Vikwazo kwa Wafugaji wa Ng'ombe wa Maziwa kunna mahala tunakosea!!

balimar

JF-Expert Member
Sep 18, 2015
7,569
13,294
Nimejaribu kufuatilia video hii aiseh inatia uchungu sana. Ila nadhani lengo la huyu kwenye video hii lilikuwa ni kuonesha namna ambavyo ufugaji unakumbwa na vikwazo. Tunatakiwa kuangalia namna ya kutengeneza mazingira rafiki kwa wafugaji. Inaumiza lakini hasa ndio maisha hamna namna
 

Attachments

  • VID-20200122-WA0005.mp4
    16 MB
Changamoto kwetu wafugaji Wa ng'ombe Wa maziwa.
Maziwa ya unga hapa kwetu bongo wakina Bakhresa na azam milk yao sijui wanatumia powder gani na kutoka wapi, kikubwa kujibrand tu ukatoa natural product unaweza pata market share kubwa sana despite competition from big brands like azam to whom hawana pure milk but powder
 
Kuna maziwa ya unga yanauzwa kwa kupima kwenye maduka ya mangi mtaani .....yanadaiwa yanatoka Uganda.....kwenye hii video naona amesema hata huko Kenya yamejazana kutoka Uganda.
 
Kuna maziwa ya unga yanauzwa kwa kupima kwenye maduka ya mangi mtaani .....yanadaiwa yanatoka Uganda.....kwenye hii video naona amesema hata huko Kenya yamejazana kutoka Uganda.
Mwaka jana 2019 Waziri wa Mifugo na Uvuvi alipiga marufuku hiuingizaji wa holela wa maziwa. Aidha kodi ziliongezwa maradufu.
 
Mwaka jana 2019 Waziri wa Mifugo na Uvuvi alipiga marufuku hiuingizaji wa holela wa maziwa. Aidha kodi ziliongezwa maradufu.

Pamoja na hilo watanzania tulio wengi hatuna utamaduni kabisa wakunjwa maziwa, tofauti na wenzetu wakenya,ndio maana mtu kabla ya kufanya lolote ni vema uelewe tabia za watu unaowatarget ( target market) anayefuga ngombe wa maziwa kwa tanzania, likely hatapata tija saana kuliko anayefuga ngombe wanyama, watanzania tulio wengi ni walaji wa Nyama kuliko maziwa
 
Back
Top Bottom