mfumo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Mfumo maalum wa uendeshaji wa vyuo vya Afya- Colleges Health And Allied Sciences (COHAS)

    Habari wa jamiiforums Kwa uendeshaji wa vyuo vya Afya nimeandaa mfumo maalum wa uratibu wa matokeo na ada kwa vyuo vya afya kwa ngazi ya NTA level 4,5 & 6 Mfumo huu utarahisisha kuhifadhi taarifa na kutoa matokeo kwa wanafunzi kwa wakati, Wanafunzi ambao hawajatoa ada wanaweza kuzuiwa kuona...
  2. 5

    Bodi ya Mikopo (HESLB), mfumo unasumbua kujaza fomu online

    Bodi ya mikopo kwanini unapojaza taarifa kama tarehe ya kuzaliwa ya muombaji, wilaya mkoa bado kuna question mark mfumo haukubali? Nani amefanikiwa kujaza hizi form kwanini mara hii imekuwa complicated kiasi hichi nina lisit ya wanafunzi tele hapa imegoma eneo hilo. Simu za bodi hazipatikani.
  3. Naantombe Mushi

    Rais Samia anatumia 'Contrarian approach' kwenye teuzi. Ni mfumo mzuri pia wa kupata matokeo

    Kwa wasiouelewa huu mfuno. Contrarian approach ni idea kwenye mambo ya uwekezaji ambapo mtu unakuwa unafanya maamuzi ambayo kinyume kabisa na matarajio ya watu. Kwenye uwekezaji, mfano kama bei ya nyumba inapanda kqa kasi, contrarian investor hawezi kuwekeza kwenye nyumba bali atawekeza kwenye...
  4. K

    Mfumo wa ufundishaji wa masomo ya Tehama kwa Vyuo Vikuu ubadilishwe

    Nchi yangu ya Tanzania kama inatamani kupiga hatua zaidi kwenye maendeleo ya tekinologia inapaswa kuangalia zaidi suala la elimu inayotolewa na vyuo haswa vya umma. Unakuta mwanafunzi anamaliza shahada yake ya masomo akiwa anachukua masomo ya tehama lakini hakuna kitu alichotoka nacho kichwani...
  5. M

    mfumo wa mauzo kwa biashara yako kwa bei nafuu

    Habarini kwa mara ingine tena, Kazi yangu ni kukusaidia wewe mwenye biashara yako kama ni pharmacy,supermarket au biashara ingine yoyote ambayo utahitaji kuwa na mfumo/system ambayo itakusaidia kuingiza mauzo yako na kupata ripoti mbalimbali za mauzo,manunuzi ,faida /hasara na kadhalika...
  6. Meneja Wa Makampuni

    Kwako Waziri wa Ajira: Matatizo katika mfumo wa Sekretarieti ya Ajira

    Kwako waziri wa Ajira Yah: Matatizo katika mfumo wa Sekretarieti ya Ajira. Kwako Waziri wa Ajira, Natumai unaendelea vyema na shughuli zako za kila siku. Mh. waziri Lengo la kukuandikia barua hii ya wazi ni kukueleza changamoto zinazowakumba Watanzania wanaojaribu kufanya maombi ya kazi...
  7. sokoniinc

    Je unajua kuhusu hili? Ugunduzi mpya wakitaalam mfumo wa malipo kwenye tovuti yako kwa wale wenye kampuni iliyosajiliwa

    Kama unamiliki kampuni Iliyosajiliwa na una website yeyote ya mauzo mtandaoni. Unaweza ukaendelea kusoma. Kwa wale wenye website tunajua kuwa, tatizo kubwa lililopo kwa sasa ni mfumo wa malipo. Mifumo ya malipo iliyopo haimruhusu mtanzania kuweza kutumia tovuti yako. Na kufanya manunuzi ya kitu...
  8. Idugunde

    Mwinyijuma Othman, Mwanamageuzi aliyepigania uwepo wa vyama vingi anayeishi kwa kuokota makopo na hataki kuongelea siasa

    Alipambana kwa kila namna ili mfumo wa vyama vingi uwepo nchini 👇 -- Ukikutana naye mitaa ya Mwananyamala wilayani Kinondoni au pembezoni mwa Barabara ya Ali Hassan Mwinyi hutajihangaisha kumfuatilia. Begani hubeba mfuko wa chupa za plastiki au wakati mwingine kuni, sawa na wale watu...
  9. Gwappo Mwakatobe

    Tanzania haina mfumo wa vyama vingi vya siasa!

    Hivi majuzi nilitakiwa nitoe maoni kuhusu miaka 30 ya mfumo wa vyama vingi vya siasa Tanzania tangu 1992. Ni suala ambalo naulizwa mara nyingi ila majibu yangu hayazingatiwi au hupuuzwa, pamoja na ukweli au uhalisia wa hoja zangu. Uhalisia ni kwamba Tanzania haina mfumo wa vyama vingi vya siasa...
  10. JanguKamaJangu

    Urusi kupeleka mfumo unaofyatua makombora ya nyuklia Belarus

    Rais wa Urusi, Vladimir Putin ameahidi kuisaidia Belarus kwa kuwapelekea mifumo ya Iskander-M inayoweza kufyatua makombora ya nyuklia Putin ameweka msimamo huo baada ya kukutana na Rais wa Belarus ambaye amekuwepo madarakani kwa miaka 27, Alexander Lukashenko Jijini Saint Petersburg. Aidha...
  11. Cannabis

    TANESCO yatangaza changamoto ya manunuzi ya umeme kupitia mfumo wa ununuzi wa LUKU

  12. sky soldier

    Ligi Kuu ya Hispania “La Liga’ yaipongeza Yanga kwa Ubingwa

    Kupitia kurasa zao za Instagram na Fcebook, Shirikisho la Ligi Kuu ya Uhispania "La Liga" limeipongeza Yanga kwa ubingwa. Ikumbuukwe mwaka 2020 Yanga ilisaini mkataba wa ushirikiano na La Liga hoteli ya Serena Jijini Dares Salaam. Ni furaha sana pale mshirika wako anaposhinda kwa hio washirika...
  13. Samia atosha tukutane2030

    Sio kwa mfumo huu wa bei

    Hello! Bidhaa ambazo naona hazijapanda bei kwa Dar es salaam hii ni nyama, chumvi, viberiti, mbao basi. Maji yamepanda bei Nguo zimepanda bei Vifaa vya shule vimepanda bei Vyakula vimepanda bei Nondo zimepanda bei Misumari imepanda bei Cement imepanda bei Mabati yamepanda bei Gypsum board...
  14. tzhosts

    Pata Websites pamoja na Email 5 kwa gharama 199,000/= kwa miaka 2

    Je, biashara yako IPO Mtandaoni? Tunatengeneza SIMPLE websites maalum kwa ajili ya Biashara ndogo ndogo. Kwa mwezi huu wa wafanyakazi unapata website pamoja na EMAIL 5 kwa gharama ya shilingi 199,000.Tovuti yako itakuwa hewani kwa muda wa miaka 2 na baada ya hapo utakuwa na unafanya malipo ya...
  15. MK254

    Benki Kuu ya Dunia yatambua mfumo mpya wa elimu Kenya kuwa bora kuliko yote ukanda wote huu

    Ni mfumo ambao utazalisha jamii inayoweza kujiendeleza na sio kujaza sokoni vijana wanaosaka ajira..... Kenya has come in for rare praise from the World Bank for the reforms in its education system, which has had its share of criticism for what some say is its demanding yet confusing scope...
  16. Msafiri mkusa

    SOFTWARE Mfumo wa dukani

    Habari Kwa majina naitwa msafiri juma ni mtengenezaji wa mifumo mablimbali ya computer Leo hii nawalea mfumo wa dukani amabou unaweza kutumika popote bila shida Unafanida nying saana kwa maelezo zaid nichek kwa namba yangu +255689878213 Apo chni ni muone kano ndani jins ulivyo nichek nikupe...
  17. Lycaon pictus

    Hivi mfumo wa machifu ulikuwa wa kinyonyaji?

    Eti wandugu. Mfumo wa kichifu ulikuwa wa kinyonyaji au wa haki? Mgawanyo wa mali. Utoaji wa haki. Kodi, huduma za kijamii nk vilikuwaje? Ulifanana na mfumo wa kijamaa au wa kibepari?
  18. R

    Umasikini wa Tanzania ni matokeo ya mfumo mbovu wa Elimu yetu, kujaza wenye Degree mtaani ni ujinga mkubwa sana

    Nchi yetu ni Maskini sana na wananchi wake ni maskini sana ,kiasi kwamba bado kuna wanakufaa kwa kukosa Matibabu ,Njaa na kukosa malazi. Najiuliza sana Hawa Wasomi waliopo serikalini na kwenye Uongozi wanatudia kweli? Sababu kubwa ikiwa ni Siasa ndani ya mfumo Elimu .Nchi yetu ina Mali asili...
  19. Mtemi mpambalioto

    Serikali ya Tanzania ifute SAPU kwa Master's Level! ni aibu na mfumo wa kitoto

    Kwa kweli level ya MASTERS ni aibu kuweka Supplementary exams kwa kuwa hii ni levo ya kujengana uelewa tu! Mimi nashauri serikali wangeweka utaratibu wa mtu kurudia darasani kwa muda mfupi somo ambalo mtu hajafanya vizuri! au akipewa mtihani kama anatakiwa kupata A apewe sio kulazimisha marks...
  20. mirindimo

    Tujadili mfumo mpya wa e filling wa tra tatizo liko wapi?

    Huu mfumo hauna hata miezi 6 na hii taasisi ina watu weledi na wajuzi wengine walipelekwa India kusoma coding na security, lakini tatizo linaanzia wapi hasa ? Kama mfumo ulikua bado haujawa tayari kwa nini mli phase out ule uliokuepo kabla hamjajoridhisha ?
Back
Top Bottom