mbeya

  1. H

    JamiiForums Tanzania DOKEZO TO wa Hospitali ya Rufaa mkoa wa Rukwa anatoza mafuta lita 120 kwa ambulance kwenda Mbeya Zonal Hospital

    TO na uongozi wa hospitali hiyo wanatoza lita 120 na chakula na posho kwa kila mgonjwa kwa mgonjwa kutumia ambulance kwenda mbeya na badae kuwasilisha receipt za mafuta na kuchukua fedha hizo serikalini.
  2. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Usalama Barabarani Mbeya yaendelea na utekelezaji wa maelekezo ya Mkuu wa Mkoa

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Benjamin Kuzaga ambaye pia ni Mlezi wa Kamati ya usalama barabarani Mkoani humo Juni 12, 2025 aliwaongoza wajumbe wa kamati hiyo kufanya ukaguzi wa maendeleo ya utekelezaji wa maelekezo ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Dkt...
  3. Little brain

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Kompyuta&popocorn machine for sell mbeya

    Kompyuta hp ina disk TB 4 Ina mzigo full movies&nyimbo imetumika miezi 6 tu .Bei tsh 550000 Mashine ya biisi ya Kati hii haitumii umeme mkubwa bei 350000 ofa :Ukinunua kompyuta unapewa makava ya simu bure pamoja na external moja bure
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania CCM Mbeya yatoa Rambirambi kwa Familia 28 zilizopoteza wapendwa katika Ajali ya Barabarani

    Chama Cha Mapinduzi CCM mkoa wa Mbeya kimetoa rambirambi yake kwa familia 28 zilizoondokewa na ndugu kufuatia ajali ya magari iliyotokea siku ya Jumamosi usiku. Soma: Watu 28 wafariki kwenye mteremko wa Mbalizi, mkoani Mbeya, wengine 9 wajeruhiwa Akiongea na wafiwa kwa niaba ya Mwenyekiti wa...
  5. Mwanongwa

    JamiiForums Tanzania Mbeya:Mechi ya Maajabu Huko Mbeya

    Mashindano ya Dream fm super cup yaliendelea kutimua vumbi siku ya jana kwenye uwanja wa chuo kikuu cha Teku Mechi hiyo ya fainali ilizikutanisha timu za chuo kikuu cha Sayansi na technology MUST dhidi ya TIA. Ndani ya dakika 90 game ilimalizika kwa bao moja kwa moja na ndipo ikafuata...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Kilimo Cha mpunga kinalimwa mikoa mingi Tanzania sio Mbeya na Morogoro watu walivyo kalili

    Kwa wadau wa kilimo hasa kilimo Cha mpunga Kwa mikoa ile maarufu Kwa uzarishaji wa mpungu ushindani umekua mkubwa , wakulima wamekua wengi na aridhi ndogo ivyo inapelekea mashamba kupatikana Kwa gharama mkubwa Kwa wale wanaokodisha Kwa uzoefu nilio nao mfano mikoa wa Mbeya wilaya ya Mbalari...
  7. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Wawili washikiliwa kwa kushirikiana na Maafisa wa Halotel kuiba na kusafirisha vyuma vya minara

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na maafisa wa kampuni ya mawasiliano ya Halotel linawashikilia watuhumiwa wawili, Adam Seleman Mwakitusya [48] dalali wa kusafirisha mizigo, mkazi wa ilemi na Sheki Mikidadi Chura [53] dereva, mkazi wa mwakibete Jijini Mbeya kwa tuhuma za kuiba na...
  8. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Polisi Mbeya wafunga Makanisa 6 ya Ufufuo na Uzima

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeyafunga makanisa sita ya Ufufuo na Uzima yaliyopo eneo la ZZK Mbalizi, Mtaa wa Mnadani Rujewa VWilaya ya Mbarali, Wilaya ya Chunya, Rungwe, Kyela na Jijini Mbeya. Taarifa ya kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya SACP Benjamini Kuzaga amesema wameyafungia makanisa...
  9. Mbalizi feedstuff

    JamiiForums Tanzania Hivi maonyesho ya nane nane Mbeya kwa mwaka huu(2025) hayatakuwepo?

    Sababu ya kuuliza iwapo mashindano haya kama yapo ni kusawazishwa kwa eneo lile kana kwamba kwamba unatengenezwa upya.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ukwapuaji wa simu Mbeya chukua Tahadhari!

    Kuna kukithiri kwa ukwapuaji wa simu na mikoba hasa kwa wanawake na wadada kwa ujumla ndani ya jiji la Mbeya. Mama mmoja katika eneo la Sae siku ya Jumapili anatoka getini kwake na kuingia barabari wakwapuaji wanaotumia bodaboda wakaondoka na kibegi chake cha mkononi kikiwa vitu kadhaa ikiwemo...
  11. W

    JamiiForums Tanzania Kwa wingi huu wa matapeli kutokea Mbeya, Je Mbeya kuna chuo cha utapeli ?

    Kwa upande moja Mbeya imekuwa mkoa wa kujivunia kwa kutoa wasomi na viongozi mahiri lakini kuna upande mwengine unaitia doa 1. Mawinga wengi sana hutoka huko, utafika Kariakoo kuulizia kiatu cha elf 20 ila winga anataja 50 2. Fake pastors wanaoishi maisha ya kifahari, kufanya miujiza yenye...
  12. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Mbeya Cement Technicians & Graduates Trainee Jobs June 2025

    Technicians and Graduates Trainee Program 2025–2026 at Mbeya Cement Company Limited Mbeya Cement Company Limited (MCCL), a member of Amsons Group, is a leading manufacturing company providing innovative and sustainable building products and solutions within and outside Tanzania. The company...
  13. D

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kufahamu mambo muhimu kuhusu mashamba ya kukodi kwa mkoa wa Mbeya mahususi kwa kilimo cha mpunga

    Nahitaji kufahamu mambo muhimu kuhusu mashamba ya kukodi kwa mkoa wa mbeya mahususi kwa kilimo cha mpunga Taafifa kama 1.Bei ya kukodi 2.maeneo mazuri ni wapi ( location) 3.usafirishaji wa mavuno (miundombinu ya barabara ) 4. Aina nzuri ya mbegu 5.hatua za kilimo 6. Changamoto za kawaida...
  14. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Mbeya Cement Technicians & Graduates Trainee Jobs June 2025

    Technicians and Graduates Trainee Program 2025–2026 at Mbeya Cement Company Limited Mbeya Cement Company Limited (MCCL), a member of Amsons Group, is a leading manufacturing company providing innovative and sustainable building products and solutions within and outside Tanzania. The company...
  15. H

    JamiiForums Tanzania Hongereni Hospitali Rufaa ya Kanda ya Mbeya

    Habarini, Hivi karibuni nilileta hoja ya hospitali nyingi za serikali kuwaandikia dawa wagonjwa na kuwataka walipie dozi nzima na wakishalipia ndani ya muda mfupi wanabadilisha dawa na kuwataka walipie tena dozi nzima kitu ambacho huwatia hasara kubwa wagonjwa na badae kuondoka na mafurushi ya...
  16. H

    JamiiForums Tanzania Wenyeji wa Mbeya, nahitaji kiwanja kwa bajeti ya 2m to 3m

    Wakuu poleni na majukumu. Moja kwa Moja kwenye mada, nahitaji msaada wenu, Mimi ni mhitimu wa chuo Cha MUST mbeya nlieamua kujitafuta hapa hapa mbeya. Baada ya kujitafuta kwa miezi kadhaa kitu Cha kwanza ikawa ni kutafuta eneo kwa ajili ya makazi. Kwa bajeti ya Milion2 hadi 3 naweza pata...
  17. kyagata

    JamiiForums Tanzania Hapa mbeya ugali nyama choma unaupata kuanzia saa 11 alfajiri.

    Aisee Leo nimeamka na hangover sio poa,mwenyeji wangu akaniambia usiwaze twende tukapige diko somewhere, nikamuuliza saa 11 ile msosi tunatoa wapi. Jamaa akaniambia Acha wenge nifuate,tukaingia huko uyole ndani ndani tukaibuka kwa jamaa anaitwa j4,tukakuta nyomi ya raia ya kutosha,tukapiga nguna...
  18. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Watu wa Mbeya tuambieni ukweli, huyu ni wa kwenu kweli au mlisingiziwa? Mbona hafanani na nyie?

    Tunamjua Mwakyembe alisimama imara kuwapinga Mafisadi kina Lowassa na Rostam Tunamjua Mwandosya, alimpiga spana Jiwe na kuweka msimamo dhidi yake pamoja na Jiwe kumbananisha sana Tunamjua Sugu, pamoja na urafiki wake na Samia ila kasimama imara kusambaza No Reforms No Election Tunamjua Mdude...
  19. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Licha ya Mbeya na Tanga kuwa miongoni mwa Mikoa Inayoendesha Uchumi wa Tanzania ila Imeshindwa Kuvutia Wawekezaji Kwa Wingi.Shida nini?

    Hii ni mada ambayo imewekwa na The Citizen wakinukuu na kufanya uchambuzi wa taarifa kutoka BoT. Licha ya kuwa miongoni mwa majiji sita bora kwa uzalishaji wa kiuchumi hapa Tanzania, Mbeya na Tanga zinasuasua kwa kiasi kikubwa katika kuvutia miradi ya uwekezaji, mitaji, na ajira. Hali hii...
  20. chiembe

    JamiiForums Tanzania Sugu, jimbo la Mbeya Mjini liko wazi, jiunge na chama kikuu cha upinzani CHAUMMA usepe na kijiji

    Kwa sasa Sugu njia nyeupe Mbeya Mjini. Ni yeye tu aachane na siasa za darasani (academic politics) aende saiti
Back
Top Bottom