Habari zenu wanajukwaa.
Hili suala napenda lifike mamlaka zinazohusika.
Jamani tuliambiwa michango inajenga madarasa n.k Ila Cha kushangaza tunaanza kuibiwa kuwa tuchangie hela ya ujenzi.
Hebu afisa elimu mkoa wa mwanza ,afisa elimu wilaya,karibu elimu kata na wizara mwenye dhamana unalijua...