RC Amos Makalla amewakutanisha Meya wa manispaa ya Kinondoni Songoro Mnyonge na Mkurugenzi wake Sipora Liana. Vyombo vya habari vikaripoti kuwa mgogoro umeisha 🤣.
Je, nini kiini cha mgogoro huo unaodaiwa kumalizwa na Makalla?
UTANGULIZI: Songoro mnyonge ni Diwani wa CCM akitokea Mwananyamala...