must

Must (from the Latin vinum mustum, "young wine") is freshly crushed fruit juice (usually grape juice) that contains the skins, seeds, and stems of the fruit. The solid portion of the must is called pomace and typically makes up 7–23% of the total weight of the must. Making must is the first step in winemaking. Because of its high glucose content, typically between 10 and 15%, must is also used as a sweetener in a variety of cuisines. Unlike commercially sold grape juice, which is filtered and pasteurized, must is thick with particulate matter, opaque, and comes in various shades of brown and purple.

View More On Wikipedia.org
  1. Luca Paguro

    JamiiForums Tanzania Kati ya NIT na MUST niende wapi?

    Wakuu baada ya kumaliza PCM form 6 nilichagua kujiunga na kozi ya Mechanical kwenye vyuo vinne Tanzania, ngazi ya Bachelor Degree Selection zimetoka. Vyuo ni NIT, DIT, MUST na ATC ATC nimekosa Mechanical wamenichagua Mechatronics. Sasa hii siitaki Lakini NIT na MUST nimepata Mechanical ambayo...
  2. Pdidy

    JamiiForums Tanzania 30 types of bad wives that must change before its too late

    C2 r u there?? Napita tuu
  3. X

    JamiiForums Tanzania ATC Arusha vs MUST Mbeya

    Wakuu chuo kipi kati ya hivi ni kizuri zaidi kwa kozi ya Mechanical Engineering Je, chuo kipi wahitimu wake wanaheshimika zaidi kama ma engineer bora? Maana nimesikia DIT mainjinia wake wanaheshimika sana Sasa naomba kuuliza kati ya Arusha Technical College na Mbeya University of Science and...
  4. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Hamna Wabunge wa Mfukoni ,Taifa haliwezi kua na Wabunge Machawa !Machawa mmepigwa!! PIGO la Kwanza 🤣🤣

    Tunawachoraaa tuuuu Taifa haliwezi kuongozwa na Machawa !!. Imeishaaaaaaaa Kwa Leo !!🤣🤣🤣
  5. MR BINGO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kuna propaganda iliyofanikiwa kwa miaka ya karibuni kuzidi "Ruto must go"?

    Nchini kenya kumekuwa na maandamano ya kila mara yaliyoibuka kuanzia Rais William Ruto alivyoingia madarakani na yamekuwa yakishinikiza mambo mbalimbali yanayofanywa na Ruto na tukumbuke kuwa Ruto aliingia madarakani September 2022 na maandamano ya kwanza yalikuwa March 2023. Kwa kipindi hicho...
  6. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania " Kama Mohammed hatoweza kwenda Mlimani, Mlima huenda kwa Mohammed. Ukrain yalipua Kambi kubwa ya kijeshi ya Urusi.

    And the vice versa is true "If the mountain won't go to Mohammed, then Mohammed must go to the mountain"
  7. stakehigh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania "We must protect the peace and stability of our country" DP Kithure Kindiki

    https://www.youtube.com/watch?v=49v7v-yUWdY
  8. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Spiritual laws you must respect they don't care if you believe them or not

    LAW OF RECIPROCITY - what you send out energy, thoughts and actions returns amplified. LAW OF AUTHORITY - spirits only respect those who knows they are. if you're confused they dominate. LAW OF RESONANCE - you attract what matches your vibration, purity =clear outcomes. LAW OF TIMING -...
  9. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) atuhumiwa kumuua Mwanafunzi mwenzake

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya [MUST] mwaka wa kwanza aitwaye Emilian Joseph Duzu [21] kwa tuhuma za mauaji ya Mwanafunzi mwenzake wa Chuo hicho mwaka wa tatu aitwaye Gerald Philbert Said [22]. Ni kwamba Juni 14, 2025 saa...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Why the sanctity of court decisions must never be compromised

    Introduction As Tanzania welcomes a new Chief Justice to the helm of its judiciary, we do more than mark an institutional milestone we enter a new chapter in our nation’s journey toward justice and constitutionalism. At the heart of this moment lies a question that transcends politics and...
  11. funaku

    JamiiForums Tanzania TRUMP Atumia Jeshi kudhibiti maandamano !

    Rais wa Marekani aamuru vikosi vya kijeshi kuungana na Askari wa uhamiaji kudhibiti vurugu na maandamano yanayoendelea kupinga uondoshwaji wa wahamiaji haramu.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Waziri Adolf Mkenda must go! Kwa ajili ya HSLB!

    Waziri Mkenda ameshindwa kusimamia kwenye wizara yake bodi ya mikopo HSLB imekuwa bodi ya wizi wa mishahara ya watumishi tu na wanaoibiwa siyo watoto wa vigogo ni watoto wa wakulima! Inakuwaje mtumishi anakuta makato ya bodi ya mikopo kwenye mshahara wake wakati mtumishi huyo hajawahi kusoma...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua sababu za msingi za vijana wa Kenya wanaosema "Ruto must Go"

    Uzi tayari. Natanguliza shukrani
  14. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Moto waunguza Bweni la Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (Mbeya University of Science and Technology - MUST)

    Taarifa ni kuwa kuna bweni la Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (Mbeya University of Science and Technology) linaungua kwa moto leo Mei 20, 2025. UPDATES... ( Taarifa ya Mtandao wa Mustso_updates) Moto mkubwa ulizuka katika Hostel za Wasichana 8C lakini umekwisha kudhibitiwa, mpaka...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Amnesty International yasema Vikundi vyenye silaha vinavyofadhiliwa na Rwanda nchini DR Congo vinatumia silaha za maangamizi ya halaiki

    DR Congo: Rwandan-backed armed group and Congolese army must stop using explosive weapons in densely populated areas - Amnesty International FOR IMMEDIATE RELEASE Inaccurate explosive weapons with wide area effects used in densely populated areas more than 150 times in a seven-month period...
  16. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania The State, We must Both agree that We need to move from MAGUFULI to MAGUFULISM na huo ndio uwe Mwelekeo wa Taifa

    Magufuli was more than a Person, He was a Country, He was a Vector., However, we unexpectedly lost this national treasure. Magufuli's Strategy, Ideas, Principles , Beliefs should be turned into a National Ideology and this will further prevent the risk associated with One Man. The essence of...
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ucheleweshaji wa pesa za refund Mbeya University of Science and Technology (MUST)

    Hii changamoto imetokea tangu mwaka 2022 ikatulazimu tuendelee kusubiri maana bado tulikuwa tunasoma , hivyo hela iliyokuwa imezidi ikawa inatumika kwa michango mingine kama direct cost na tuition fees hii haikupelekea hiyo hela iliyozidi kutokana na uongezewaji wa Ada kipindi ambacho Sisi...
  18. K

    JamiiForums Tanzania A good dancer must know when to leave the stage...

    In Oder to rescue the dignity and respect you have attained for several times you need to step down before credibility crisis has follen to you. A capable leader should give room for other blood to take over... So now I think is appropriate time for Freeman to be free and to leave a stage for...
  19. hewamkaa

    JamiiForums Tanzania Lissu ndiye muasisi wa "Samia must go" kakwaa kisiki na sasa kaanzisha "Mbowe must go". Je ataweza?

    Wakati huo tulishuhudia CHADEMA wakisema "Samia must go". Alitamka Mbowe, lakini ni wazi wazo hilo, liliasisiwa na Lissu. Ni Lisu ambaye kazoea kutumia maneno makali makali. Maneno makavu makavu. Mbowe yeye amejaa charisma. Sasa Lisu kafeli kwa Samia. Kaangukia pua. Anajaribu kwa Mbowe. Ni wazi...
  20. The Watchman

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi wa MUST abuni mfumo wa kudhibiti wizi wa mitihani

    Hamza Salum ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya amebuni mfumo wa kulinda mitihani ambao unatajwa kuleta tija katika kukabiliana na wizi na uvujishaji wa mitihani nchini. Chanzo: Azam TV
Back
Top Bottom