Leo nimewaza tu nakumkumbuka kijana Deusdedith Soka ambaye aliwahi kusema "Unaweza ukamuua Soka Lakini huwezi ukauwa fikra ambazo mimi ninafikiri. Kwa sababu fikra zangu ni kupigania haki. Hata kama nikifa leo, kesho au kesho kutwa, ninaamini Fikra zangu zitaendelea kuishi.
Wako mamilioni ya...
Tayari hili janamke nishalitolea taarifa huko ICC.
Nimeambatanisha picha za kawaida pamoja na video za ushahidi wa unyama wake kwa kadri ya kiasi kinachoruhusiwa.
Wewe mdau kama umeumizwa na yaliyotokea, basi fanya hima ili uwe katika upande sahihi wa kihistoria.
Kokote kule unakoweza...
Mbona kama Samia ameapishwa na Gwaride lenye mapungufu ya kimamlaka.
Pia hawa Askari wa Gwaride walilazimishwa au ilikuwaje?
CCM msipuuzie hili, nchi iko chini ya Jeshi now, wamemnyima mamlaka yake kwa mkakati maalumu, ili wamtoe wakitaka... CCM jisafisheni haraka kabla jeshi halijawafuta...
Pac alikuwa mshairi mwenye uwezo wa ku-relate yaliyondani ya moyo yaendane na harakati za maisha ya kila siku, mwenye energy ya kutunga ideas nyingi na kudondosha rhymes kama kiwanda.
Ila big alikuwa picaso wa kudeliver sanaa ya kufoka foka iwe katika mpangilio na ubunifu wa kuteka sikio lako...
Miezi ya hivi karibuni kuna mtanzania anaishi marekani anaitwa mange kimambi na ameitisha maandamano na mpaka sahivi anayapigia debe kwa njia mbalimbali kupitia mtandao wa instagram
Wako watakaopiga kura
Wako wanaosupport maandamano
Wako wanaopinga
Wako ambao hawajajua wako upande upi...
Huu ni misimamo wangu siungi mkono maandamano
Kwa hili nitaungana na serikali kwasababu huwezi shindana na Dola na pia ukishindana nayo wengi mtakuwa vilema na marehemu.
Nashauri swala la maandamano lifuteni
Hilo halipo na Mimi nitakuwa upande wa Dola.
Rais Samia Suluhu Hassan ndiye Rais pekee aliyejitambulisha kwa cheo cha UAMIRIJESHI MKUU mara 3129 ndani ya kipindi cha miaka minne huku watangulizi wake walikuwa wakitambulishwa na wengine .
Wataalam wa phycology kitaalam jambo husika linatoa tafasiri gani kiroho na kimwili?
Na mnatoa...
Mwaka 2017 nilikamatwa kwa kumkosoa Magufuli.
Kipindi kile nilikuwa na miaka 21
Ila sikutetewa na mtu yoyote Ila kwakuwa Mimi nilikuwa naishi karibu na police kota , na ni Kijana humble . basi kesi ilichezeshwa na wakaizuia isipate Ku-trend .
Basi Mwanasheria wa Serikali aliifuta Kesi yangu...
“Nimewasikia watani wetu katika mkutano wako kuwa wao hawana shida na Rais Samia lakini wanashida na mimi, niwatoe hofu kuwa mimi ni mwanafunzi wa Dkt Samia kama watakavyotiki kwake na kwangu wakatiki nikawaonyesha maaana ya uongozi” alisema Wanu ambae ni mtoto wa Rais Samia na Mgombea Ubunge...
Wewe ni nani ujifanye unamjua mTanzania na uvumilivu wake?
Yani mimi nivumilie watu wanauwawa nchini kwangu?
Watu wanatekwa kila siku, alafu nitulie tu kisa sio familia yangu?
Ripoti za CAG ufisadi wa kutisha,, nitulie tu???
We pokea hiyo hela kale, hizo propaganda hazifanyi kazi tena
Niamini Mimi adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe,
Huyo mwanamke mwakilishi wa muhamedi TAPTA LA madawa ya kulevya, lilirowai dakwa na Mzee Magu, yeye ndo alikuwa akipambana na mwanamke mwenzake mwanzo mwisho,
Hata wale mabaunsa yeye ndo aliyewatafta, na aliwanunulia na Bangi, na...
Nini madhumini na matumizi ya vitu vifuatavyo wavaapo wakina dada na akina mama katika jamii yetu?
1: Kipini cha puani a.k.a (Kishaufu) iwe kushoto au kulia
2: Kikuku iwe mguu wa kushoto au kulia au yote kwa pammoja
3: Na mwisho ni Shanga za kiunoni.
Je, waonaje? Vyapoteza maana halisi kwa...
Kwema wakuu, heshima mbele!
UKIPENDA NI NOMA AISEE! Next time nitajitajidi mimi ndio nijibu nakupenda pia, ngoja nile glucose kwanza nipate nguvu ya kusimulia, nitarudi.
to be continued....
Poleni na kifo ila mimi sijalia.
Nalia na ndugu wa Ali kibao, nalia na ndugu wa Mdude, nalia na wamama hospitali wanapambania afya zao na za watoto wao, nalia na watanzania wanapambana usiku na mchana ila wanakutana na kodi za ajabu kwenye kila kitu.
Nalia na waTanzania walio na wanaouawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.