morogoro road

Morogoro is a city, with a population of 305,840 (2012 census), in the eastern part of Tanzania, 196 kilometres (122 mi) west of Dar es Salaam, the country's largest city and commercial centre, and 260 kilometres (160 mi) east of Dodoma, the country's capital city. Morogoro is the capital of the Morogoro Region. It is also known informally as "Mji kasoro bahari," which translates as "city short of an ocean/port."Morogoro lies at the base of the Uluguru Mountains and is a centre of agriculture in the region. The Sokoine University of Agriculture is based in the city. A number of missions are also located in the city, providing schools and hospitals. Morogoro is home to the Amani Centre, which has helped over 3,400 disabled people in the surrounding villages.

View More On Wikipedia.org
  1. Kibenje KK

    Uwekezaji ambao hautakuangusha ni kuwekeza kwenye Ardhi, haiozi na inapanda thamani kila siku. Kwa sasa mkoa wa Pwani ni deal hasa Morogoro road.

    Eneo lenye ukubwa wa heka 45 linauzwa eneo lipo mkoa wa pwani vigwaza visezi barabara ya kuelekea bandari kavu eneo ni zuli kwa kujenga yard gereji na Mambo mengine bei kwa kila heka moja mil 3 tu kutoka barabara ya zege miter 400 tu maji umeme vipo hapo Eneo lingine lipo mkoa wa pwani pia...
  2. Kiteitei

    Foleni Morogoro Road

    Hali ni mbaya usiku wa Leo kwa wasafiri wanaotumia barabara ya Morogoro, tangu saa mbili jioni hii tuko eneo la mikese gari hazisogei, sijui huko mbele kuanzia Dar hali ikoje
  3. ommytk

    Barabara ya Morogoro ina ulinzi hali ya juu. Leo nimetoka Posta mpaka Mbezi tumesimamishwa na trafiki mara 8

    Naomba kutoa pongezi kwa Jeshi la Polisi kwa ukaguzi na usimamiaji mzuri wa barabara zetu mimi leo nipo kwa daladala toka Posta mpaka Mbezi tumesimamishwa karibu sehemu 8 na askari ni wengi safi kabisa hii nimeikubali sana.
  4. Leak

    Watanzania na madereva wa Magari wameigeuza barabara ya njia nane (Morogoro Road) kwa makusudi na kujitakia! Tujiandae na maafa pale stendi ya Mbezi

    Habari! Pamoja na kazi nzuri iliyofanywa na serikali kujenga barabara ya njia nane Kimara-Kibaha lakini ukweli ni kwamba watumiaji wa barabara hii wananchi na madereva wameamua kuigeuza barabara hii kama machinjio! Barabara hii kwa sasa hawezi pitisha wiki au siku tatu haijamwaga damu za watu...
Back
Top Bottom