mission

Mission president is a priesthood leadership position in the Church of Jesus Christ of Latter-day Saints (LDS Church). A mission president presides over a geographic area known as a mission and the missionaries serving in the mission. Depending on the particular mission, a mission president may also be the presiding priesthood leader of some or all Latter-day Saints within the geographic boundaries of the mission. Mission presidents are ordained high priests of the church.

View More On Wikipedia.org
  1. G

    JamiiForums Tanzania Hongera Tundu Lisu umeshinda Kwa kiwango kikubwa kufunua Kwa kiwango kikubwa udhaifu wa mifumo yetu serikali bungeni sasa mahakamani mission complete

    Hapa ni great thinker wanaweza kuelewa nachomaanisha hapa. Kazi kubwa ya Lisu amehitimisha Leo kufunua udhaifu mkubwa wa mihimili ya nchi yetu. Kazi imebaki Kwa wananchi kuchukua hatua za kufanya mabadiliko makubwa kwenye hiyo mifumo yetu . Kama alivyoelezea historia yake inaonyesha akijaribu...
  2. Megalodon

    JamiiForums Tanzania Ni Aidha Katambi ana changamoto ya Afya ya Akili au Obsession au amekosa objective na Mission kwenye Wizara yake

    Afya ya akili kwa sasa ni Tatizo kubwa kwa watu wa maofisini na baadhi ya wasomi. Katika definition simple kabisa Afya ya akili ni excessive characters zinazokutoa kwenye reality ya maisha ya kawaida . Sijakaa na Katambi kujua hasa specific symptoms zake lakini trend ya matukio yake na...
  3. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Chuo Kikuu cha Harvest Mission chamtunuku PhD Mchungaji Mstaafu Samwel Mwahalende

    MCHUNGAJI Mstaafu wa kanisa la Pentecostal Holiness Mission ( PHM), Samwel Mwahalende, ametunukiwa Shahada ya Uzamivu (PhD) na Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Harvest Mission cha Texas, Marekani, ikiwa ni kutambua mchango wake wa muda mrefu katika kulitumikia Kanisa na jamii. Akizungumza muda...
  4. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Kwanini mission za kuiua na kuifuta CHADEMA kisiasa zinafeli na kwanini Serikali inaambulia chuki kutoka kwa Wananchi badala ya mafanikio?

    Kumekuwa na kufeli kwa mission nyingi za kukiondoa Chama cha Demokrasia na Maendeleo katika uso wa siasa zetu, majaribio yote yameishia kuwa kituko cha awamu husika, propaganda za kitoto dhidi ukomavu mkubwa wa kisiasa ambao jamii yetu inao kwa sasa zimeisha kuwa chuki dhidi ya serikali. Baada...
  5. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania What is real mission of Joseph Selasini to Chadema after he successful managed to lead the removal of J. Mbatia as National chairman of NCCR-Mageuzi?

    What real inspires Joseph Selasini to jet back to Chadema at this time? And who is behind his move? Is he a mole or trojan horse within Chadema circle? Which opportunities did J.Selasini see within Chadema we didn't see them? Can we expect Chacha Wangwe scenarios within Chadema? Can we expect...
  6. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 150 Kenyan Officers Return Through JKIA as Haiti Mission Faces Rising Opposition

    At least 150 Kenyan police officers have arrived at Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) ahead of their deployment to Haiti, even as pressure mounts back home to halt the mission. The officers are part of Kenya’s ongoing multinational security mission aimed at restoring order in Haiti...
  7. Mad Max

    JamiiForums Tanzania GoPro wamesitisha series yao ya “Hero” Action cameras! Wametambulisha Mission 1 Series!

    GoPro Hero ni jina maarufu sana kwa wapenzi wa camera, especially Action Camera. Tokea Hero 1 mwaka 2009 hadi Hero 13 Black mwaka 2025 mengi sana yametokea kuboresha tasnia ya Action Camera. Upinzaji mkubwa kutoka DJI Osmo Action umemaumbua sana GoPro siku za usoni, na baadhi ya watu kusema...
  8. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Mbona hii mission ya mwezini sijaielewa, ni kweli tuliwahi kutua mwezini miaka ya nyuma?

    Kwanini kama miaka ya nyuma NASA Waliweza kufanya landing mwezini kipindi cha cold war kwanini hii misheni ya Artemis 2 objective ni just kuuzunguka mwezi kitu ambacho naamini hata chombo kingetumwa kufanya hio kazi kingeweza me nilijua tena safari hii tutatua mwezini
  9. Waziri Mayai Wa Maradhi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Police Return Home, Marking End of Haiti Mission

    On Tuesday night, the second group of Kenyan officers sent to Haiti as part of the Multinational Security Support (MSS) program touched down in Kenya. Kenyan police deployment to bring peace to the war-torn Caribbean nation came to an end with the repatriation. Following UN Security Council...
  10. GANJIBHAAI

    JamiiForums Tanzania Kuna Walio na Hasira, Stress na Ghadhabu baada ya Mission kutokamilika kwa Asilimia mia

    Kuna wakati nilifikiri suala la kuposa, kuoa ni jambo jepesi, ila kwa figisu zile za mashemeji sijaamini macho yangu…kuna level ilifikia nilitaka kuwaachia dada yao ila kuna wazee waliniita pembeni wakanitonya.😃
  11. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mabaharia: mission failed!

    Wana wakiwa hawana uwezo wa kupata vibali vya kuingia spain wakabuni mbinu za aina yake ili waingie Spain bure.. Wakaji coumaflage kama mikondoo wakatiwa kwenye container wakasafirishwa Kufika mpakani dili likabuka baada ya kuswagwa kwa viboko walie kama kondoo wakalia kama watu😂 Je kama ni...
  12. Rungwe88

    JamiiForums Tanzania Mnaokejeli, shambulia na kutukana Roman Church, hivi mnafahamu historia na mission ya hilo dude?

    Kuna kitu nimeona nikieleze kuhusu Roman Catholic church baada ya kuona Kuna watu hapa nchini Tanzania wanatukana, wanashambulia watumishi wakatoliki, wanakejeli katoliki (TEC) n.k kwakutumiwa na wanasiasa wasio na akili pia walioishiwa hoja na wasiosoma historia kutoka CCM pia watanzania...
  13. Mocumentary

    JamiiForums Tanzania Killing it softly

    Bbbb
  14. smarte_r

    JamiiForums Tanzania Hongera sana Mange, Mission yako imefanikiwa. Pokea maua yako

    watu wanaweza kumbeza mange kimambi vile watakavyo, lakini kiukweli kampeni yake ya maandamano imefanikiwa kwa asilimia kubwa sana. Kwanza amefanikiwa kutengeneza awareness kwa watoto wetu hawa waliozaliwa miaka hii ya teknolojia ya dijitali. niseme tu ukweli, kizazi cha mwisho kwa ccm...
  15. T

    JamiiForums Tanzania Anayofanya ndg Polepole yamepangwa na CCM na yataisha baada ya Uchaguzi Mkuu

    Baada ya kuzuka wimbi la watanzania kudai katiba mpya miaka hiyo kipindi cha Jk kuliibuka matukio mengi ili kuzima wimbi la katiba mpya kwa watanzania CCM inakujaga na planned and calculated mission za muda mrefu mfano ni mingi ila kwa uchache Shabuda, Zitto, Sumaye, late Lowasa etc hii ni...
  16. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Ntaanzisha Tanzania Space Colonization Mission (TaScom)

    Tunafahamu kwenye universe kuna sayari nyingi sana, nyota, satellite za asili, vimondo n.k Hakuna mwenye hatimiliki ya space ni ya wanadamu wote bila kujali rangi yao Nikiwa Rais wa Tanzania ntaanzisha space colonisation mission na itakua na kazi zifuatazo Kutengeneza artifical ozone layer za...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Anayejua kuhusu hili shirika naomba anisaidie

    Maeneo ya kimara suka dsm, kuna shirika linaloitwa (UM) United Mission. Au jina lingine ni Foundation Mission Tanzania (FMT). Wanajihusisha na utoaji misaada kwa jamii, kama kujenga misikiti, makanisa, mashule, uchimbaji visima na mambo mengine kede kede. Wanatoa kazi na misaada kwa wanachama...
  18. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Trump: Ndege zetu za B-2 zipo njiani kurudi Marekani baada ya kukamilisha Mission

    Marekani imeishambulia maeneo ya nyuklia ya Iran kwa makombora ya B-2 , amesema afisa wa Marekani. Rais wa Marekani Donald Trump anasema Marekani imekamilisha mashambulizi kwenye maeneo matatu ya nyuklia nchini Iran, ikiwa ni pamoja na Fordo, Natanz na Esfahan. Fordo 'imeenda', aliandika...
  19. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Shehe Ponda yuko ACT Wazalendo kwa mission Maalumu hasa kipindi hiki, na hio mission kaianza jana.

    Shehe ponda pale Act Wazalendo kapelekwa kwa kazi maalumu ya ku convice watu wa imani washiriki uchaguzi, na hio kazi kaianza jana kupitia tamko la shura ya Maimam na ataendelea nayo kwa muda mrefu sana. Na kuanzia Jana na kuendlea tegemea Shehe Ponda kuwa na ukosoaji soft soft kwa Watawala...
  20. W

    JamiiForums Tanzania Dunia hii kila mtu ana mission yake aliyopewa kuja kuikamalisha lakini mimi sijui mission yangu, je nipo alone ?

    Niliwahi kusikia Dunia hii kila mtu ana mission yake aliyopewa kuja kuikamalisha, Mfano ni mtu kama Lissu mission yake ni ukombozi haijalishi hata akishindwa, Mrisho Mpoto ni kutukumbusha asili zetu kupitia muziki haijalishi hata kama mziki haumlipi, n.k. Nikiwa shuleni hadi chuo maisha yangu...
Back
Top Bottom