CHONDE CHONDE MAMA ZINDUNA, HATA MIMI NINAMOYO!
Anaandika, Robert Heriel
VPN.
Manyanyaso yalizidi pale Ukweni, kama mtakumbuka Taikon nilileta Stori zaidi ya tatu humu tangu nimeenda kuchumbia, mpaka nikaishi Kwa Shemeji, kisha nikaitwa nikaishi ukweni na Mke wangu. Baada ya kupigwa ngumi...