Maulid ambaka mtoto wa miaka 6 hadi kufa akiwa njiani akienda Shuleni

Aise sasa mtu unapata raha gani kubaka katoto ka chekechea mpaka una ua dah huyo anyongwe tu wala asifungwe kifungo cha maisha.

Nimeshindwa kuvaa viatu vya hao wazazi wa mtoto sijui watakuwa na hali gani huko walipo.
 
Daah! Maulid why lakini mbona pale Bumbwini mala.ya wengi sana
download (1).jpeg
 
Wavaa kobazi wanaongoza kwa ufedhuli huu
Wale mapandre wa Ufaranss na S. America nao wanavaa makobazi?
Unamkumbuka padre kimaro? Alikuwa pandre wa parokia ya mlandizi miaka ya 2005? Alikutwa anamlawiti mtoto kwenye suzuki yake pale UDSM njia ya kuelekea msewe? Naye anavaa kobazi?
Ukiwa msomi usiwe na judgmental behaviours. Soma na tafiti chanzo ni nini?
 
Back
Top Bottom