mbele

Blaise Lelo Mbele (born 10 August 1987) is a retired Congolese footballer who last played for Al-Ahli Club. Lelo previously played for different professional clubs such as South African giants, Orlando Pirates FC and the Saudi Arabian club, Al-Hilal FC.

View More On Wikipedia.org
  1. I

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wachagga wanaongeza herufi mbele ya kila neno?

    Mfano badala ya kutamka baba wao wanasema babaa. Mfano badala ya kutamka mama wanasema mamaa, dadaa au kakaa. Wanataka watengeneza kiswahili chao?
  2. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Kwa wanasiasa tulionao, Tanzania hatuwezi kusonga mbele

    Taifa letu limetokea kuwa la ajabu sana tumekuwa na wanasisa wa ajabu ambao hawana mikakati ya kuwasaida wananchi. Wananchi nao wamekuwa watu wa ajabu wanadanganywa kama watoto wadogo ambao wakipewa zawadi ya peremende basi wao husahau shida zote. Sijaona mwanasiasa ambae yupo serious na hali...
  3. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Hakuna tumaini mbele, tumaini tumeliacha nyuma. Tusijidanganye!

    HAKUNA TUMAINI MBELE; TUMAINI TUMELIACHA NYUMA. Kwa Mkono wa, Robert Heriel. Mambo yataendelea kuwa vivi hivi. Tena yatazidi kuwa magumu, kila siku iendayo na ile inayokuja itakuja na ugumu maradufu. Hakutakuwa na urahisi. Watu watazidi kuchanganywa na kujichanganya. Furaha itazidi kuyoyoma...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mambo ambayo unapaswa umpe binti yako katika karne hii yakayomsaidia katika maisha

    SAFIRI SALAMA NA BINTI YAKO, USIMUACHE; HUKO MBELE HAKUFAI. Kwa Mkono wa Robert Heriel Andiko hili lamfaa mtu yeyote yule, hasa wazazi wenye watoto wakike. Bila shaka litakuwa msaada kwa sehemu kubwa ikiwa litazingatiwa. Nilipokuwa mwaka wa pili pale UDSM nikiwa naishi Sinza Kwaremi, nilipata...
  5. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro: Askari amuua mwenzake kwa ugomvi wa kukaa siti ya mbele

    Utata umeibuka kuhusu kifo cha askari polisi wa kitengo cha upelelezi Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, aliyetambulika kwa jina moja la Linus aliyefariki usiku wa kuamkia Mei 31, mwaka huu ikidaiwa alipigwa risasi shingoni na askari mwenzake. Alipotafutwa na gazeti hili kuzungumzia suala...
  6. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Ni ubunifu tu lakini wamependeza, mwendo ni kusonga mbele

    Sare zinatamanisha sana
  7. mkamanga original

    JamiiForums Tanzania Niseme tu Katiba Mpya tusubiri miaka 100 mbele, kizazi hiki hakina uwezo wa kuisimamia hiyo katiba mpya inayodaiwa

    Napingana sana na wana harakati na waumini wanao dai sasa nchi inahitaji katiba mpya ili iweze kwenda mbele.Mimi napingana nao kwa sababu kuu zifuatazo 1. Kwa sasa kudai uandaaji wa katiba mpya ni kupoteza fedha na muda kwa sababu sisi kama nchi bado hatuna uwezo wa kuisimamia hiyo katiba mpya...
  8. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Jicho la tatu: Kama prominent figure Tundu Lissu alidhulumiwa haki yake, sisi makabwela tusio na mbele wala nyuma ndio tutapata haki?

    Hii imelipaka matope makubwa sana jeshi la polisi hapa Tanzania. Public figure anashambuliwa kwa masasi zaidi ya 33 mchana kweupe alafu hakuna uchunguzi wala kufungua jalada! Kwa kauli yake mwenyewe mkuu wa nchi amekiri kuwa polisi wa Tanzania hawafanyi kazi kwa weledi. Hii ina maanisha kuwa...
  9. Kurunzi

    JamiiForums Tanzania Serikali iondoe vibanda vilivyo Mbele ya Biashara nyingine Kariakoo, hali mbaya

    Hawa machinga wanatutafutia ugomvi sisi wafanyabiashara wa maduka. Kumbuka Wenye Fremu wanalipa Kodi TRA tutashindwa kulipa Kodi kwa style hii. Serikali waliangalie hili Jambo kwa upana zaidi. Hapa mteja anapita wapi kuja dukani wakati duka halionekani Kodi za pango ni zaidi ya milioni kwa...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kwa habari ya Covid-19, Tanzania kisiwa. Mungu ndiye katupa neema hii baada ya kumtanguliza mbele kwenye vita hii

    Makaburu na mawakala wao hawataki kuamini lakini ndivyo ilivyo. Hivi sasa inatumika nguvu kubwa kuitafuta corona hata kwa tochi nchini Tanzania bila mafanikio. Wanalazimisha kushawishi mamlaka za juu ziseme na kukiri kuwa Tanzania kuna corona. Wanalazimisha kubambikiza kila kifo kuwa ni cha...
  11. comte

    JamiiForums Tanzania Hivi nana hasa mwenye mamlaka na dhamana ya watuhumiwa wakiwa mbele ya mahakama?

    Kheri ya EID. Nitafurahi kama tutasaidiana kutafuta ufumbuzi hasa wa nani ana mamlaka na dhamana ya mtuhumiwa awapo mbele ya mahakama. Natanguliza shukrani
  12. C

    JamiiForums Tanzania Kupeleka mbele Ratiba ya Yanga vs Azam na Yanga vs Biashara United kulifuata kanuni!

    Kwanza nianze jambo moja... Kama utanisoma kwa kuongozwa na Think Tank wa Club ya Simba, yaani Haji Manara, katu hutanielewa! Ni bahati mbaya sana nimetafuta barua kutoka TFF au hata Yanga zinazotoa maelekezo ya kupeleka mbele mechi hizo hapo juu! Pamoja na yote hayo, kama utaweza ku-connect...
  13. kibovu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke aongea na simu ya Wanaume mbele ya mume wake

    Wakuuuu poleni na mfungo ndugu zangu na kazi iendelee. Ndugu zangu nimekuja kikaz Dar es Salaam ntakuwa kwa muda wa mwaka mmoja nimepata nyumba ya kupanga hapa sinza madukani . Nimepanga na jirani yangu akiwa na mkewe chombo sana lakini bado hawajapata mtoto. Mkewe jioni hupenda kujifunga...
  14. Magnificient

    JamiiForums Tanzania Ada ya kutuma Tsh 80,000 kutoka Tigopesa kwenda Equity bank ni Tsh 5,000. Tunaenda mbele au tunarudi nyuma?

    Leo kutokana na hizi mvua pamoja na kuwahisha pesa kwenye akaunti nikaona nihamishe Tsh 80,000 kutoka Tigopesa kwenda akaunti yangu ya benki, Equity Bank. Mweeeeeee...! Nakuta ada ni Tsh 5,000 kwa hako ka muamala. Hivi mbona ni kama hatuko serious na mapinduzi ya kiteknolojia? Moja kati ya...
  15. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mohammed Hussein Tshabalala 'asinya' Simba SC mbele ya Kocha Mkuu Profesa Gomez

    Ameshamalizana na Simba SC dakika 15 zilizopita na anaendelea kubakia Simba SC mpaka pale atakapozeeka kabisa. Na sasa kuna Clause tumeweka ambapo Timu za ndani kama Azam FC ikimtaka itoe Tsh Bilioni 1 tu. Kama Klabu ya Yanga SC ikimuhitaji basi itabidi imnunue kwa Tsh 37 Bilioni tu. Klabu...
  16. Slowly

    JamiiForums Tanzania Twende mbele turudi nyuma golikipa wa Yanga ni "kopo", anademka tu

    Huyu kipa hamna kila kitu, unafungwaje gori Kwa shuti la mbali namna Ile , tena shuti lenyewe la kupitia Kati Kati ya gori na sio kwenye mlingoti wa juu sehemu ambayo mara nyingi ni impossible Kwa gori kipa kuunasa mpira , rejea shuti la miquisone dhidi ya al-ahally ..... Alaf anademka juu kana...
  17. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wasichana wapiga mizinga, Mnajiaibisha mbele ya wanaume

    Unakutana na msichana mrembo anavutia kwa muonekano na angalau mnaendana mfano dini etc. Unaamua kuanzisha uhusiano nae kwa malengo ya kuwa mwenzio wa maisha (Mke). Sasa kidogo anaanza kukuambia naomba uninunulie simu yenye whatsapp, mara naomba hela ya mchango wa kitchen party, mara naomba kod...
Back
Top Bottom