maziwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. sabuwanka

    JamiiForums Tanzania Mrejesho: Ufugaji wa nguruwe, kilimo cha matikiti maji na ufugaji ng'ombe wa maziwa

    Mwaka 2016 mfumo wa maisha ulibadilika baada ya Serikali mpya kuingia madarakani! Vijana wengi tulijikita katika kilimo na ufugaji baada ya motivational speaker kutuhakikishia tutapata utajiri bila kutoa jasho Nami nikaanza na nguruwe wenye mimba 3. Mwanzoni hakukuwa na changamoto sana ila...
  2. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Maziwa ya mtindi hukinga dhidi ya homa ya mafua

    Utafiri umeonyesha kwamba maziwa ya mgando huimarisha kinga ya mwili na kukinga dhidi ya magonjwa ya mfumo wa hewa na haswa homa ya mafua. Prof. Dr. Nizami Duran mkuu wa Idara ya Mikrobiolojia katika chuo kikuu cha sayansi ya tiba cha Hatay Mustafa Kemal pamoja na timu yake ya uchunguzi...
  3. balimar

    JamiiForums Tanzania Vikwazo kwa Wafugaji wa Ng'ombe wa Maziwa kunna mahala tunakosea!!

    Nimejaribu kufuatilia video hii aiseh inatia uchungu sana. Ila nadhani lengo la huyu kwenye video hii lilikuwa ni kuonesha namna ambavyo ufugaji unakumbwa na vikwazo. Tunatakiwa kuangalia namna ya kutengeneza mazingira rafiki kwa wafugaji. Inaumiza lakini hasa ndio maisha hamna namna
  4. balimar

    JamiiForums Tanzania Natafuta mahali ninapoweza kujifunza usindikaji wa maziwa na bidhaa zake

    Salamu!! Jamani natafuta mahali au chuo au hata mtu binafsi anaweza kunifundisha namna ya kusindika maziwa. Nimejaribu SIDO wanasema wao wanafundisha usindikaji wa vyakula na milolongo kibao na procedures za kufa mtu. Kupitia jukwaa hili nisaidieni jamani anayefahamu mahali au mtu binafsi au...
  5. Steven Nguma

    JamiiForums Tanzania Naomba kuja kuhusu soko la maziwa ya mbuzi

    Nawasalimuni kwa jina la Mungu, naomba kuuliza juu ya soko la maziwa ya Mbuzi likoje maana nataka kuanzisha huo ufugaji wa hao Mbuzi wa maziwa.
  6. thatwhatyoubecome

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Ninauza Maziwa ya ngombe wa kisasa

    Habari wana Jf na wakazi wa Dodoma.! Ninauza Maziwa ya ngombe wa kisasa, Tsh. 2000/= @ 1 litre Monthly Bills na Discount Kwa Maziwa mengi inapatikana. LOCATION: Dodoma Mjini Info; PM Natanguliza Shukrani
Back
Top Bottom