Nimejaribu kufuatilia video hii aiseh inatia uchungu sana. Ila nadhani lengo la huyu kwenye video hii lilikuwa ni kuonesha namna ambavyo ufugaji unakumbwa na vikwazo. Tunatakiwa kuangalia namna ya kutengeneza mazingira rafiki kwa wafugaji. Inaumiza lakini hasa ndio maisha hamna namna
Salamu!!
Jamani natafuta mahali au chuo au hata mtu binafsi anaweza kunifundisha namna ya kusindika maziwa.
Nimejaribu SIDO wanasema wao wanafundisha usindikaji wa vyakula na milolongo kibao na procedures za kufa mtu.
Kupitia jukwaa hili nisaidieni jamani anayefahamu mahali au mtu binafsi au...
Habari wana Jf na wakazi wa Dodoma.!
Ninauza Maziwa ya ngombe wa kisasa, Tsh. 2000/= @ 1 litre
Monthly Bills na Discount Kwa Maziwa mengi inapatikana.
LOCATION: Dodoma Mjini
Info; PM
Natanguliza Shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.