the Diocese of Chelmsford.He made a cameo appearance on the third episode of the HBO and BBC co-produced miniseries The No. 1 Ladies' Detective Agency. He appears in the episode entitled "Poison" as himself thanking members of the business community of Gaborone for their donations to the fictional orphanage portrayed in the series. He is married to Mmasekgoa Masire-Mwamba, a Commonwealth Deputy Secretary-General from 2008 to 2014.He was made a deacon at Petertide 1984 (1 July) by Mark Santer, Bishop of Kensington (by letters dimissory from Leonard Mwenda, Bishop of Lusaka), at St Luke's, Chelsea, Greater London and served briefly as curate of All Saints, Notting Hill. He left the UK in 1985 to become Rector of Luanshya and Vocations Director for Central Zambia, and was ordained a priest that year.On April 4th 2021, he won the presidency of the United National Independence Party. He managed to wrestle power away from long time incumbent Tilyenji Kaunda who held on to power for 20 years after succeeding his father Dr. Kenneth Kaunda. This marks the first time (UNIP) has not been lead by a Kaunda since the 1960s.

View More On Wikipedia.org
  1. Abraham Lincolnn

    JamiiForums Tanzania Heri ya siku ya kuzaliwa Mwamba JPM Tupo hapa kusherehekea siku yako ya kuzaliwa

  2. M

    JamiiForums Tanzania TBT : Producer Legendary - 👑 Mika Mwamba 🎹, Kumbukumbu ya Beats kali alizowahi kuziandaa

    Ni beats kavu hazina mashairi ( Instrumental ) Kwenye Chati Mkiwa Tamala Baby Gal Mtoto wa Geti Kila mtu na demu wake Chidi na Mzee Yusufu
  3. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Sijui mwamba alifeli wapi hii vita sio mchezo

    Nimeingalia mara mbili mbili hatari sana
  4. Beberu Mwitu

    JamiiForums Tanzania Application ya mikopo ya ukopeshaji imegonga mwamba, sijui nilipe huu mkopo au niingie mitini?

    Habari zenu wana JF, Niende moja kwa moja kwenye mada hii tata; Ipo hivi, mwanzoni mwa mwezi Septemba nilichacha sana kifedha ikabidi nifanye re-installation ya App moja ya mikopo na kuchukua kiasi cha Sh 200,000. Baada ya hapo update ikaja kuwa mkopo ulipwe ndani ya siku saba ilhali mwanzo...
  5. Mashamba Makubwa Nalima

    JamiiForums Tanzania Kapteni mwamba kabisa, moja ya watangazaji bora nimewahi wasikia

    Pumzika kwa amani mwanangu, Kapteeeeeeeeeeeni G Habash https://www.jamiiforums.com/threads/gardner-g-habash-mtangazaji-wa-clouds-media-afariki-dunia.2205794/
  6. Tonny Kapola Gas Station

    JamiiForums Tanzania Mwamba Huyu Hapa. Yuko Sahihi?

  7. Stability

    JamiiForums Tanzania Huyu mwamba ameshinda mbio za kimataifa, we ngoja arudi nyumbani sasa uone mademu wa mitandoni na bongo movie watakavyomganda kupata kiki

    Watamshugulisha wee had magoti yaishe ute ute siku akirudi tena ulimi wote njee aanze kusema walimwibia viatu vyake kama yule wa Tanga. Pia Soma: Tokyo, Japan: Alphonce Simbu ashinda Medali ya Dhahabu ya kwanza kwa kushinda mbio za Dunia za Marathoni
  8. Stability

    JamiiForums Tanzania Mwamba kajichanga pesa za uganga, huyooo! Sasa hivi kanunua basi. MGANGA HAJIGANGI KWELI??🤣

  9. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Wanaopenda haki siyo rafiki wa maovu

    Bahati siyo yetu Tanzania au Afrika kwamba binadamu mwenye uwezo wa aina ya huyu anakuja na kuondoka na hawezi kutumika ipasavyo. Kwanza wanapenda HAKI na ujue kabisa watu wanaopenda HAKI siyo rafiki wa maovu. Vinginevyo kwa haya tunayoendelea kusoma anayomwaga huko mahakamani eeh bana NO...
  10. Stability

    JamiiForums Tanzania Unaweza sema mwamba anasikitikia kazi ilivyo ngumu lakini anawaza ni style gani atayomkunja bebi akishapata posho jioni

    🤣
  11. Ex Spy

    JamiiForums Tanzania Wicknell Chivayo, mtakatishaji fedha maarufu barani Afrika alikuwa na agenda gani Ikulu jana (Agosti 12, 2025) kabla ya Harambee ya CCM?

    Tuna haki ya kuhoji: Mtu huyu ana rekodi chafu na ana kesi nchini Afrika Kusini lakini jana amebainisha mwenyewe kuwa alikuwa nchini, saa chache kabla ya Harambee ya CCM. Hapa kuna ujumbe gani kwetu?
  12. Think2

    JamiiForums Tanzania Huyu mwamba alilia sana kwenye msiba wa Raisi Magufuli

    Mlinzi wa magufuli kipindi hicho alilia sana kwenye msiba wa hayati rais Magufuli. Ninaamini kwamba huyu mlinzi anajua kila kitu kuhusu kifo cha Magufuli sema anahofia uhai wake. Kwenye picha huyo wa kushoto alievalia suti.
  13. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Mwamba Osama Bin Laden kwa sasa atakuwa anaishi wapi? Baada ya Marekani kutudanganya

    Marekani bwana... Wakajidai eti wamemuua Osama Bin Laden. Kumbe uongo. Mbona hawakutuonesha mwili wake? Mbona hawakutuonesha wamemzika wapi? Osama Bin Laden yupo sehemu. Ingawa sijui ni wapi. Ila atakuwa sehemu. Na hili nliambiwa na sheikh wangu siku ile ile ambayo Marekani walijidai wamemuua...
  14. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi huyu mwamba kuwapa watoto wake adhabu ya namna hii?

    😂
  15. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Big up kwa member hamis77 kwa michango yenye facts na mantic

    hamis77 ni baadhi ya great thinkers wachache waliobaki JF Endelea kushusha nondo ndugu Kama vile hapo chini naona comments za "unajipongeza mwenyewe"😂😂😂
  16. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Mwamba amekuta mafundi wanaiba cement hii ndio adhabu aliowapa

  17. mbozimbozi kumwitu

    JamiiForums Tanzania Mwamba kama mwamba Magufuli

    Huko uliko mungu aendelee kukuweka,tulishindwa kukuelewa kipindi kile lkn kwa Sasa tungekuelewa vinzuri,endelea kupumzika kwa aman,kazi ulifanya.
  18. Medecin

    JamiiForums Tanzania Mwamba huyu hapa

    GSM: Yanga bingwa Mo: Nawadai simba bilioni 87
  19. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Aisee unakuta kuna mwamba anaendesha hii chuma. Aisee hongera sanaaa

Back
Top Bottom