Hello
Hope mko salama..
Hii kitu inanikata sana unakutana na kijana mzuri tu ila unamuuliza anasali wapi anakwambia nasali kwa Mwamposa au nasali kwa Kuhani Musa..
Anyway sio mbaya kila mtu na imani yake ila kwa upande wangu sifurahishwi na wanaume wahumini wa makanisa hayo yanayo trend na...
Maandiko Yasemavyo Kuhusu Manabii na Mitume wa Kweli na Uongo
Huduma ya mitume na manabii wa uongo na hasa ya kinabii, ilitabiriwa tangu enzi za Agano la Kale, kwamba itakuwepo duniani, na sasa ipo.
Kitabu cha Yeremia 14:14: "NDIPO BWANA AKANIAMBIA, HAO MANABII WANATABIRI UONGO KWA JINA LANGU...
Kitaa hali ni ngumu sana, hata ukiacha haka kamvua ka leo.
Ukame
Joto
Fukuto
Ukosefu wa maji
Mke wa Kapola aliwahi kuishiwa na gesi ya kupikia. Mumewe akafanya muujiza, mtungi ukajaa gesi, mambo yakawa sawa. Japo hatukuwahi kupata mrejesho kama ile gesi ya muujiza iliisha au la, wala kama...
Nimeona maoni watu wengi juu ya neno mwanaharakati na matumizi yake. Neno mwanaharakati linatumika kujenga taaswira mbaya juu ya jitihada wapigania haki za watu.
Mwanaharakati ni mtu anaetetea aina flani ya mtizamo na kupinga kila kilicho kinyume chake. Kwa Maana hiyo mtu yeyote mwenye...
Makabila 12 ya Wana Israel
1. Ruben – mzaliwa wa kwanza wa Lea.
2. Simeon – mwana wa Lea.
3.Lawi/Levi – mwana wa Lea → kutoka hapa ndio anatoka Nabii Musa na Harun.
4. Yuda (Judah) – mwana wa Lea → kutoka kabila hili walitokea manabii wengi na mfalme Daudi na Suleiman.
5. Isakari (Issachar)...
Kwani hao manabii mnaowasoma kwenye biblia na quruan na waliotunga vitabu vya dini walikuwa wasomi kiasi gani hadi bunge liwe la wasomi?
quruan na biblia ziliandikwa na wasomi hadi bunge liwe la wasomi tu?
Yesu na mohamad walikuwa wasomi mbona mnawaabudu na kuwatukuza hadi leo na umbumbumbu...
Shalom wana wa Mungu,
Sijui niongeze sauti… lakini kichwa cha habari kinajieleza.
Wanandoa hasa wamama—badilikeni.
Pendeni nyumba zenu kama mnavyopenda wachungaji, manabii na mitume.
Maana mkiachika, mtasikia: “Huyo hakuwa wako, hakuwa kutoka kwa Mungu.”
Lakini ukweli ni mawili tu...
Geneva of africa is fall down
Lile jiji lililofahamika kama ngome ya upinzani na kitovu cha utalii africa sasa limekuwa pango la matapeli kwa wanaojiita manabii na mitume uchwara wanaotumia kivuli cha dini kufanya utapeli.
Wanauzia watu maji na mafuta wanayowaaminisha watu kuwa ni ya upako na...
Kwenye ukristo na katika Uyahudi huko agano la kalii nabii alichukuliwa kama ni mtu muonaji/seer wa mambo ya yajayo mbeleni, pia katika agano la kale na Uyahudi hakuna mtume au mitume. Katika agano jipya ndio kumekuwepo na cheo cha mtume(apostle) ambapo kinahusu wale wafuasi 12 waliokuwa...
Huu ni utafiti mdogo usio rasmi ambao unaoenesha karibu Kila mtaa au Kijiji huko Mbeya kina nabii mmoja na mtume mmoja, Hali ambayo hata UKo Kwa wayahudi Toka enzi na enzi Hadi Sasa haijwahi tokea, swali je hii comeback ya ajabu imetokea wapi?
Maana hata ukichanganya waarabu na wayahudi Kwa...
Kuna muda nafikiria nakosa majibu kuhusu huu utiriri wa manabii hapa Africa, Yan Africa inaweza kuwa na manabii wengi kuliko waarabu na wahayudi, Sanasana UKo unyakikyusani wanamabii na mitume kuzidi hata wayahudi watoto wa Yakobo!!!
Hili linanifikirisha sana kwakwel Africa ujinga ni mwingi...
Kila mtu anaamini katika Imani yake.
Hivyo Kila mtu aiombee Simba katika Imani yake.
Haya ni maono ya mtumishi ww Mungu.
https://www.facebook.com/share/r/1E2SjxMTA3/
https://vm.tiktok.com/ZMS8mPPVf/
Kutii Mamlaka za dunia ni Baraka.
Warumi 13:1-14, iwaongoze,
13:1 Tit 3:1; 1Pet 2:13, 14; Dan 2:21; 4:17; Yn 19:11Kila mtu na atii mamlaka inayotawala, kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, nazo mamlaka zilizopo zimewekwa na Mungu. 13:2 Kut 16:8; Tit 3:1Kwa hiyo...
Na Askofu Kalikawe Lwakalinda Bagonza (PhD) kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Facebook.
NANI ANAFUATA?
Je ni hujuma? Kwa Nani?
- Kwa Fr. Kitima?
-Kwa Nchi yetu?
Kwa Rais?
Kwa Kanisa Katoliki?
-Kwa Ukristo?
-Kwa Chama cha Siasa? Kipi?
- Kwa Wasiojulikana?
-Kwa Kristo: Nabii, Kuhani na...
Utangulizi
Ni jumuiya ya wanafunzi wa Yesu waliofanyik limbuko katika kazi ya Kristo Ulimwenguni ambao waliokubali kuacha vyo wakajitoa dhabihu kukaa hekaluni huku mwjuku na familia zao zkitwketea kwa kukosa usimamizi na mapenzi wala huduma za msingi toka waanzilishi wa familia husika.
Yesu...
Wewe unaueyumbishwa na wimbi la hawa matapeli wanaojiita mitume, manabii na walimu tafakari vizuri. Mitume wale waliotembea ma Yesu wangepewa kazi warudi duniani wangekuja kuhuburi hii injili uchwara inayohubiriwa leo makanisani na redioni? Wangekuwa wanabwabwaja kwa lugha za mashetani...
Ukisoma historia za Dini toka enzi za Mitume na Manabii,Viongozi wote wa Dini walikuwa tofauti na selikari zao za kipindi hicho, sababu ya kuwa na Imani ya Muumba wao, wakazisimamia jamii walizokuwa wanaziongoza na wakakinai ya dunia ,yaani kutokuvithamini vitu vya dunia mali na anasa zake...
BOB MARLEY:-
"How can you be sitting there
Telling me that you care
That you care?
When every time I look around,
The people suffer in the suffering
In every way, in everywhere
Say, na-na-na-na-na (na-na, na-na!)
We're the survivors
Yes, the Black survivors"
WAKE UP AFRIKA!
Shekhe Ponda amesema kuwa suala la yeye kuitwa mtata halimshangazi kwakuwa anasimamia haki na lengo lake ni kutafuta haki na ndiyo maana hata Mtume Muhamad na Yesu walionekana watata mbele ya watawala wao kwa sababu ya haki.
Kuna ukame ambao unatishia maisha ya watu na mali zao.
Akina Mwamposa and Co. Ltd wamejinasibu na kufanya miujiza kurekebisha mambo kama magonjwa, bahati kuondoa mikosi , kuleta utajiri etc etc.
Najiuliza, mbona sasa hawafanyi miujiza mvua ikanyesha?
Tunao zaidi ya 400
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.