Nani atamfunga paka kengele, Tanzania kila mtu anamlaumu mwenzake
Wanasiasa wanalaumu mabeberu
Wananchi wanalaumu wanasiasa
Wanaharakati wanawalaumu wanalaumu
Polisi wanasema ni maelekezo kutoka juu
Wananchi wanalaumu wanaharakati kwamba hawafanyii harakati zao Tanzania, wakija Tanzania...