Kuna majukumu mengi ambayo napaswa kuyatekeleza katika nchi yangu, mengine ni kwa mujibu wa sheria na mengine ni yakutumia busara lakini yote ni kwasababu ya kuwasaidia wananchi wangu, kikundi au jamii niliyo apa kuitumikia kwa mujibu wa sheria lakini sifanyi hivyo na siwajibishwi, muda mwingine...