mtu

  1. Rais Samia ni mtu kwelikweli

    Mkiniita chawa ni poa tu maana anayenipandisha daraja Kwa Kazi ni yeye. Kuna mtu atasema kupanda daraja ni haki yako lakini atajisahau kuwa ndani ya haki hii Kuna bossdume alitubania balaa. Ni hivi, siku ya wanawake tar 8/3. Jana hiyo hotuba ya mama kama uliisikiliza vyema anataka amani nchi...
  2. R

    Je, mwenyekiti Mbowe ni mtu huru?

    Habari JF, Namekaa nimefikiria sana kinachoendelea Pale CHADEMA . Kwa hali ilivyo ya maisha ya Watanzania ilivyo ngumu wengine wakitegemea ajira za laana kama zilivyopewa jina na Lema na Tundu Lissu. Hivi Mbowe anatoa wapi nguvu za kuwasahau watanzania na kukaa pamoja na CCM ambao nenda rudi...
  3. Kuna Mtu 'Kanifolo' sasa hivi sijui ndiyo 'Mama' aliyesema huwa Anatusoma na Kucheka hapa JamiiForums!!!!

    Karibu sana Mama na Asante kwa Kunifolo GENTAMYCINE hapa JamiiForums, ila nikuahidi tu kuwa japo Unanifolo, Unanipenda na Kunifuatilia sana, ila sitoacha Kukukosoa ukiharibu na Kutofurahia ukipatia kwani Mimi furaha yangu ni Wewe Kujichanganya Kiutendaji ili nipate cha Kukusiliba hivyo Nivumilie...
  4. Alipotea kimazingara, akutwa kwenye nyumba ya mtu akiwa amekatwa ulimi

    Video hizi zinaonesha tukio la binti anayekadiriwa kuwa na miaka 20-25 akiwa ndani ya jumba la kifahari linalomilikiwa na huyo mama mwenye baibui nyeupe, inasemekana binti alipotea kimazingara na huyo mama anasadikika kuwa ni mwanga. Binti amekutwa hawezi kuongea kwakuwa amekutwa amekatwa...
  5. M

    Ili kuwa Muumini mzuri yakupasa ufanye yafuatayo?

    (1)Uvifuate vitabu vya Mwenyezi Mungu Zaburi,Torati Enjili,na Quruani? (2)Ujinasabishe na kabila la Waislaeri?
  6. R

    Nimeipenda hii toka kwa mtu anajiita Mishy, ngoja nikumegee na uitafakari

    C&P The Curse Of Intelligence Is Isolation. When You Are Intelligent There's Always A High Chance That You Are Alone. Fools Attract Crowds. Stupid People Love Stupid Ideas That Glorify Theirs Ignorance. That's Why Most Intelligent People Are Controversial and Hated (NOTE: nimeipanga hivyo...
  7. Daktari: Mtu mmoja anatakiwa kufanya ngono mara tatu kwa wiki - Swahili Times

    Wanaume wanaopenda kufanya ngono mara kwa mara wanadaiwa kuwa kwenye hatari ya kufariki mapema tofauti na wanaume ambao hawafanyi kitendo hicho mara kwa mara. Hayo yamesemwa na daktari bingwa wa afya ya uzazi kutoka Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar, Dkt. Ummukulthum Omar wakati akitoa mafunzo...
  8. Nahitajii mtu wa kunishika mkono niweze kupata kazi

    Habarii wakuu, Mimi ni kijana wa miaka 28, ni mhitimu wa stashahada ya Uhandisi Ujenzi (Ordinary Diploma in Civil Engineering) mwaka 2020 na kufanikiwa kupata upper second class kutoka chuo Cha ufundi Arusha (ATC). Nimejaribu kutafuta kazi sehemu mbalimbalii ila bado sijafanikiwa kupata...
  9. Tatizo sio CCM bali jamii nzima ya mtu mweusi

    Historia ni nini? - Historia ni somo lihusulo mambo/matukio yaliyopita[ kale ], yaliyopo na yajayo. Kabla hatujawatupia mizigo yote ya lawama Chama cha Mapinduzi [CCM] kwa huu umasikini wa taifa hili, tuji ulize maswali haya kwanza. Maswali 1. Kwanini mtu mweusi duniani kote ana dharaulika...
  10. Ogopa sana mtu wa namna hii, tena kimbia!

    Aisee, ukipata mpenzi au mke au mume ambaye anawasiliana bado na maex tambua hakuna kitu hapo. Ana namba za maex wake wote, anachat nao akikuaminisha eti hakuna kinachoendelea. I swear tegemea mahusiano yenye maumivu sana, ndoa itakuwa haina amani. Heshimu wanaowapenda na kuwajali na kuwatunza...
  11. Nachukia kupigiwa simu halafu mtu anadai eti amekosea namba

    Kwa wale wenye familia na ambazo huwezi kuona namba mpya ukaipuuza kutokana na watoto na familia pale uwapo nje au safari. Eti unaona mtu ana beep🎼📞. Sometimes anakutext kabisa. Kuwa ...."Nipigie." Nachukia sana tena anaandika nipigie...heck. Unapiga anadai eti nimekosea namba. Mimi: Uwe...
  12. Hivi kazi hadi iwe na sifa kuwa ni ajira inatakiwa kumuingizia mtu Tsh ngapi kwa mwezi?

    Wakuu hivi mtu hadi tuseme huyu ana ajira anatakiwa kuingiza Tsh ngapi kwa mwezi?
  13. Urusi yakaribia kuuteka mji wa Bakhmut katika mapambano makali na Ukraine

    Vikosi vya Urusi siku ya Jumanne vimeendelea na safari yao ya wiki moja ya kuuzingira na kuuteka mji wa Bakhmut mashariki mwa Ukraine ambapo kamanda wa vikosi vya ardhi vya Ukraine alielezea hali kuwa "ya wasiwasi mkubwa". Wanajeshi wa Urusi, wakiwemo wapiganaji kutoka Kundi la Wagner...
  14. Unashughulika vipi na hili la 'nina mtu wangu'?

    Natumai mu wazima sana, Mabaharia nina swali lenu hapa, wewe kama mwanaume huwa una deal vipi na jibu utakalopewa na mwanamke kwamba, 'nina mtu wangu'? Embu shusheni nondo hapo tupate somo.
  15. R

    Waumini wa Nabii GeorDavie wanamjua Mungu? Wana roho ya kikatili wanaweza kummaliza mtu, tuwaombee

    Nimeangalia clip ya wanaojitahidi waumini wa GeorDavie au wafanyabiashara soko la Samunge Arusha utagundua binadamu wanapenda kumsingizia Mungu. Kwanza kwao, tishio la mauaji, as long haligusi watoto wao, siyo shida. Wanaona kama Lema anaigiza kisa kugusa milioni mia moja. Hakuna mcha Mungu...
  16. Wenye uzoefu wanisadie nahisi kabisa sio mtu wa kawaida

    Wakuu Naombeni Msaada. Mimi ni mtumishi wa umma ila nipo likizo ni wiki ya pili sasa. Jana mida ya saa tano usiku hivi nikiwa nimechoka tu kukaa ndani siku nzima nikaamua nitoke. Kabla ya kutoka nikapiga simu kadhaa kwa vipengele vyangu nikaona navyo havieleweki vinanipangia muda wa kuvitafuta...
  17. Ni mtu gani humu JF hutamani apewe ban

    Hellow Hii ni jamii na jamii ni watu na tupo watu tofauti wenye tabia tofauti na sifa tofauti ni mtu gani wewe utamani apewe ban kabisa anakufurahisha na unamkubali sana mimi na anza na hawa watu DeepPond huyu kwa story zake huwa zina furahisha lakini zinajenga Extrovert huyu michango yake...
  18. K

    Huyu mke wa mtu weekend hii lazima nimtafune

    Alikua mchepuko wangu siku za nyuma tukaja kupotezeana,so tumekutana tena na nimemdanganya danganya kaelewa somo.weekend hii natua hapo dar na bombardier ya saa 7,namtia mpaka saa 1 usiku. Mwenye mke wake utanisamehe bure.
  19. L

    Ili ukidhi vigezo kuwa mume wa mtu hela iwepo mfukoni

    Mwanamume lazima uwe na madini Mwanamume lazima uwe na hela Upuka kuwa tegemezi kwa mwanamke Wanaochapiwa ni tegemezi Hawagangamali
  20. Nimepata kazi Upwork ila sina ujuzi nayo nataka nimpatie mtu

    Habari jaribuni kuangalia hii kazi hapa chini Sio mjuzi kutumia jukwaaa hili ila nilijaziwa profile na mtu so kuandika sio hobby yangu kabisa kuliko pesa itembeee nimeamua kusghare na marafiki zangu hapa kama unaona dili karibu sana inaliapa $700+ huko Nimeshabonyeza accept
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…