Ukiwa katikati ya mji wa Arusha, maeneo ya stendi kuu, soko kuu, jogoo house, kilombero na maeneo mengine kuna foleni sana.
Foleni ya mabasi makubwa, coaster, bajaj, bodaboda hadi foleni ya watembea kwa miguu.
Mji umekuwa ni mdogo sana, Geneva ya Afrika mnakwama wapi?