Freeman Mbowe awatakia Maulid njema Waislam Wote .

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,765
218,383
Screenshot_2023-09-28-12-54-12-1.png


Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , ambaye anajulikana pia kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , amejitokeza hadharani kushiriki pamoja na Watukufu Waislam Mawlid al Nabi , ambayo ni maadhimisho ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad S.A .W

Ujumbe wake huu hapa

Screenshot_2023-09-28-12-53-57-1.png
 
Tumezipokea

Mfikishie ujumbe wa shukran Kamarada Al Ustaadh Aboubakar Mbowe mwambie Maduka 6 Majohe Gongolamboto msikiti wa kwa Mpogo kutafanyika maulid makubwa siku ya jumamosi saa 3 usiku in shaa Allah

Kama kawaida yao ,ngamia wawili "wataanguka"

Kwa hiyo wewe na Ashaykh ul Kiraam Aboubakar Mbowe mnakaribishwa sana sana

Allahumma swaliy alaaa khatama tu nabiyyina wa nubuwwata walmursaliin ,sayyidina wa habibina wa maulana Muhammad ibn Abdillahi Nnuri min nnuri llahi

#Lidumu Taifa la Tanzania ,amen
 
Tumezipokea

Mfikishie ujumbe wa shukran Kamarada Al Ustaadh Aboubakar Mbowe mwambie Maduka 6 Majohe Gongolamboto msikiti wa kwa Mpogo kutafanyika maulid makubwa siku ya jumamosi saa 3 usiku in shaa Allah

Kama kawaida yao ,ngamia wawili "wataanguka"

Kwa hiyo wewe na Ashaykh ul Kiraam Aboubakar Mbowe mnakaribishwa sana sana

Allahumma swaliy alaaa khatama tu nabiyyina wa nubuwwata walmursaliin ,sayyidina wa habibina wa maulana Muhammad ibn Abdillahi Nnuri min nnuri llahi

#Lidumu Taifa la Tanzania ,amen
Tanganyika inakuja , Zanzibar isharejeshwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom