Je, tatizo la nchi zetu za watu weusi ni kuwa na uwezo Mdogo wa fikra?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Dec 26, 2017
17,883
45,242
Naomba mawazo ya Great thinkers yatumike hapa.

Yaani unakuta mtu Katika familia hana uwezo wa kuwafanya watoto au kuwaandalia maisha kipindi akiwa Mdogo hadi kuwa mtu mzima yaani unazaliwa bila kuoneshwa njia yakupita na wapi utokee ili ufike salama.

Mfano Mimi binafsi kipaji changu cha asili ni mtunzaji mzuri wa rasilimali na ndoto yangu nilitamani kuwa Mwalimu Mfano wa Mwalimu Nyerere.

Lakini kilichonikwamisha ni ubinafsi wa familia zetu za watu weusi, roho mbaya fitina na majungu niseme tu hapa Tanzania au Africa umasikini chanzo chake ni ubinafsi kama kila mtu akipambana kumuwezesha mwenzake
na kumfanya kuwa na fikra au huru basi umasikini unapungua kwa kasi kubwa.

Africa = cursed continent.
 
Umesema kweli lakini pia USA ,Uropa na bara la Asia wanao ubinafsi,roho mbaya n.k kama afrika basi tusema na wao ni cursed continents...
 
Tanzania tatizo kubwa linalosumbua watu ni kutokuwa na subconscious mind
 
Umesema kweli lakini pia USA ,Uropa na bara la Asia wanao ubinafsi,roho mbaya n.k kama afrika basi tusema na wao ni cursed continents...
Inaweza kuwa kweli lakini watu weusi mziki wetu mkubwa zaidi,Angalia Ukraine vile watu wake wanasaidiwa nchi za Ulaya hakuna hata mmoja afike Netherlands Germany NK halafu akose pakulala au kura au watotowake wasiende shule.. Upendo kwetu ni ziro kabisa Angalia mbunge wako kijijini au waziri kule anatoka zaidi ya family yake kwisha...tunao wengi.
 
Inaweza kuwa kweli lakini watu weusi mziki wetu mkubwa zaidi,Angalia Ukraine vile watu wake wanasaidiwa nchi za Ulaya hakuna hata mmoja afike Netherlands Germany NK halafu akose pakulala au kura au watotowake wasiende shule.. Upendo kwetu ni ziro kabisa Angalia mbunge wako kijijini au waziri kule anatoka zaidi ya family yake kwisha...tunao wengi.
Yaap umesema kwel levo ya upendo kwao ipo juu lakini pia kumbuka ukiwa tajiri inaongeza upendo moyon kiasi fulan na nchi,serikali zao ni tajiri hivo kutoa misaada ni kawaida ila afrika yote imeangukia kwenye poverty line(mstari wa umaskini) hata ukimpenda afrika mwenzako utamsaidiaje kama huna pesa inabidi upotezee shida za afrikan wenzako...
 
Hizi imani za kizungu nazo zinaleta umasikini,! Kivipi! Jamaa mmoja umri umeenda bila mtoto, akaamua kuishi na mwanamke na wakabahatika kupata mtoto. Jamaa haamini katika ukristu wala Uislamu. Mwanamke ni mkristu, anamshauri jamaa wafunge ndoa, ila jamaa anataka ya serikali. Mwanamke kakataa eti ni dhambi!!!! Jamaa kapata ajali na kufariki. Jamaa zake wakachukuwa Mali zote kwa kuwa hakuwa na ndoa. Huo sio umasikini kwa mtoto ulisababishwa na imani yake?
 
Back
Top Bottom