Manabii na mitume; hamna muujiza wowote wa maji?

Manabii na mitume; hamna muujiza wowote wa maji?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,651
Reaction score
860,928
Kitaa hali ni ngumu sana, hata ukiacha haka kamvua ka leo.

Ukame

Joto

Fukuto

Ukosefu wa maji


Mke wa Kapola aliwahi kuishiwa na gesi ya kupikia. Mumewe akafanya muujiza, mtungi ukajaa gesi, mambo yakawa sawa. Japo hatukuwahi kupata mrejesho kama ile gesi ya muujiza iliisha au la, wala kama kuna muujiza mwingine uliwahi kufanyika tena.

Kwenye makanisa yao, vipindi vya TV, na clip za mitandaoni, tunashuhudia miujiza mingi sana.
Gwajima, enzi zake kabla ya hii misukosuko ya kisiasa, aliwahi hata kumfufua mtoto live pale kanisani.

Sasa tunamhitaji kwenye hili janga la ukame na ukosefu wa maji.

Kuna shida mahali fulani — ni kama vile wamepoteana, pengine kutokana na misukosuko ya kisiasa na zile tabiri kabla ya MO29.
LAKINI huku kitaa wanaoteseka ni waumini wao!

Chondechonde, tunawaomba wafanye jambo.
Si kila mara tuwalipe jamani!
Mmeshakula sana sadaka zetu 😄
 
Kitaa hali ni ngumu sana, hata ukiacha haka kamvua ka leo.

Ukame

Joto

Fukuto

Ukosefu wa maji


Mke wa Kapola aliwahi kuishiwa na gesi ya kupikia. Mumewe akafanya muujiza, mtungi ukajaa gesi, mambo yakawa sawa. Japo hatukuwahi kupata mrejesho kama ile gesi ya muujiza iliisha au la, wala kama kuna muujiza mwingine uliwahi kufanyika tena.

Kwenye makanisa yao, vipindi vya TV, na clip za mitandaoni, tunashuhudia miujiza mingi sana.
Gwajima, enzi zake kabla ya hii misukosuko ya kisiasa, aliwahi hata kumfufua mtoto live pale kanisani.

Sasa tunamhitaji kwenye hili janga la ukame na ukosefu wa maji.

Kuna shida mahali fulani — ni kama vile wamepoteana, pengine kutokana na misukosuko ya kisiasa na zile tabiri kabla ya MO29.
LAKINI huku kitaa wanaoteseka ni waumini wao!

Chondechonde, tunawaomba wafanye jambo.
Si kila mara tuwalipe jamani!
Mmeshakula sana sadaka zetu 😄
Kaka hii vita utaweza kuhiimili au nikae standby kukupa back up ?
 
Kitaa hali ni ngumu sana, hata ukiacha haka kamvua ka leo.

Ukame

Joto

Fukuto

Ukosefu wa maji


Mke wa Kapola aliwahi kuishiwa na gesi ya kupikia. Mumewe akafanya muujiza, mtungi ukajaa gesi, mambo yakawa sawa. Japo hatukuwahi kupata mrejesho kama ile gesi ya muujiza iliisha au la, wala kama kuna muujiza mwingine uliwahi kufanyika tena.

Kwenye makanisa yao, vipindi vya TV, na clip za mitandaoni, tunashuhudia miujiza mingi sana.
Gwajima, enzi zake kabla ya hii misukosuko ya kisiasa, aliwahi hata kumfufua mtoto live pale kanisani.

Sasa tunamhitaji kwenye hili janga la ukame na ukosefu wa maji.

Kuna shida mahali fulani — ni kama vile wamepoteana, pengine kutokana na misukosuko ya kisiasa na zile tabiri kabla ya MO29.
LAKINI huku kitaa wanaoteseka ni waumini wao!

Chondechonde, tunawaomba wafanye jambo.
Si kila mara tuwalipe jamani!
Mmeshakula sana sadaka zetu 😄
Kaka hii vita utaweza kuhiimili au nikae standby kukupa back up ?
 
Uchawi na miujiza ya kiungu na Mungu ni hadithi ndugu.. Huyu Leo kama hana chembechembe za agnostic basi Kuna ujumbe wakisiasa anautoa...😅
Ndio maana niliwahi kukuroga😂
 
Nje ya mada! Nasubiri na tuzo za nabii/ mtume bora wa mwaka 2025

Yan mtu hakishiriki hata uchaguzi, lakini ndo anakua bora. Basi ile sera yake ya NRNE ilikubalika. CDM kina nguvu saaana
IMG-20251216-WA0021.jpg
 
Kitaa hali ni ngumu sana, hata ukiacha haka kamvua ka leo.

Ukame

Joto

Fukuto

Ukosefu wa maji


Mke wa Kapola aliwahi kuishiwa na gesi ya kupikia. Mumewe akafanya muujiza, mtungi ukajaa gesi, mambo yakawa sawa. Japo hatukuwahi kupata mrejesho kama ile gesi ya muujiza iliisha au la, wala kama kuna muujiza mwingine uliwahi kufanyika tena.

Kwenye makanisa yao, vipindi vya TV, na clip za mitandaoni, tunashuhudia miujiza mingi sana.
Gwajima, enzi zake kabla ya hii misukosuko ya kisiasa, aliwahi hata kumfufua mtoto live pale kanisani.

Sasa tunamhitaji kwenye hili janga la ukame na ukosefu wa maji.

Kuna shida mahali fulani — ni kama vile wamepoteana, pengine kutokana na misukosuko ya kisiasa na zile tabiri kabla ya MO29.
LAKINI huku kitaa wanaoteseka ni waumini wao!

Chondechonde, tunawaomba wafanye jambo.
Si kila mara tuwalipe jamani!
Mmeshakula sana sadaka zetu 😄
😄😄😄😄😄
 
Back
Top Bottom