Mwaka uliopita,
Watu walitekwa
Waliteswa
Walipotezwa
Walinyanyaswa
Waliuawa
Walitishwa
Walidhalilishwa
Walichekwa
Walikosa na kupoteza matumaini
Waliibiwa fedha, mali, na raslimali hata kura
Nchi ilinajisiwa kiasi cha sifa yake kutoweka
Ni mwaka wa mikosi na mateso hakuna mfano
Watanzania...