mchungaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polisi: Mchungaji Mtaita hakutekwa tunamshikilia kwa chochezi

    Jeshi la Polisi mkoani Manyara, linamshikilia mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Boay wilayani Babati, Eleth Mtaita akidaiwa kufanya uchochezi. Akizungumza kwa njia ya simu na Mwananchi leo Jumamosi Oktoba 25 mwaka 2025, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa...
  2. The Magnifico

    JamiiForums Tanzania Mchungaji: Hatutaacha kukemea maovu sababu ni suala la mbinguni siyo la kisiasa.

  3. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Video ya kusikitisha ikimuonesha mchungaji akiwa ndani ya kaburi la wakristu waliouliwa na kusema wamechoka kuzika wenzao kila siku

    Mauaji ya wakristo kutokana na imani zao huko nigeria yamekithiri sana.
  4. R

    JamiiForums Tanzania Jamani Mchungaji Peter Msigwa yuko wapi?

    Nilitegemea awe kwenye kampeni kuikàndia Chadema, simsikii! Yuko wapi?
  5. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mchungaji: Wasanii wa sasa wamekuwa vyoo vya jamii na sio vioo vya jamii

    Mchungaji ashangazwa na kitendo cha wasanii wa bongofleva na bongomovie kulundikana kwenye mikutano ya siasa,adai kwasasa wamekuwa sio vioo vya jamii tena bali ni vyoo vya jamii. Neno moja kwake Soma pia: Kwa nini wasanii na masheikh ndio wamekuwa mstari wa mbele kujibu mashambulizi?
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bro kama hii ndio type ya wachungaji ambao mke wako anawaheshimu, kufuata ushauri wao, anapeleka watoto wenu kwake, Kazi unayo !

    Kamsave kwenye simu au kumuweka kwenye status kama DADDY ananyenyekea na kumpa attention kukuzidi wewe. yupo tayari kujinyima ili apeleke ahadi au sadaka Yupo tayari kuacha kazi muhimu za nyumbani aende kanisani. Mchungaji akimshauri kitu, hawezi kusikiliza ushauri wako u
  7. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa Mchungaji Fadhili Juu Ya Humphrey Polepole Watimia

  8. Fascinating

    JamiiForums Tanzania Huyu Mchungaji, anafanya uchochezi au anatimiza wajibu wake kiimani?

    Wakuu nimekuta na hii video sehemu, Mchungaji anawasimanga vijana na kuna mahala anaenda mbali zaidi mpaka kusema Vijana hawezi hata kudai haki, wakipewa Elfu 5 tu wavaa T-shirt. Hii mijadala ya dini na siasa imekuwa yakawaida sana hivi karibuni na mpaka wa Viongozi wa dini kuonekana wanafanya...
  9. H

    JamiiForums Tanzania Apostle Mtalemwa: Tuna vijana foolish wasioweza kudai hata haki zao

    Mchungaji amesema kuwa hana neno na wazee, ana shida na vijana. Asema vijana wa nchi hii ni foolish, hawawezi hata kusoma katiba na kudai haki zao, vijana wanahongwa elfu 5, tshirt, nyama na wali, baiskeli, eti ndiyo wakapige kura. Vijana hawa ni foolish. Anasema neno la Mungu linasema vijana...
  10. Surya

    JamiiForums Tanzania Msikilize Mchungaji Mwanamapinduzi akiongea Katika Space ya MariaT huko mjini X INASIKITISHA.

    Masikilize
  11. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mchungaji Amoni: Tangu mwaka 2019 hatujawahi kuwa na uchaguzi unaoeleweka hata kidogo

    Mchungaji Amoni Mwashitete Atoa Wito wa Kijasiri kwa Viongozi wa Dini na Wastaafu Katika hotuba yake ya hivi karibuni kupitia Mwanahabari digital Mchungaji Amoni Mwashitete alitoa wito mzito kwa viongozi wa dini nchini Tanzania, akisisitiza umuhimu wa kusimama kwenye misingi ya haki bila...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Genius aelezea kuhusu No reform no election!

    Chadema ndiyo chama peke cha upinzani!
  13. U

    JamiiForums Tanzania Msibani juzi mchungaji wa Kisabato kutumia muda mwingi kushambulia RC na kuwa na Ibada za wafu huku akidai wao hutoa huduma na siyo Ibada

    Msibani kwa ndugu zetu marehemu ni Msabato hivyo mwili waombe wa na umewekwa mbele kabisa ndani ya jeneza. Mchungaji akadai hizo siyo Ibada bali ni huduma Akadai Ibada ni dhambi na huendeswa na wakatoliki. Akadai kwamba ni kweli mwili wa marehemu uko mbele lakini hawana Ibada bali wanatoa...
  14. F

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Emaus Mwamakula unakosea kutoka na andiko lako la hivyo Facebook,kwamba hao mashekhe ndiyo wamebeba agenda ya waislamu wote? Andiko la hovyo

    JE, WAISLAMU WAMPIGIA KAMPENI SAMIA? Andiko hili la Emaus Mwamakula ni la hovyo kabisa!!!!!! Why amegenerilize? Viongozi wa wote wa Dini ya Kiislamu kutoka nchi nzima [Tanzania Bara?] wamekusanyika muda katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es katika 'Kongamano la Amani Kuelekea...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Dkt. Godfrey Malisa, USIKATE TAMAA, refile your case kama imekuwa struck out!

    Rekebisha hicho Jaji alichokisema kuwa umekikosea, then refile. Kama imekuwa struck out, hiyo inakuwezesha ku refile your case! Let history have it that you fought for what you believed to be Unjust/wrong/unconstitutional!
  16. McLaren

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa huyu Mchungaji umeniogopesha. Ni nani huyu?

    Wakuu, Huyu Mchungaji ni nani. Hapa wamesema ametokea Zimbabwe maana huu utabiri wake umenishtua sana.
  17. Mshana Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tony Kapola naye kaingia kwenye mfumo kama Adam, Samson, mchungaji Hananja nk..! Amekwisha

    Nakaa naangalia video za vituko vya kushangaza vya mke wa "pastor" Tony Kapola.. Simuoni Mungu ndani yake Sioni uchaji wa kiroho Sioni unyenyekevu wa kiimani Sioni kujishusha, kutubu na kujirudi Kinachoonekana kwenye kila video ni Majigambo Maringo Majisifu Kujikweza sana na dharau za kila aina...
  18. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Tanzania ndo nchi ya ajabu unakutana na mchungaji anajitapa alikuwa jambazi,ona Sasa TRC Ina hasara Bilioni 234 alafu mkurugenzi wake amepitishwa kugo

    Ukifika Dsm pale mbezi wewe km ni usalama wa taifa unaweza kulia, yaani Kuna wachungaji wengi wanaubili injili pale na wanakili wazi kabla ya kuokoka walikuwa majambazi, na waliisha us sana watu enzi hizo kabla ya kuokoka. Kama ilo halitoshi, unashangazwa zaidi mtu aliteuliwa na Rais akawa...
  19. Knock life

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Kapola na Mke wake naona wana akili za kimasikini sana

    Hawa watu , they are poor. And they will die poor . Materials things like Car, house is nothing ikiwa una akili ya kimasikini.
  20. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Julius Mwita aliyekuwa CHADEMA na kwenda CHAUMMA kaamua awe Mchungaji?

    Eneo rahisi la kuvutia watanzania wenye shida zilizosababishwa na CCM , ni kuanzisha Kanisa. Huko ndiko watu kama "Kiboko ya wachawi" alikotapeli maelfu ya watanzania na kuachwa na CCM "atorokee" kwao Kongo na kuanza kuwananga wateja zake wa zamani kuwa ni wajinga. Leo nimeiona hii Clip ya...
Back
Top Bottom