miwa

  1. S

    INAUZWA Mashine ya juice ya miwa na banda lake

    Nauza mashine ya juice ya miwa na banda lake na kila kifaa cha kazi ikiwepo vyombo vya wateja,vya maji na extension ya umeme wewe ni kununua miwa tu na kuanza kazi.. Inatumia umeme Imetumika MIEZI MITATU TU!!! Kila kitu 1M
  2. F

    Takataka za miwa Mbagala

    Habari za sikukuu! Biashara ya miwa imeshika kasi sana maeneo ya Mbagala hasa toka kizuiani mpaka Mbagala rangi tatu, ukipita njia ya Mbagala maeneo hayo utakuta vijana wengi sana wanajipatia ridhiki yao kwa kufanya biashara hiyo ambayo kiukweli inafanya vizuri kutokana na muonekano wa maeneo...
  3. mbikagani

    Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kilosa anafisidi mashamba ya ushirika wa miwa

    Habari wanaJF, Huyu anafahamika kwa jina la Ameir. Ni mwenyekiti wa chama cha mapinduzi Wilaya ya Kilosa. Kama mnakumbuka huyu alishawai kutajwa na waziri wa ardhi mh Lukuvi mbele ya Rais Magufuli kuwa anamiliki mashamba makubwa kinyume na utaratibu. Kwa sasa amevamia kata inaitwa Mbigiri na...
  4. Mwita Mtu Mrefu

    INAUZWA Mashine ya juisi ya miwa, Nzuri sana kwa bei nafuu sana

    Habari Jf. Nauza mashine ya kukamulia juice za miwa. Mashine inatumia engine ya petrol. Mashine iko vizuri na mwamvuli wake kwa ajili ya kukukinga na Jua. Bei ya kuuza ni 1.1 milion, dukani ina 1.3milion. Mashine iko Ubungo River side. Atakayenunua namtolea elfu 30 ya usafiri. Piga simu au...
  5. Mikhail Tal

    Nahitaji mashine ya kukamua juice ya miwa

    Habari wakuu nahitaji msaada wa kupata mashine ya kukamua juice ya miwa. Nipo Dar es salaam kama kuna mtu unaweza kunielekeza zilipo kwa hapa Dar ntakushukuru sana Au kama unaweza kunisaidia contacts za mahali nitapata hizo mashine.
  6. SankaraBoukaka

    Kuna mahala popote hapa Tanzania panapolimwa Sugar Beets?

    Kama inavyojieleza hapo juu ningependa kufahamu kama Sugar Beets ambayo ni mbadala wa Sugar Cane (MIWA) kwenye kutengeneza sukari ya majumbani inalimwa wapi hapa Tanzania.
  7. K

    Kiwanda cha miwa cha Mkulazi ni kilio kwa wananchi

    Habari! Hiki ni kiwanda cha miwa cha mkulazi(Mbigili). Hapa kiwandani baadhi ya miwa imekomaa lakini kiwanda haifahamiki kitaanza lini usindikaji. Ni kiwanda ambacho kipo wilaya ya Kilosa, ujenzi wake unasuasua sana...
  8. Abdistar

    INAUZWA Mashine ya kukamulia juisi ya miwa inauzwa

    Tunamashine mpya za kukamulia juice ya miwa ➡ Zinatumia betri hvyo unaweza fanya biashara hata mahali ambapo hakuna umeme, ➡ Bei ni 2.3 ml 📞±255657291795 WhatsApp kwa maelezo zaidi .
  9. Podcast

    Nahitaji mashine ya juice ya miwa ya kukodi

    Habari ndugu zangu, Leo nimekuja hapa mapema hii nikiwa na shida ya hii mashine ya kutengeneza juice ya miwa, nahitaji kutoka kwa mtu atakayeweza kunikodisha na sio kununua. Awe Dar es salaam na bei ya kukodisha iwe affordable
  10. D

    NAFASI YA KAZI DAR.

    Habari... Anahitajika kijana kwa ajili ya kazi ya utengenezaji na uuzaji juice ya miwa .. eneo kigamboni ferry .. awe msafi,mzoefu,muaminifu na mchapakazi. Mshahara mzuri .. malipo ya kila siku. Garama za chakula na usafiri atapata. Kwa muhitaji wa kazi hii aniPM au atume ujumbe kupitia...
Back
Top Bottom