Sal Davis asimulia studio akiwa na anafanyiwa interview 2017
JKL | One on One with Sal Davis part 2 View: https://m.youtube.com/watch?v=UaWZaS9m8B0
Gwiji lenyewe wa wimbo Back In Dubai katika klabu ya Safari wimbo ulivuma kote na kuwa nembo ya Dubai, ila ndani mwake maneno Dubai is Mine yalimfanya mtawala wa Dubai Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum kutahayari na kumwambia Sal Davis umaarufu wa wimbo huu pamoja ya kuleta mamilioni ya watalii kula raha pahala penye jua muda wote bila mvua kutibua mambo lakini kama vile machale yananicheza unaniondolea mamlaka yangu acheka Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum ...
Wimbo huo uliinyanyua Dubai ya 1970s ambayo haikuwa hii tunayoiona sasa anasema Sal Davis ambapo ni kitovu cha utalii kutokana na kazi kubwa ya mtawala wa Dubai kungamua utalii ni sekta kubwa kwa uchumi wa nchi ukisimamiwa na kukuzwa kimkakati
2024 Mohammed Said Mchambuzi wa Historia na Mwandishi wa Vitabu Akimzungumzia Sal Davis View: https://m.youtube.com/watch?v=EW-JClXD2ok
Mwanamuziki Nguli alie tikisa Dunia akitokea Afrika Mashariki.Mohammed Said anasema ni Mkenya wa kwanza kununua Ndege kutokana na fedha za Muziki na Biashara zake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.