Brightly
JF-Expert Member
- Apr 28, 2022
- 261
- 353
Habarii wakuu,
Mimi ni kijana wa miaka 28, ni mhitimu wa stashahada ya Uhandisi Ujenzi (Ordinary Diploma in Civil Engineering) mwaka 2020 na kufanikiwa kupata upper second class kutoka chuo Cha ufundi Arusha (ATC).
Nimejaribu kutafuta kazi sehemu mbalimbalii ila bado sijafanikiwa kupata, nimekuja kwenuu ndugu zangu Watanzania ambaye ana uwezo wa kunisaidia nikapata kazi nitamshukuru sana na Mungu atambarikii.
Mimi ni kijana wa miaka 28, ni mhitimu wa stashahada ya Uhandisi Ujenzi (Ordinary Diploma in Civil Engineering) mwaka 2020 na kufanikiwa kupata upper second class kutoka chuo Cha ufundi Arusha (ATC).
Nimejaribu kutafuta kazi sehemu mbalimbalii ila bado sijafanikiwa kupata, nimekuja kwenuu ndugu zangu Watanzania ambaye ana uwezo wa kunisaidia nikapata kazi nitamshukuru sana na Mungu atambarikii.