Kwa sasa, ufugaji wa ng’ombe wa maziwa ni moja ya miradi inayoshika kasi zaidi Tanzania.
Kila siku tubapokea simu kutoka kwa watu binafsi, taasisi, makanisa, wastaafu na vijana wanaotaka kuanza — na hii si bahati nasibu, ni mwelekeo mpya wa kiuchumi unaojenga ajira na uhakika wa kipato.
💡 Kwa...
Mwachiluwi
Karibuni wale wote wapenda mapishi mimi napenda sana kujifunza kila leo.
Changamoto yangu maziwa situmii japo hata nikitumia huwa hayana madhara yoyote.
Je naweza kutumia maji mbadala wa maziwa na ladha ikabaki vilevile?
Mbeya vyakula ni bei nafuu lakini amini nakwambia kuna watu wamelala na njaa huko Mbeya. Ukiwa na access ya kupata milo mitatu per day brother wewe umefanikiwa tembea kifua mbele mengine ni minor issues utazisolve ukiwa umeshiba.
Mungu amuongezee neema mwarabu wa Africable pale Mivinjeni kwa...
Mikoa inapakana na maziwa, mito, chemchem ila wanakosa maji, maajabu ya Dunia..
Unakuta kimji kidogo kiwilaya ila watu wanakosa maji kweli? Basic human need ..nchi hii..huku wengine Wana bilioni 20 kwenye akaunti, wengine wananunua vifaa vya ujenzi vya bilioni 2+, wengine hata tunapewa Dole la...
Mtoto anapokua mchanga ananyonya sana na kukesha usiku, inafikia hatua mama anaumwa hadi kiuno. Kama wanaume wangekua na maziwa, wangesaidiana katika kulea na kunyonyesha mtoto. Mambo yangekua mepesi kidodo.
Sikosoi mpango wa Bwana, am just thinking.
Ndugu zangu Watanzania,
Watanzania hawaeleweki wanataka nini siku zote, Watanzania hawaelewi wanahitaji nini Maishani Mwao. watanzania hawana shukurani wala kuridhika wala kutosheka wala kusema asante kwa juhudi zako . Wao kila kitu kwao ni kibaya.
Leo watataka hiki lakini kesho ukiwapa...
Nauza maziwa mgando na freshi nipo dodoma maili mbili free derivery kwanzia lita 5 ni Shilingi elfu kumi(10000) ndani ya dodoma
Piga 0613929286 kuweka oda yako nikuhudumia karibu sana.
Pia kwa wamama ambao wanatamani kufanya hii biashara nipigie nikupe maelekezo
Habari wanajamvi.
Kuna mama ana mtoto wa miezi 4 na amepatwa na hali ya ajabu maziwa ya kumnyonyesha mtoto yamekata ghafla.
Hii hali inasababishwa na kitu gani maziwa ya mama yakate ghafla?
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe Paul Matiko Chacha anasema Chini ya Rais Samia sekta ya Mifugo Mkoa wa Tabora imeimarika kupitia ujenzi wa majosho 16 mapya na kufikisha jumla ya 95 yenye uwezo wa kuhudumia ng’ombe 889,183.
Ananendelea kwa kusema Serikali pia imetoa pikipiki 44 kwa maafisa mifugo...
Habari zenu wajuzi, nina mtoto wa miezi 9 ila nimesafiri takribani week mbili sasa na huku nilipo nilikamja maziwa yangu siku moja tu, je nikirudi naweza mnyonyesha? Kuna imani kuwa maziwa ya Mama usiponyonyesha hata siku tatu ukija mnyonyesha mtoto anaharisha hivyo natamani kujua kutoka kwa...
Rais Samia atumia TZS120.56 kujenga Meli ya MV Mwanza itakayobeba Tani 400, magari 20 na Malori 3 pamoja na abiria 1,200 kwa wakati mmoja.
Kwa msiofahamu, MV Mwanza ni mradi wa kimkakati wa kitaifa unaoonyesha dhamira ya Rais Samia katika kuimarisha miundombinu ya usafiri na usafirishaji wa...
Hell
Nimekimbia mbio kwenda likizo nilipofika home nikaona niwaandalie maandazi kuepuka kuchomoana hela ya vitafuno morng
So nikaanda unga wa ngano wa PPF kisha hamira, sukari, sodabik, barking powerd na irick
Nilianza na kuchekecha unga wa ngano na kuweka sukari pamoja na sodabik na...
---
🐖📌 ELIMU KWA WAFUGAJI
🍼 Sababu za Msingi Zinazomfanya wanyama Jike Kushindwa Kutoa Maziwa + Suluhisho Kamili
---
🔍 Tatizo ni nini?
Nguruwe jike asipotoa maziwa, watoto hukosa lishe ya awali (colostrum) muhimu kwa kinga na ukuaji. Hali hii huathiri uzalishaji na afya ya watoto, hivyo...
Bashiru Ally Kakurwa sijamuona akichukua Form
Na sioni Kama akiteuliwa tena kwa Sababu alipopewa nafasi ya kutawala kosa kubwa alilofanya alitumia nguvu kubwa kutengeneza maadui .
Je, atarudi Ubungo Maziwa na Udsm kuendelea kufundisha political science.
Ushauri, mitaala imebadika kwa hiyo...
Maisha ya mwanadamu ni mazuri sana but only if you believe on " Likud's philosophy of life".
If you actually want to be happy in this world, then your life should move in the direction of Likud's philosophy of life.
Maisha nini?
According to me " Maisha ni mazuri sana ".
Tumeumbwa duniani...
Wengi huamini kwamba ufugaji wa ng’ombe ni shughuli ya mashambani au vijijini pekee. Lakini ukweli ni kwamba — mjini ndiko kuna fursa ya haraka, ya uhakika, na yenye faida kubwa!
Jiulize: Unayo nafasi ya kujenga banda? Kiwanja cha familia? Kiambaza kisichotumika? au sehemu ndogo iliyobaki...
Habari wafugaji Leo napenda kuwaletea somo juu ya aina ya mbegu za ng'ombe wa maziwa.karibi sana uwe kujifunza
✅AINA ZA MBEGU ZA NG'OMBE WA MAZIWA;
---
Breed za Ng’ombe wa Maziwa (Dairy Breeds)
1. Friesian (Holstein-Friesian)
- Maziwa mengi sana, rangi nyeusi na nyeupe
- Uwezo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.