mdogo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tate Mkuu

    Yanga SC, pale Kenya (Gor Mahia) kuna kijana mdogo tu wa miaka 21 anaitwa Benson Omala

    Ingekuwa poa sana kama mngefuatilia mwenendo wake. Maana katika michezo 19 ya Ligi yao pale Kenya mpaka sasa, tayari ameshatupia goli 19!! What a striker katika umri wake huo wa miaka 21 tu!! Dogo ana nguvu, anafunga kwa miguu yote!! Imagine ameanza kucheza ligi kuu akiwa bado ni mwanafunzi wa...
  2. Mohammed wa 5

    Naota ndoto kila siku nipo na mdogo wangu aliyefariki

    Wakuu naomba ushauri wenu Mimi ni mtoto wa pili Kati ya familia ya watoto watano Nina miaka 29 miaka mitatu nyuma nilipata msiba wa mdog angu tuliyefuatana ambaye mpaka kifo chake kinatokea alikuwa Yuko kidato Cha nne kifo chake kilitokea ghalfa tu Shida yangu Kila siku naota ndoto Niko pamoja...
  3. mdukuzi

    Nikiwa mdogo niliwahi kucheza draft na Jakaya Kikwete pale Magomeni bila kujua kuwa ni Waziri wa Fedha:Viongozi kuweni wanyenyekevu

    Sikumbuki mwaka ila nakumbuka nilikuwa mdogo ,tulitoka na mzee wangu mitaa ya kariakoo tukaelekea mitaa ya Magomeni Mapipa mtaa sikumbuki ila ni karibu na Shibam. Kufika pale kulikuwa na vijana watoto wamjini hakuna aliyezidi miaka 50,walikuwawakicheza draft,bao,zumna na kunywa kahawa Vijana...
  4. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Martha Nehemia: Acheni Kujihusisha na Mahusiano ya Mapenzi katika Umri Mdogo

    Mbunge Viti Maalumu Mkoa wa Singida Matha Gwau amesema; "Tunamshukuru Mama Samia Suluhu Hassani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kujengea shule nzuri zenye miundombinu mizuri inayowawezesha watoto wa kike kupata elimu; Hivyo niwaombe sana wadogo zangu, watoto wangu msome kwa bidii...
  5. demigod

    Feisala Salum Shtuka Mapema Mdogo wangu!

    Hivi kwanza hujashtuka tu mara zote hizo kukimbiwa na wanasheria wako? Ulianza na wale wa Bernard Morrison. Ukaja na Shangazi Mwanasheria Mwanasiasa. Na sasa Umefika kwa Mwanasheria wa msuva. Shtuka mdogo wangu, hao wote wanatambua kuwa hutoboi dhidi ya Yanga SC na ndio maana mwanasheria...
  6. mwanzo wetu

    Miezi sita sasa natumia dawa za fangas ila siponi

    Ndugu zangu habari za Wakati, poleni na majukumu ya kujenga Nchi n.k. Mimi na tatizo naombeni msaada hasa Kwa wale wajuzi wa mambo. Mwaka jana nilifanya mapenzi na mdada mmoja, Baada ya kuwekeana vidudu nilianza kuwashwa sana uumeni na ktk pumbu zangu, Ile hali iliendelea Kwa mwaka mzima na mm...
  7. Poppy Hatonn

    Muujiza mdogo uliotokea leo

    Nilikuwa nasoma or rather nilikuwa naisikiliza hii sutra (katika read aloud), halafu ilipofika kwenye hii passage, The Ten Powers of the Tathagata ikasimama yenyewe. Ndio muujiza uliotokea, kwamba simu yangu ilisimama yenyewe ikawa kimya. Sasa, hizi Ten Powers of the Tathagata, the powers of...
  8. Baba jayaron

    Demu wa mdogo wangu kanifungukia, nipo njia panda!

    Wanajamvi, salaam! Iko hivi nina mdogo wangu (rafiki) naishi nae kwakua anaumwa, tunaheshimiana sana. Tunaishi kisela kila mmoja anaweza kuleta demu wake maghetoni. Dogo ana mademu watatu ambao najua yupo active nao na wote wanakujaga maghetoni kwa wakati tofauti, sasa kumbe ana wa nne ambaye...
  9. BARD AI

    Uwezo mdogo kwa Wauguzi kugundua Saratani ndio chanzo cha kushindikana Matibabu

    Uwezo mdogo wa wauguzi kutambua mapema ugonjwa wa saratani kwa watoto umetajwa kuwa changamoto mojawapo inayotatiza matibabu ya ugonjwa huo. Katika kutatua changamoto hiyo, Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas) ikishirikiana na Taasisi ya Global Hope ya nchini Marekani...
  10. Aliko Musa

    Njia Tano (5) za Kutumia Kuwekeza Kwenye Ardhi/Nyumba Ukiwa na Mtaji Mdogo

    Bahati ya kununua kiwanja/nyumba kwa bei nafuu sana imejengwa kwenye kanuni maalumu. Kwa kanuni hiyo ni lazima uweke juhudi kubwa. Juhudi kubwa ndiyo ndugu wa bahati ya kununua kiwanja au nyumba kwa bei nafuu. Kumekuwa na ongezeko la thamani (bei) ya ardhi kila mwaka kutokana na kutokuwepo kwa...
  11. Mtu Asiyejulikana

    Msaada kwa Bwana Mdogo na Gari yake

    Anataka kubadili gearbox ATF. Automatic Trans. Fluid. Gari ni Toyota Rumion ya Mwaka 2008. Ya CC 1800 Anasema anahitaji ile yenyewe kabisa yenye ubora halisi. Haijalishi bei anataka kitu bora. Sasa aliniuliza.mimi sijawahi fikia hatua ya kubadilisha kwa gari nliyo nayo ambayo nayo ni CVT but...
  12. mcshonde

    Umakini mdogo unaweza kukugharimu

    Wengi wanaibiwa magari yao au vitu vilivyo ndani ya gari kwa sababu wezi wamevunja kioo n.k ila wezi proffesional siku hizi wanaweza kuku-time ukiwa unataka kuloki milango. Cheki hii👇
  13. M

    Uhamiaji, NIDA Kinondoni ni shida

    Kuna mtu ameenda NIDA kupata kitambulisho akiwa na cheti cha darasa la saba akaambiwa lazima awe na cheti cha kuzaliwa kwa kuwa yeye amezaliwa miaka ya tisini. Baada ya kupata cheti cha kuzaliwa akawa na viambatanisho vitatu; Cheti cha kuzaliwa, cheti cha darasa la saba na leseni ya udereva...
  14. M

    NIDA ni ufahamu mdogo wa baadhi ya watumishi au Rushwa?

    Kuna mtu ameenda NIDA kupata kitambulisho akiwa na cheti cha darasa la saba akaambiwa lazima awe na cheti cha kuzaliwa kwa kuwa yeye amezaliwa miaka ya tisini. Baada ya kupata cheti cha kuzaliwa akawa na viambatanisho vitatu; Cheti cha kuzaliwa, cheti cha darasa la saba na leseni ya udereva...
  15. J

    Tanzania ndio nchi yenye mfumuko wa Bei mdogo zaidi Afrika Mashariki

    Kati ya nchi za Afrika Mashariki, Tanzania ndio yenye kiwango kidogo zaidi cha mfumuko wa Bei Swala la mfumuko wa Bei ni suala la kidunia, wale waliojifungia wasiojua kinachoendelea duniani wafahamu hilo
  16. DR HAYA LAND

    Naomba ABC nataka Mdogo wangu asome Diploma ya udaktari ana division 1.15

    Nataka Mdogo wangu akasome hapo Muhas Kuanzia certificate naomba kufahamu utaratibu mzima yupna division 1.15
  17. Street brain

    Wakuu mdogo wangu kapata div 4 ya 33

    Wakuu mdogo wangu kapata div 4 ya 33. Ana ufaulu huu hapa kisw C, hist,F civ F, geo F, bio F, eng F, math F, Nishaurini anafaa kusomea nini au ni sehemu gani itakayomfaa maana hapa natafakari na yeye kachanganyikiwa maana alitamani akasomee clinical officer but ufaulu haumruhusu nipeni ushauri...
  18. Sky Eclat

    Mdogo wake Elton John, Jeoff Dwight

    Baba Yao ni mmoja lakini mama tofauti. Jeoff hana pesa kama kaka yake, ni mbangaizaji tu lakini haja left the group of men.
  19. mdukuzi

    Kama unaishi kwa shemeji yako Uwe KE au ME wewe ni mke mdogo wa shemeji yako

    Dada yako akitimuliwa na wewe umetimuliwa tu. Dada yako akipelekewa moto ukawa unasikia kitanda kinapoga kelele asubuhi huwa mnaangaliana usoni kweli?nakuuliza wewe kijana wa kiume unayeishi kwa shemeji Mashemeji KE wengi wanaliwa na mashemela wao. Tokeni hapo kwa shemeji zenu,mnaweka jam
  20. Sky Eclat

    Unapopata mtoto katika umri wa miaka 70 uhakika wa kusheherekea siku yake ya kuzaliwa ya miaka 20 au 30 ni mdogo

    Unapopata mtoto ukiwa na umri mkubwa, kikubwa unachoweza kumpa ni busara ulizozikusanya kwa miaka mingi. Uwezekano wa kusherehekea mahafali yake ya elimu ya juu ni mdogo sana. David Foster mwenye umri wa miaka 73 akiwa na mke wake wa ndoa ya tatu na mtoto wao. Watoto wa uzeeni wana muda...
Back
Top Bottom