mdogo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. and 998 others

    GE2025 Mke mdogo wa Juma Aweso anaomba Kura zenu

    1. Zainab anahitaji Kura zenu akawatungie sheria bungeni. 2. Tafadhali Sana Wajumbe wa Pemba. Huyu ni potential anaweza kupata hata Uwaziri wa Maji. Akageuza Pemba zaidi ya Dubai Ushan'fahamu? VIJANA mkajiajiri
  2. Think2

    Mdogo wangu anaweza kupangiwa mkopo

    Cv yake hii Amesoma private school O-level A-level amesoma shule ya kata kombi PCB Shule ya msingi amesoma private school Nb, anaomba mkopo ngazi ya diploma
  3. Dennis Robert Shughuru

    Matofali yanayofyatuliwa huku mitaani yana ubora mdogo sana

    Katika mambo ambayo yanashangaza sana ni uwepo wa matofali yenye ubora mdogo sana huku mtaani ni aibu kubwa sana kwa nchi mamlaka ziko wapi Mimi nilisoma umbwe miaka flani hivi ile shule imeanza mwaka 1948 ila huwezi amini wakati nasoma ule ukuta wake huwezi gongelea msumari kirahis ilikuwa kwa...
  4. Roving Journalist

    Ruvuma: Akamatwa kwa tuhuma za kuwachinja watoto watatu wa mke mwenza kisa mke mdogo kupendwa zaidi

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linamshikilia Wende Luchagula, Miaka 30, Kabila Msukuma, Mkazi wa Kijiji cha Milonji kwa kosa la mauaji baada ya kuwa chinja watoto wa mke mwenzake watatu mpaka kufa. Tukio hilo limetokea Julai 12, 2025 majira ya saa nane mchana huko Kijiji cha Milonji, Kata ya...
  5. Munch wa Annabelle

    Je Adam ni kaka au mdogo wake Yesu?

    “Adamu, mwana wa Mungu.” Luka 3:38
  6. Kipenzi Changu

    Baba Mdogo wenzie wote wamefariki, badala ya kutusimamia vizuri yeye anatuuza

    Baba yetu alishatangulia mbele za haki. Baba wadogo walishafariki pia. Amebaki mama na baba mdogo. Sasa baba mdogo badala ya kuwa mshauri mkuu kuhakikisha familia inabaki salama yeye anamsaidia mama kutuuza. Baadhi ya kina kaka wamechachamaa lakini baba mdogo kaziba masikio. Ndugu kina mzee...
  7. profHarryEnock

    Paradigm Mpya ya Uchumi: Kuibua Faida Kubwa Kutoka kwenye Mtaji Mdogo – Dhana, Mbinu na Hesabu za Kiuchumi za Mafanikio ya Kibiashara

    Katika ulimwengu wa biashara za kisasa, dhana kwamba "mtaji mdogo hauwezi kuzalisha faida kubwa" ni kasumba ya kifikra inayotakiwa kuondolewa. Katika tafsiri ya kiuchumi, mtaji (capital) si lazima uwe mkubwa ili kuzalisha thamani; bali ni uwekezaji wenye tija (productive allocation of resources)...
  8. kiss ov love

    Namhurumia mdogo wangu, lakini aliyataka mwenyewe

    Habari za uzima wakuu, binafsi nashukuru kwa uwepo wa huu mtandao, kwani imekuwa ni sehemu ya kufarijiana, kutiana moyo pamoja na kupeana ushauri kwenye mambo mbali mbali yanayotokea kwenye jamii yetu. Nakumbuka niliwahi kuleta uzi humu wa "hapa kuna mapenzi kweli au napotezewa muda" wengi...
  9. Roving Journalist

    MWAUWASA: Maeneo ya Milimani Mwanza hukumbwa na upungufu wa maji kutokana na msukumo mdogo

    Mdau wa JamiiForums.com aliyejitambulisha kuwa Mkazi wa Mtaa wa Kaseze, Kata ya Mkolani, Wilaya ya Nyamagana aliandika ~ Mwanza: Mtaa wa Kaseze, Nyamagana hatuna maji, badhi ya Wananchi wanajisaidia vichakani, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) imepa majibu Mwananchi...
  10. Ashampoo burning

    Kumbe Aslay Mdogo Alikuwa na Sauti Kama ya Vumilia!

    Bwana juzi nimekaa zangu home, nikawa nasikiliza zile nyimbo za zamani za Aslay akiwa dogo. Nikaplay wimbo wake "Niwe Nawe", halafu ghafla nikasema, “Subiri kidogo… hii sauti mbona kama najua?” Nikashtuka! Sauti ya Aslay mdogo ilikuwa inafanana ile mbaya na ya msanii mmoja wa kike anaitwa...
  11. youngkato

    Anza Biashara Hizi kwa Mtaji Mdogo wa Chini ya 20,000/=

    Kama una chini ya Tsh 20,000, bado unaweza kuanza biashara halali na yenye faida. Hapa kuna mifano ya biashara kumi unazoweza kuanza leo, zikiwa na ushauri wa hatua kwa hatua. 1. Biashara ya Mikate na Vitafunwa Je, unajua kuwa kwa kutumia unga, sukari, mafuta na jiko la nyumbani tu unaweza...
  12. Mwanongwa

    Rukwa: Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza atuhumiwa kumuua mdogo wake wakati wakicheza mchezo wa kuchapana fimbo

    Jeshi la Polisi la Polisi mkoani Rukwa linamshikilia Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza kutoka Shule ya Sekondari Mtenga, Wilayani Nkasi Mkoani Rukwa, Samwel Kayoka (16) kwa tuhuma za mauaji ya mdogo wake Jackson Kayoka (14) kwa fimbo walipokuwa wakicheza mchezo wa kupigana kwa fimbo. Taarifa...
  13. F

    Mtungi mdogo tupu wa Gesi unauzwa TSh 22,000 (O GAS)

    MTUNGI MDOGO WA GESI UNAUZWA KWA SHILINGI 22 000TU WAHI MAPEMA, MWANANYAMALA CALL 0748984948
  14. 1Africa54

    Historia ya McDonald's: Safari Kutoka Mgahawa Mdogo Hadi Mnyororo Mkubwa wa Chakula Duniani

    McDonald's ilianzishwa mwaka 1940 na ndugu wawili, Richard na Maurice McDonald, waliokuwa wakijulikana kama Dick na Mac. Walifungua mgahawa wao wa kwanza huko San Bernardino, California, Marekani. Mwanzoni, walikuwa wanauza vyakula vya barbeque na walikuwa na menyu yenye zaidi ya aina 20 za...
  15. 1Africa54

    Historia ya McDonald's: Safari Kutoka Mgahawa Mdogo Hadi Mnyororo Mkubwa wa Chakula Duniani

    McDonald's ilianzishwa mwaka 1940 na ndugu wawili, Richard na Maurice McDonald, waliokuwa wakijulikana kama Dick na Mac. Walifungua mgahawa wao wa kwanza huko San Bernardino, California, Marekani. Mwanzoni, walikuwa wanauza vyakula vya barbeque na walikuwa na menyu yenye zaidi ya aina 20 za...
  16. CONSISTENCY

    Nilipokuwa mtoto mdogo nilitamani kuwa mtu uzima, ila sasa natamani kuwa mtoto mdogo!!

    So confused......!!!!! Is this true to everyone......????
  17. Samia atosha tukutane2030

    Kuna siti ndani ya basi ukikaa uwezekano wa kufa ikitokea ajali ni mdogo sana. Makinika

    Hesabu hazidanganyi. Nenda mtandaoni angalia ajali mbalimbali, angalia ajali zinasababishwa na nini, na ajali zinazoua kwa wingi ni za namna gani. •Ajali za kugongana gari uso kwa uso wahanga ni dereva na abiria wa siti za mbele. •Ajali za dereva kukosa balance mara nyingi dereva huipindua...
  18. ESCORT 1

    Katikati ya mji wa Arusha, kuna foleni sana, mji ni mdogo

    Ukiwa katikati ya mji wa Arusha, maeneo ya stendi kuu, soko kuu, jogoo house, kilombero na maeneo mengine kuna foleni sana. Foleni ya mabasi makubwa, coaster, bajaj, bodaboda hadi foleni ya watembea kwa miguu. Mji umekuwa ni mdogo sana, Geneva ya Afrika mnakwama wapi?
  19. W

    Mdogo wangu kanitumia link ya muziki wake, nimempongeza kinafki ila najisikia vibaya naona anaenda kupoteza muda au kupata umaarufu usio na maendeleo.

    Ni mara 100 zaidi hata angenitumia mbuzi au kuku ningejua baada ya muda watazaliana na biashara itakuwa. Kanitumia muziki wa youtube, leo siku ya 3 kuna views 600, kakomaa sana na muziki, wazazi na ndugu tumemuasa lakini wapi, hasikii wala haoni kwenye muziki. anapost sana status za one day...
Back
Top Bottom