Pfizer
JF-Expert Member
- Mar 25, 2021
- 305
- 519
Maulid Kitenge nilimsikia akitoa malalamiko aliyo dai ni ya wananchi na kuyaelekeza kwenye mamlaka ya barabara nchini-Tanroads, kuhusiana na maeneo ya Dumila kwambakuna tuta halina alama ya barabarani na kudai kwamba inahatarisha maisha ya watu wanaotumia usafiri wa moto wanaopita eneo hilo.
Nashauri angetumia muda huo kuelimisha wananchi Wasiibe alama za barabarani. Watu wanang'oa vyuma wanaenda kuuza chuma chakavu. Hata hivyo kwa Dumila hakuna aliyeiba, alama ipo.
Sasa mimi jana nimepita nikatafuta hilo tuta lisilo na alama silioni. Moja kwa moja nikajua kwamba Kitenge kadanga au kafanya makusudi edha kwa kujua au kwa kutokujua.
Alama Dumila zipo na nimebahatika kupiga picha. Tujitahidi kufanya utafiti kabla ya kusambaza taarifa za uongo.
Nashauri angetumia muda huo kuelimisha wananchi Wasiibe alama za barabarani. Watu wanang'oa vyuma wanaenda kuuza chuma chakavu. Hata hivyo kwa Dumila hakuna aliyeiba, alama ipo.
Sasa mimi jana nimepita nikatafuta hilo tuta lisilo na alama silioni. Moja kwa moja nikajua kwamba Kitenge kadanga au kafanya makusudi edha kwa kujua au kwa kutokujua.
Alama Dumila zipo na nimebahatika kupiga picha. Tujitahidi kufanya utafiti kabla ya kusambaza taarifa za uongo.