members

A member of parliament (MP) is the representative of the people who live in their constituency. In many countries with bicameral parliaments, this category includes specifically members of the lower house, as upper houses often have a different title. Member of Congress is an equivalent term in other jurisdictions.
Members of parliament seem to tend to form parliamentary groups (also called parliamentary parties) with members of the same political party.

View More On Wikipedia.org
  1. Gaddaf i06

    Jf members mpunguze uongo kidogo

    God is good all the time, All the time....(don moen). Humu ndani kuna vijana wanatupiga za uso nyingi sana. Mpaka sasa nimeshawakariri members 21 (kwa Id zao), hawa watu ni waongo, ninaposema ni waongo ujue ni waongo kweli kweli (standard gauge). Ni kweli mnafurahisha na kuchangamsha lakini...
  2. GENTAMYCINE

    Natarajia Kuoa rasmi mwaka 2027 na nitapenda Members wote wa JamiiForums muhudhurie

    Naomba anzeni sasa Kupanga Kamati ya Harusi yangu ila Matola atakuwa Bodyguard wangu na LIKUD atakuwa Mpishi wa Chakula cha Harusi yangu. Wengine jipangeni Wenyewe.
  3. Peter_John

    Hello JF members

    Habari za wakati huu wamachama wote wa JF , new member apa kwa jina Peter John
  4. D

    Natafuta any volunteering position at any related NGO

    Hello members, I am university graduate from UDSM, studied (BAED) Linguistics and literature graduated with GPA of 3.8 natafuta any NGO nipate volunteering position ili niweze ku-advance my career. I am expert on Ms word, powerpoint and Excel studied at (UCC-UDSM), I have ability to meet...
  5. Poker

    Uzi maalum wa kuombana msamaha na kusameheana! Members only

    Kama unahisi kunamtu umemkwaza kwa namna yoyote ile au ulimkera kwa njia yoyote basi uzi huu utumie kumuomba msamaha ili maisha yaendelee! Maisha yenyewe ndio haya haya let's forgive, forget and move on! Ukiombwa msamaha na wewe samehe kwani hutopungukiwa na kitu, let peace and harmony be with...
  6. Binadamu Mtakatifu

    Kuna wanaume humu wapo kuvamia members wapya wanaodhani ni Wasichana

    Mhhh! ni masikitiko makubwa sana kwa wanajamvi tena mwanaume na akili zako timamu unakaa kuvizia ID mpya yenye kajina ambako unafikiri atakuwa msichana. Huo ni ulimbukeni na mwachage hiyo tabia kabisa nyie ndio mnao fanya watu waone JF ni kama badoo kuja na kuja mnataka muombe tunda. Kuna...
  7. Xiao qui shui

    Msaada wanaJF jinsi ya kuepuka vishawishi

    Habari za asubuhi Tangu nihamie mkoa na ninajishughulisha na kabiashara fulani hivi me sio mkubwa kivile nina kama miaka 41-22. Sasa nimekuwa nikiishi nyumba fulani hivi na kuna mama ana kama 25 amekuwa ni kikwazo kwangu kwani kaolewa na ana mtoto m1 Nimekuwa simwelewi coz me ni wale watu...
  8. Jamii Opportunities

    Board Members Vacancies at CRDB

    BOARD MEMBERS VACANCIES CRDB Bank PLC is a leading commercial bank in Tanzania. Established in 1996, the Bank has grown and prospered over the years to become the most innovative and trusted Bank in the country. The Bank attained an important milestone when it was listed on the Dar Es Salaam...
  9. Mario Kempes

    Tuma salamu za Mwaka Mpya 2022 kwa members watatu wa jukwaa hili la michezo

    Mimi nawatakia heri ya mwaka mpya members wafuatao 1.Gentamycine 2.Scars 3.Renzo barbera
  10. Jidu La Mabambasi

    Members niwatakie Xmas njema!

    Niwatakie heri ya Chrismas na afya tele. Tufurahi lakini tusikose kumshukuru Mungu. Mwaka huu nimepoteza rafiki zangu na ndugu wengi, hasa kwa covid. Mimi nani nipo hata leo. Itoshe kusema tumshukuru Mungu kuiona Xmas nyingine. Nawawekea kibao cha miaka ya 70, Chrisma Oyee, Bonaneo!-...
  11. Superbug

    Asilimia kubwa ya sisi members wa jamiiforum tuna stress za maisha

    Kubali ukatae asilimia 90 ya sisi members wa jf ni stressed people hebu ona. Magret thinkers tunapoangukia ilinujue tuko stressed. 1. Wengi tuna kazi Bora. (Kazi huleta stress) 2.wengi tuna pesa.(pesa huleta stress) 3.Wengi tuna ndoa (ndoa huleta stress) 4. Wengi tuna chepuka.(kuchepuka huleta...
  12. E

    7 types of members you’ll find in your family WhatsApp group

    1. The Clown: They post jokes, memes and funny videos in the most inappropriate of forums. They can post lewd jokes in a WhatsApp group created to organise a funeral. When asked to stop, the culprits claim they are “livening up” the group because everybody else is “too serious” 2. The Flirt...
  13. MK254

    Kenya baba lao....Africa’s UN Security Council members to meet in Kenya for strategy planning

    Diplomats from Africa’s three representatives and that of the Caribbean at the UN Security Council are gathering in Nairobi to work on a common agenda as the continent faces three crucial crises. The diplomats from hosts Kenya, Tunisia, Niger and the Saint Vincent and Grenadines, often known...
  14. Gemini Are Forever

    Je, Kuna uwezekano wa kuongeza Members zaidi ya 256 kwenye kundi la WhatsApp?

    Habari, wanaJF! Title imejitosheleza. Je, Kuna uwezekano? Kama upo ni kwa namna gani? Naomba kufahamishwa.
  15. Jamii Opportunities

    Board Members at Karibu Tanzania Organization

    Karibu Tanzania Organization (‘KTO’) is a national level Non-Governmental Organization working as an umbrella organization for the Folk Development Colleges(TDCs’) in Tanzania. KTO was established 1990 as a result of cooperation between Tanzania and Sweden through Folk Development Colleges in...
  16. B

    Hodi Members

    Heshima kwenu members wote
  17. Rackan Morio

    Hello members

    Hello members! I'm a new here.
  18. Fohadi

    Imaginations: Comments za members wa JF yenye verified accounts

    Sasa hivi kila mtu JF ni mbabe, analeta fiction stories, anaandika anachojisikia kwa sababu asilimia kuwa ya members tunatumia fake IDs. Nawaza ile mara ghafla kila member analog in anakuta amekuwa verified kwa jina lake halisi, hapa najua hapatakalika. Sio nyumbani, sio makazini na wala sio...
  19. Analogia Malenga

    Ndugulile: Kama hauna uhakika na taarifa usipost, usiretweet, ku-like wala kukomenti

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile amewatahadharisha wanaochapisha taarifa wasizokuwa na uhakika nazo. Kuanzia jumatatu, Februari 21, Ndugulile amesema wataanza kuwachezesha wote wanaotoa taarifa potofu na wanaofanya utapeli. Amesema kama hauna uhakika na...
Back
Top Bottom