Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,510
- 3,332
Katika historia ya Uefa champion's league mechi mbili tofauti ambazo zilivunja mioyo ya watu ni fainali 1999 Manchester united vs Bayern na nusu fainali mwaka jana 2022 Man City vs Real Madrid.
Ilivunja sana mioyo ya mashabiki wa Man City walipokuwa na uhakika kabisa wanaenda fainali kukutana na Liverpool lakini dakika za mwisho ndoto zao zika baada ya Real Madrid kuvuka hatua hiyo.
Licha ya Pep Guardiola kuwa mbaguzi namuombea kwa mungu timu yake anayoifundisha ishinde mechi yake ya leo na marudio iingie fainali na kubeba kombe. Nitafurahi sana.
Pia msimu ujao UCl naiombea PSG ichukue.
Pep anastahili hili kombe licha ya ubaguzi wake.
Ilivunja sana mioyo ya mashabiki wa Man City walipokuwa na uhakika kabisa wanaenda fainali kukutana na Liverpool lakini dakika za mwisho ndoto zao zika baada ya Real Madrid kuvuka hatua hiyo.
Licha ya Pep Guardiola kuwa mbaguzi namuombea kwa mungu timu yake anayoifundisha ishinde mechi yake ya leo na marudio iingie fainali na kubeba kombe. Nitafurahi sana.
Pia msimu ujao UCl naiombea PSG ichukue.
Pep anastahili hili kombe licha ya ubaguzi wake.