Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 3,803
- 8,420
Tuanze kuelewana,
Elimu ni gharama sana, hasa ukiongelea hizi shule za sekondari za boarding zinazoendeshwa na serikali. Serikali kuendesha shule za boarding kwa sasa imeshapitwa na wakati.
Shule zote za serikali zilitakiwa kuwa za day (mchana tu) na hii itasaidia kila mkoa kuzitumia shule zilizo mkoani kuinua kiwango cha elimu cha mkoa huo badala ya kujazwa na wanafunzi kutoka mikoa mingine.
Najua tatizo nyingi zimejengwa vijijini hasa ndani ndani huko na kuwa vigumu, lakini ndio mwelekeo uliotakiwa. Duniani shule za boarding ni zote huwa za private na ni watu wenye uwezo ndio wanapeleka watoto wao, kitu cha ajabu na kushangaza nchi masikini kama Tanzania inajing'ang'aniza kuendesha huo mfumo na matokeo yake shule zinakuwa kama ni bora liende tu hivyo hivyo.
Shule za boarding iliwezekana wakati ule wa zamani wa kuchuja wanafunzi na kubaki na wachache ambao ilikuwa na uwezo wa kuwaghamia, na ilikuwa njia sahihi sababu umasikini wa wananchii wake.
Elimu ni gharama sana, hasa ukiongelea hizi shule za sekondari za boarding zinazoendeshwa na serikali. Serikali kuendesha shule za boarding kwa sasa imeshapitwa na wakati.
Shule zote za serikali zilitakiwa kuwa za day (mchana tu) na hii itasaidia kila mkoa kuzitumia shule zilizo mkoani kuinua kiwango cha elimu cha mkoa huo badala ya kujazwa na wanafunzi kutoka mikoa mingine.
Najua tatizo nyingi zimejengwa vijijini hasa ndani ndani huko na kuwa vigumu, lakini ndio mwelekeo uliotakiwa. Duniani shule za boarding ni zote huwa za private na ni watu wenye uwezo ndio wanapeleka watoto wao, kitu cha ajabu na kushangaza nchi masikini kama Tanzania inajing'ang'aniza kuendesha huo mfumo na matokeo yake shule zinakuwa kama ni bora liende tu hivyo hivyo.
Shule za boarding iliwezekana wakati ule wa zamani wa kuchuja wanafunzi na kubaki na wachache ambao ilikuwa na uwezo wa kuwaghamia, na ilikuwa njia sahihi sababu umasikini wa wananchii wake.