message

A message is a discrete unit of communication intended by the source for consumption by some recipient or group of recipients. A message may be delivered by various means, including courier, telegraphy, carrier pigeon and electronic bus.
A message can be the content of a broadcast. An interactive
exchange of messages forms a conversation.One example of a message is a press release, which may vary from a brief report or statement released by a public agency to commercial publicity material.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    Iran’s Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei to speak in a video message soon By Reuters

    Iran’s Supreme Leader Khamenei to speak in video message soon By Reuters Today, 12:56 pm Iran’s Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei will speak within the next few minutes in a video message, his first message since Washington announced a ceasefire between Iran and Israel, his account says.
  2. TODAYS

    Kwa Wale Wasiojihusisha na Siasa tu!. - This is Your Message Soma

    Unamsikia binti anasema “Mimi siasa sio vitu vyangu” Kikubwa nakula nashiba nalala naamka! Au kijana wa maana kabisa anakwambia “Mimi ishu za siasa sizimii kabisa zinanipotezea muda” Kikubwa uhai tu!!. Binti au kijana huyo huyo akienda kupanda mwendokasi akakutana na zile mbilinge mbilinge...
  3. T

    Message na call logs mnabaki nazo kwenye simu za nini?

    Mtu unafumaniwa na meseji ulizochati na mtu au mumeo anakuta namba mpya ambayo unawasiliana nayo kila mara hadi anaanza kuitilia mashaka. Umechati na mtu mmemaliza kwanini usifute hizo meseji au umewasiliana na mtu mmeongea mliyoyaongea kwanini usifute hiyo namba. Unaskia wanandoa wanalalamika...
  4. Nyafwili

    Mitandao ya simu: Usiku wa kuamkia leo na ninyi mlidukuliwa ama shida ilikuwa ni nini?

    . Hali isiyo ya kawaida leo kuanzia mida ya sita usiku nimetumiwa message kwenye simu yangu kwa namba tofauti tofauti. . Nikawa nafikiria labda kuna watu walikuwa wananitafuta kuhusu masuala fulani au wamesajili namba tofauti hivyo wananijulisha kuwa wana namba mpya. . Asubuhi naamka kisha...
  5. ABILITY_INK

    Ulishawahi tuma message ndefu yenye maumivu makali ukajibiwa " SAWA ". Ulichukuwa uamuzi gani?

    Ulishawahi tuma message ndefu yenye maumivu makali ukajibiwa " SAWA ". Ulichukuwa uamuzi gani?
  6. B

    Mwanaume Jifunze kuangalia message ya miamala kwenye simu ya mke/mwanamke wako

    Wakuu kuna siku unaweza Kuja ukalala njaa kumbe mkeo ana fedha ya kutosha na akabunda kimya bila kukutaarifu, Unakuta ana milion Lakini pia ni vyema kufanya ambush phone searching mara moja moja ili ujuwe, mustakabali 🥶NB kama una moyo mdogo Usijaribu kusearch simu ya mke wako Ila wake...
  7. La gioconda

    Nawezaje kuzipata hizi message

    Kama mjuavyo utundu wa watoto kuchezea simu Juzi kati kaka shika kiswaswadu changu anacheza game Na fikiri aliingia pia upande wa kuseti tarehe na mwaka Akaseti mwa 2099 Massage zilivyo ingia zikaenda kwenye huo mwaka halafu sizioni kabisaa inbox ila juu ya simu inaonyesha kuna massage...
  8. Meneja Wa Makampuni

    A Vision for Electrifying 300 Million Africans: A Message to President Samia Suluhu Hassan on Harnessing Energy Resources for Sustainable Development

    A Vision for Electrifying 300 Million Africans: A Message to President Dr. Samia Suluhu Hassan on Harnessing Energy Resources for Sustainable Development Your Excellency, President Dr. Samia Suluhu Hassan, the President of Republic of Tanzania Congratulations on hosting the Mission 300 Africa...
  9. sergio 5

    Ndugu yangu hajibiwi message wala kupokelewa simu zaidi ya kukatiwa tu

    Ni baada ya jana kugombana kidogo na mpenzi wake siku nzima anakatiwa simu mara akipiga anakuta inatumika ila akipiga yeye simu haishikwi Anaomba ushauri mzuri Cha kufanya
  10. F

    Are conversant with Zoho Books accounting package? Please follow me in private message

    Are you conversant with Zoho Books accounting package? If you are good in Zoho Books accounting platform, lets chat in private message. Thank you!
  11. Magical power

    Seba aliyeandika meseji kwa rafiki yake amtunzie mwanae na anakata roho kwenye ghorofa ya Kariakoo lililoanguka, akutwa amefariki

    Kijana Seba aliyeandika message kwa rafiki yake amtunzie mwanae na anakata roho siku mbili zilizopita. Mwili wake umeopolewa mda huu ukiwa tayari umeshaanza kuaribika kwenye jengo la Kariakoo.. Tayari mwili wake umepelekwa kwenye hospitali ya Amana kwa kwa taratibu nyingine za kuhustili..Roho...
  12. C

    Night message to Tatiana. You know that I love you

    Dear tatian, You know that I love you, Am there for you. Will never disrespect you forever and ever Your are a good wife and you know how much I love you Going to your birthday December month wish you to know that your husband for life loves you too much, Wewe ni mwanamke mkamilifu, a dream...
  13. DiasporaUSA

    Message to our dear youngsters who are at colleges and universities

    To all my youngsters. To those still in school: life changes drastically after you graduate. Make friends and engage in activities beyond academics. These experiences will help you navigate the real world once your studies are over. Regardless of what you studied, the post-school hustle is...
  14. Hyrax

    Napata shida sana na watu wanaoweka Dissapearing Message kwenye whatsapp zao

    Kwa wanawake akiniwekea hivyo najua hana mwanaume mmoja yaani ana mambo mengi anafanya huko kwa simu yake na hataki abambwe kama yeye ni malaya, Kwa wanaume akiweka hivyo red flag ya kwanza ni tapeli, mzinzi, mhuni, mwizi Ongeza nyingine...
  15. Tman900

    Message za uchaguzi sasa zinakera

    Kila Dakika system ina unatuma Sms Ya Uchaguzi Imekua kero. Mbona kama Hamjiamini Mshasema Watu Wame elewa. Wanaotaka watakuja na wasiotaka mtaona kimya wanaendelea na shughuli zao. Note: "Hamjiamini na Mnachokifanya"
  16. Masai wa Town

    Inakuwaje mfanyabiashara kuondoa Blue tick(kusoma message kimyakimya)

    Mtu anaunda group la Whatsapp, anajaza picture za bidhaa alafu bei tukiuliza anasema njoo inbox. Ukienda inbox anasoma message kimyakimya alafu anachagua za ku reply. Yale maswali magumu hajibu. Huu mtindo unatia shaka sana
  17. SSH2025_2030

    Mume kabamba WhatsApp message zangu kwenye simu ya mkewe

    1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi. 2...
  18. R

    What is the logical deduction/take-home message from Warioba's speech in this clip? Listen!

    Hii ni wakati wa kuzindua kitabu cha Sokoine! Kwangu mimi Nyerere alikuwa Dictator! Wewe wasemaje?
  19. Mjomba side

    Message delivered

  20. Teslarati

    Hizi message za Kizimkazi vipi tena, mbona kama kero sasa?

    Wiki hii zinaingia tu kila siku Angalie wenyewe
Back
Top Bottom