Tunatafuta kiwanja Kibaha karibu na Morogoro Road

Tunatafuta kiwanja Kibaha karibu na Morogoro Road

Arsenal Gunner

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
10,891
Reaction score
17,696
Wakuu tunatafuta kiwanja kibaha karibu na morogoro road isiwe ndani ndani na naomba mnitajie na. Bei yake kabisa hapa na ukubwa

MODS: naomba msiupeleke huu Uzi sehemu yeyote nataka nipate kiwanja cha uhakika
 
Chief nicheki PM ila usiwe mbabaishaji na wala mimi sio dalali
 
Kipo hapa maili Moja square meter400.bei milioni 68.ni kizuri sana.wahi maana ukichelewa kitachukuliwa na wengine
 
Swala la kiwanja kuwa makini sana, viwanja vinauzwa mara mbili mbili pia mgogoro kwa viwanja upo sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom