my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,402
Nakumbuka wakati naachana na x wangu aliniambia "hutokuja kupata mwanaume kama mimi maisha yako yote" 🤦♀️ Watu wengine sijui hua wanajiamini nini mpk wanaeza kutamkia mtu maneno km haya. Matokeo yake yeye ndo hakupata tena mwanamke km mimi.
Baada ya kuachana na mimi amekua akibadikisha wanawake tu, leo huyu kesho yule 😁 amekua hadumu kwenye relationships. Relationship yake iliodumu sana ilikua na mimi tu.
Mie aliniambia sitampata mwanaume km yeye saa hii nina mahusiano yangu yanayoenda vizuri tu na mwezi wa 7 tunaoana. Nina plan nimpelekee card ya mualiko huyu x wangu.
Nataka aone alichokipoteza kilikua na thamani lakin hakujua thamani yke kwa mda ule lol 😉
Baada ya kuachana na mimi amekua akibadikisha wanawake tu, leo huyu kesho yule 😁 amekua hadumu kwenye relationships. Relationship yake iliodumu sana ilikua na mimi tu.
Mie aliniambia sitampata mwanaume km yeye saa hii nina mahusiano yangu yanayoenda vizuri tu na mwezi wa 7 tunaoana. Nina plan nimpelekee card ya mualiko huyu x wangu.
Nataka aone alichokipoteza kilikua na thamani lakin hakujua thamani yke kwa mda ule lol 😉