mbunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge Cicil Mwambe: Jimbo la Ndanda limetekeleza ilani ya CCM kwa asilimia 85

    Mbunge wa Jimbo la Ndanda, Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Mheshimiwa Cecil David Mwambe, amesema kuwa hadi kufikia sasa, utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2020 umefikia asilimia 85 katika jimbo hilo. Akizungumza leo Mei 25, mbele ya mabalozi wa mashina wa CCM katika...
  2. Mzee Kimamingo

    JamiiForums Tanzania Wadau Hii CV ya Mbunge mnaionaje

    Huyu Mbunge aliyeita watu ni Kenge kumbe katumia miaka 27 kupata Diploma. Ila nadhani hakuna Bunge duniani lina vilaza kama hili.
  3. ngara23

    JamiiForums Tanzania Mbunge Tauhidi alimaanisha hao kenge wa ndani ni akina nani?

    Mbunge Tauhidi kutoka Zanzibar alishauri serikali imalizane na Kenge wa ndani Tunajiuliza hao kenge wa ndani ni akina nani? Na anataka serikali imalizane nao vipi? Hivi mbunge anafikia hatua yakuita Watanganyika kenge, anajielewa kweli? Kwanini aite Watanganyika kenge? Anataka serikali...
  4. Q

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo kazi kubwa 3 za Mbunge wa Tanzania.

    1. Kumsifia Rais. 2. Kuitetea Serikali, na ya mwisho ni, 3. Kujipanga kurudi tena bungeni ili kutekeleza no. 1 & 2. Hawana kazi nyingine zaidi ya hizo, mbwembwe zote mnazoziona zipo kwenye cycle hiyo. Usipotekeleza no. 1, hurudi bungeni. Straight RED card. Usipotekeleza no. 2 huwezi...
  5. H

    JamiiForums Tanzania Mbunge Aliyewaita Watanzania ni KENGE, Kuanzia Leo Watanzania Tumwite Yeye MBUNGE KENGE

    Jana, kupitia mitandao mbalimbali, tumemsikia mbunge wa Zanzibar akiwaita wananchi ni Kenge. Yaani mtu ambaye upeo wake ni duni, elimu yake ya kubabaisha, mtu mwongo aliyelidanganya bunge kuwa ana diploma, kumbe hata form 4 tu aliimaliza kwa shida, anawaita watanzania Kenge. Hana uelewa wala...
  6. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Mbunge Esther Matiko apendekeza Gen-Z wa Kenya Wakamatwe

    "Udhalilishaji mtandaoni unafanywa na hao watu wa nje tunasema, lakini zinasambazwa na kwenye mitandao ya Kitanzania, tuko wapi? Kwa nini tunaruhusu hii? Ni udhalilishaji na unaweza kuona kwamba ni udhalilishaji kwa sababu Mama, yaani Rais wetu ni mwanamke," alieleza Mbunge Esther Matiko...
  7. Youbettersleep

    JamiiForums Tanzania Tangu bunge lianze kuonesha vikao vyake live kuna baadhi ya wabunge wameonekana hawana akili kabisa za kufikiria

    Tangu bunge lianze kuonesha vikao vyake live kuna baadhi ya wabunge wameonekana hawana akili kabisa za kufikiria na hata kuwasilisha hoja za wananchi wao bungeni. Upimaji wa ujinga uangaliwe kuanzia 1. Kutoa hoja 2. Kutetea mikataba au hoja zenye maslahi ya kitaifa 3. Kutetea wananchi wake na...
  8. Q

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge wa CCM unawaita Wananchi KENGE? Anaishauri DOLA iendeleze Utekaji na Uuaji dhidi ya Kenge (Watanzania)?

    This is too much, hata kama ni ulevi wa madaraka hii imepita kiasi. Mzanzibari akipata madaraka huwa wana dharau sana hata Samia aliwahi kuwaita Watanzania mbwa wapumbavu. "Tuwaambie vyombo vya ulinzi na usalama kuna kenge wa ndani halafu kuna kenge wa nje. Shughulikeni na kenge wa ndani...
  9. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Hivi kujua kusoma na kuandika ndio sifa ya kitaaluma inayomtosha mtu kuwa Mbunge, katika Tanzania ya sasa?

    Tunapofikiria reforms za mifumo yetu ya uchaguzi, sisi kama wananchi ni vyema kwenda mbele zaidi ya agenda ya reform kama zinavyodaiwa na wanasiasa. Si puuzi umuhimu wa hoja za uenguaji wa wagombea, wizi wa kura na utangazaji wa matokeo batili, lakini hata kama yanayolalamikiwa yatabadilika...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Mbunge Felista Njau atuzwa Pesa Bungeni baada ya kuchangia Bajeti ya Mambo ya Ndani

    Mbunge Felista Deogratius Njau akituzwa pesa leo Jumatatu, Mei 26, 2025, bungeni jijini Dodoma baada ya kuchangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani kwa mwaka wa fedha 2025/26.
  11. Fbn

    JamiiForums Tanzania Mbunge Msukuma: Wakenya waje kujifunza kwetu

    Aisee yani siku nikikutana na huyu darasa la saba nita muuliza swali moja tu. Ulishafika Nairobi ukajionea idadi kubwa ya wageni na mataifa makubwa yamewekeza hapo nairob na kenya nzima. Huyu kama ndio mbunge wenu hata uchambuzi hafahamu anachokiongelea ni uchawa tu. Kujiuliza hapa east afrika...
  12. Mindyou

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbunge wa Juja George Koimburi aliyetekwa apatikana kwenye shamba la kahawa akiwa amejeruhiwa vibaya

    Mbunge wa Juja, George Koimburi, amepatikana akiwa amejeruhiwa vibaya kwenye shamba la kahawa Kaunti ya Kiambu. Koimburi,ambaye ni mtetezi mkubwa wa Naibu Rais wa zamani Rigathi Gachagua, alitekwa nyara Jumapili, Mei 25, nje ya Kanisa la Full Gospel Mugutha akiwa na mkewe, Anne Koimburi...
  13. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Mbunge Cherehani Asema Tumbaku Bora Huanzia Shambani

    MBUNGE CHEREHANI ASEMA TUMBAKU BORA HUANZIA SHAMBANI Wakulima wa zao la Tumbaku hapa Nchini wameaswa kuzingatia kanuni bora za kilimo cha zao hilo ili kuzalisha kwa tija na kupata soko la uhakika kutokana na kuendelea kuimarika kwa bei katika masoko. Rai hiyo imetolewa na Mbunge wa Jimbo la...
  14. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Yule mbunge aliyejiita yeye ni mafia hakuna mtu atakayegombea kwenye jimbo lake atammaliza na kumpoteza amechukiliwa hatua gani ?

    Yule mbunge aliyejiita yeye ni mafia hakuna mtu atakayegombea kwenye jimbo lake atammaliza na kumpoteza amechukiliwa hatua gani ? Je, wakwapi wale wanaosema wanalinda amani ya nchi, je huyu mbunge haaribu amani na usalama wa nchi kwa hayo aliyoyasema au kulinda amani kunafanya kazi kwa wale...
  15. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Mbunge Butondo Ashauri Pembejeo za Kilimo cha Pamba Kutolewa Mapema

    MBUNGE BUTONDO ASHAURI PEMBEJEO ZA KILIMO CHA PAMBA KUTOLEWA MAPEMA Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, Mhe. Boniphace Butondo ameishauri Serikali kusambaza pembejeo za kilimo cha zao la Pamba kwa wakati ili wakulima waanze maandalizi mapema hali itakayoongeza tija katika uzalishaji wa...
  16. magnifico

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Nyatike, Kenya: “Freedom of Speech” iko Kenya pekee, ukivuka mipaka mambo yako tofauti

    "Mimi kama Mbunge wa Nyatike, tunapakana na Tanzania na Uganda. Nyatike ipo kwa kona ya Kenya kabisa, mahali ukivuka unaingia Tanzania na ukienda kidogo unaingia Uganda. Kitu ambacho hawa watu wetu walikuwa hawajaelewa vizuri, hii mambo ya freedom of speech kwa East Afrika nzima, ipo Kenya peke...
  17. Abti

    JamiiForums Tanzania Wana-JA niokoeni nitoke mnipe connection.

    Kwa heshima na taadhima kwenu Wana-JA Mungu ashukuriwe na mtaji wa pumzi ninapumua na afya njema ila swala la kiajira nimekwama nishapita kwenye jukwaa la ajira ila nimeona nije na hapa maana jukwaa hili lina nguvu sana kama mdogo wenu, kijana mwenzenu na kijana wenu nipo hapa kama tittle...
  18. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Mbunge Edwin Swalle Asema Utekelezaji wa Bajeti ya Kilimo Utakuwa Faraja kwa Wakulima

    MBUNGE EDWIN SWALLE ASEMA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA KILIMO UTAKUWA FARAJA KWA WAKULIMA Mbunge wa jimbo la Lupembe Edwin Swalle amesema kuwa utekelezaji wa bajeti ya kilimo ukienda vyema utakuwa tiba na faraja kwa wakulima ambao kwa kipindi kirefu wamekuwa wakikabiliwa na changamoto mbalimbali...
  19. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Mbunge Ulenge Aitaka Serikali Kukiwezesha Kituo Atamizi cha Mkonge Tanga

    MBUNGE MWANAISHA ULENGE AITAKA SERIKALI KUKIWEZESHA KITUO ATAMIZI CHA MKONGE TANGA Mbunge wa Viti Maalum, Mhandisi Mwanaisha Ulenge amesisitiza umuhimu wa Serikali kuhakikisha fedha zilizotengwa kufanikisha mradi wa kituo atamizi cha uzalishaji wa bidhaa za mkonge kinachowahusisha vijana...
  20. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Mbunge Cherehani ataka Ushetu iache watoto wapate Shahada ndipo waozeshwe

    Mbunge wa jimbo la Ushetu mkoani Shinyanga, Emmanuel Cherehani amewataka wazazi na walezi katika halmashauri hiyo kuwasaidia watoto kuhitimu elimu ya juu ili kuwatengenezea fursa bora ya maisha ya baadae badala ya kuwaozesha wakiwa bado wadogo. Cherehani ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na...
Back
Top Bottom