Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 2,429
- 5,908
kuna nchi za ulaya ukisafiri kama haujafanya booking ya hotel na hauna kiwango cha pesa cha kutosha wana ku deport back . Hivi kuna nchi ya Afrika wapo strictly hivoo
Hhhhhh una ugomvi na jamhuriTanzania
Sikujua hiloo kumbe na TZ ina DeportTanzania ukiingia kuja kwenye kesi ya Lissu wana kudeport....
Bila hvyo we njoo na sura yako unaingia tu.