miwa

  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kiongozi wa Wakulima wa Miwa, Wilbroad Cyprian asema “Mazungumzo yanaendelea na Kagera Sugar kuhusu malipo ya Wakulima wa Miwa

    Suala la Wakulima wa Miwa kutolipwa stahiki zao kutoka Kampuni ya Kagera Sugar, ambapo ilielezwa kuwa walitakiwa kulipwa tangu Desemba 2025, mmoja wa wadau wa karibu wa Wakulima wa Miwa ameelezea kinachoendelea. Hoja ya Mdau ~ Kiwanda cha Kagera Sugar kilipe madeni ya Wakulima wa Miwa, wana...
  2. Trainee

    JamiiForums Tanzania Nimemuona muuza miwa kwenye kampeni za CCM Mbeya nikamkumbuka yule Muuza Madafu wa Ikulu!🤣

    Nimeangalia kampeni za CCM kipande kidogo leo. Wakati watu wanaruka ruka na kuimba kabla ya Kabudi kuongea mara paap kuna mtu akapita na ndoo yake ya miwa pale mbele basi mimi moja kwa moja nikamkumbuka yule Muuza Madafu wa Ikulu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mashine ya miwa kuleta 100,000 kwa mwezi ikiwa imekodishwa

    Wananzengo habari za muda huu. Kuna mashine niliinunua miezi 4 iliyopita kwa sh.700,000. Sasa kuna mtu anasema nimpe aifanyie kazi kwa kuikodi ikiwa mtaji wa kila kitu na services zote ni zake. Anasema atatoa 100,000 kila mwezi ambayo sawa na sh 3300 kwa siku. Nimemwambia angalau iwe 5000 kwa...
  4. W

    JamiiForums Tanzania Mashine ya juice ya miwa inauzwa

    Mashine ya juice ya miwa inayotumia umeme na mafuta inauzwa Bei 850,000 WhatsApp no.0686298896 Location.dodoma
  5. W

    JamiiForums Tanzania Habar zenu wadau kwa yoyote anayehitaji mashine ya juice ya miwa inayotumia mafuta na umeme ipo sokoni inauzwa

    Kwa yoyote anayehitaji mashine ya juice ya miwa ipo sokon inauzwa mashine inatumia umeme na mafuta mashine pia ina kibanda cha kujikinga na jua Bei yake ni 950000 WhatsApp 0686298896 Location .dodoma
  6. manyanga21

    JamiiForums Tanzania Mashine (ya kisasa )ya juice ya miwa inatumia umeme

    Specification zake 1.size 48*38*78 2 voltage 220/50hz 3. Three crushing rollers 4.material (Stainless) 4. Ipo na 3HP electric motors. 5. Uwezo 300kg kwa saa.bei 1,400,00 Ipo mtoni kijichi, mashine ni mpya kabisa
  7. The redemeer

    JamiiForums Tanzania Mnaokamua mawese kutengeneza mafuta au miwa kutengeneza sukari chukua technology hio

    Pikipiki huwa na matumizi mengi sio kubeba abiria tu hata kufanya kazi zingine pia ikiwemo kulima. Huyu mwamba anaitumia kukamulia michikichi ili apate mafuta ya mawese. Huitaji kwenda Veta.
  8. E

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtengenezaji wa juice ya miwa

    Nipo Kitunda,Ilala,Dar-es-Salaam Namba:0685 069 818
  9. Kijana Mpole

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Mashine ya kukamua juisi ya miwa zinauzwa

    Hello wana jamvi kama unataka kuongeza kipato chako nakukaribisha machine za kukamua juisi ya miwa inazipata kwetu Sifa zake inakamua na kuchuja yenyewe ni machine kutoka China Pia ulaji wa umeme ni mdogo sana Gharama ya machine 1350000 tu nipigie kwa maelezo zaidi 0774150519 Napatikana...
  10. E

    JamiiForums Tanzania Chimbo la miwa kwa bei rafiki

    Wakuu Nafanya hii mishe, wenye kufahamu machimbo yawekeni hapa Karibuni kwa uzoefu
  11. E

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri fenesi vs miwa ya kufunga kwenye mifuko ipi inatoka kwa haraka

    Wakuu, naombeni ushauri tafadhari. Nahitaji ushauri kwenye hizi 'side hustle' Fenesi la kukata na kufunga kwenye makopo au miwa ya kufunga kwenye mifuko. Ipi inatoka kwa haraka. Asanteni sana Ni mimi muuza magimbi +viazi.
  12. N

    JamiiForums Tanzania Wakulima wa miwa kilombero kunufaika na ubunifu kupitia maonesho ya teknolojia wilayani humo

    Wakulima wa miwa wa bonde la Kilombero wanatarajiwa kunufaika na ubunifu sambamba na teknolojia za kisasa za kilimo zitakazooneshwa kupitia maonesho ya siku ya wakulima wa miwa Kilombero, yatakayofanyika kuanzia tarehe 10 hadi 12 Oktoba 2024. Maonesho haya ya siku tatu yanaungwa mkono na...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Nauza mashine ya kukamua juisi ya miwa. Imetengenezwa sido. Inatumia umeme na imetumika kwa takribani mwezi mmoja. Ipo Kimara DSM

    Nauza mashine ya kukamua juisi ya miwa. Imetengenezwa sido. Inatumia umeme na imetumika kwa takribani mwezi mmoja. Ipo Kimara DSM Inauzwa Tsh 700,000/ Phone: 0675336219 Mashine bado ipo wadau
  14. K

    JamiiForums Tanzania Kilio cha Wakulima wa miwa Kilombero

    Sera ya nchi yetu kwa wakulima ni KUWAWEZESHA ili wainuke kiuchumi. Wakulima wa Kilombero wamelima miwa yao, wamevuna miwa yao na hwana pa kuuzia. Viwanda vya sukari vimejaza sukari matani na matani hawana pa kuuzia kisa sukari iliyoingizwa bila KODI imetapakaa mitaani. Sukari imeagizwa...
  15. Meshaki Richard

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Tunauza Mashine za kukamua juisi ya miwa

    Hello tunauza mashine za kukamua juisi ya miwa Sifa kuu inakamua na kuchuja yenyewe Huna haja ya kusumbuka Pia Hutumia Umeme kidogo karibu sana Tupo kariakoo mtaa wa masasi na ndanda 0774150519
  16. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Tanzania Je ni kweli miwa inayooteshwa pembeni ya bafu ina madhara yoyote?

    Nimeenda kumsalimia mshikaji wangu kajenga nje ya mji kidogo, tulikua kama watatu, tulipofika story zikaendelea jamaa tukawa tunamsifia katengeneza garden amazing, akaenda kukata miwa tutafune huku tunaenjoy hali ya hewa, miwa ilikua mitamu balaa wenzangu wakawa wanaisifia miwa kwamba ina maji...
  17. KingPower

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Mashine ya kukamua juice ya miwa inauzwa

    Habari za weekend, Wakuu. Husika na mada tajwa hapo juu, Waswahili wanasema kimfaacho mtu chake, Ninauza iyo machine ya kukamulia Juice ya MIWA, ipo Tanga kwa Bei ya 850K, Ipo katika hali nzuri inatumia umeme, na toka nimeinunua nimeitumia kwa mwezi mmoja Tu, Karibu Sana.
  18. S

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Inauzwa Mashine ya biashara kusaga na kuchuja juis ya miwa N mpya inatumia umeme Motor ya 3HP 📞📞0757687358

  19. S

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Mashine kusaga juis ya miwa model YF L80

    Mashine n mpya Npe 1.4M Kujieleza 📞📞07
  20. S

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Mashine ya miwa mpya na ya kisasa zaidi

    Mashine ya kukamua na kuchuja juisi ya miwa inauzwa Ipo Mbeya Mjini popote inatumwa Bei yake: 1.6 M. 📞📞 & Whasap 0757687358 Whasap & call 0757687358 Specification zake 1.size 48*38*78 2 voltage 220/50hz 3. Three crushing rollers (Stainless) 4. Ipo na 3HP electric...
Back
Top Bottom