Tuheshimianeni humu ndani, nyuzi zangu hazina muendelezo leo nikisema mimi polisi, kesho kutwa mganga.. nisiulizwe

Tuheshimianeni humu ndani, nyuzi zangu hazina muendelezo leo nikisema mimi polisi, kesho kutwa mganga.. nisiulizwe

Kevzy

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2026
Posts
632
Reaction score
951
Hamjambo nyie waja

Binafs sitaki niulizwe, yaani ukute leo nimetoa uzi mimi mwizi, kesho kutwa mimi askofu au sheikh sitaki niulizwe au nikumbushiwe

Uwa nawa replesent watu wangu wa karibu, sasa mkiniuliza mimi nilikuwa mlevi vipi leo naswalisha sitak maswali ya hivyo

Humu kuna watu hawaelewi.. mpaka niwakamatishe kwa wazee wa UNUNI…. Jisheshimuni

By the way nawapenda sana JF.. wanaume shikamooni ila wanawake nawapenda wote nikipata nafasi nitawatongoza
 
Back
Top Bottom