maulid

Mawlid (Arabic: مَولِد‎, romanized: Mawlid, lit. 'Birth [of Muhammad]'), is the observance of the birthday of the Islamic prophet Muhammad which is commemorated in Rabi' al-awwal, the third month in the Islamic calendar. 12th Rabi' al-awwal is the accepted date among most of the Sunni and Shia scholars, while few Shia scholars regard 17th Rabi' al-awwal as the accepted date.The history of this celebration goes way back to the early days of Islam when some of the Tabi‘un began to hold sessions in which poetry and songs composed to honour Muhammad were recited and sung to the crowds. It has been said that the first Muslim ruler to officially celebrate the birth of Muhammad in an impressive ceremony was Muzaffar al-Din Gökböri (d. 630/1233). The Ottomans declared it an official holiday in 1588,
known as Mevlid Kandil.
The term Mawlid is also used in some parts of the world, such as Egypt, as a generic term for the birthday celebrations of other historical religious figures such as Sufi saints.Most denominations of Islam approve of the commemoration of Muhammad's birthday; however, with the emergence of Wahhabism-Salafism, Deobandism and Ahl-i Hadith, many of the followers of these movements began to disapprove its commemoration, considering it an illicit religious innovation (bid'ah or bidat). Mawlid is recognized as a national holiday in most of the Muslim-majority countries of the world with the exception of Saudi Arabia and Qatar. Some non-Muslim majority countries with large Muslim populations such as India also recognise it as a public holiday.

View More On Wikipedia.org
  1. BIG BROTHER ALEX

    Unasherehekea Maulid unakesha na kucheza, unakuja kununa kwenye Christmas

    Sioni sababu ya kuita press kulalama eti Chrstmass ni haramu Hapohapo ikitajwa Maulid unaona ni sawa Ogopa sana akili ikikaa kishabiki, utakufuru bure, Huamini dini yao kiherehere cha kupinga sikukuu yao unatoa wapi?
  2. Lord Denning

    Tuseme Kenya imewafanyia watanzania kama Boniface Mwangi na Agatha Atuhaire, Mamlaka za Tanzania zingemtoa yeyote kwa Kenya?

    Tunaposema Mwanasheria Mkuu wa Serikali anapaswa kuwa mtu mwenye weredi ya hali ya juu katika masuala ya kisheria ziwe za madai au jinai au za kitaifa au kimataifa hatutanii, tuna maanisha kweli. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni cheo nyeti sana katika nchi yoyote ile duniani. Ni kielelezo kikuu...
  3. G

    Maulid Mubarak Kutoka Site to Site Real Estate

    Tunawatakia wote Maulid Mubarak yenye upendo na amani. Site to Site Real Estate – Nyumba bora, maisha bora.
  4. Taasisi ya Mifupa-MOI

    Heri ya Sikukuu ya Maulid

    Bodi ya Wadhamini, Menejimenti na Watumishi wote wa MOI tunawatakia Watanzania wote heri ya sikukuu ya Mawlid. Tusherehekee kwa amani na utulivu.
  5. Chizi Maarifa

    Video : Tukisheherekea Maulid hapa Morocco

    Karibuni sana . Ni mwendo wa kuburudika na kuburudisha.
  6. U

    BAKWATA: Maulid Kitaifa yatasomwa siku ya Alhamis 04/09/2025 Korogwe Mjini. Mgeni rasmi ni Rais Samia

    Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania, (BAKWATA), limewatangazia Waislamu na wananchi wote kwa ujumla kwamba Maulid Kitaifa yatasomwa siku ya Alhamis tarehe 04/09/2025 usiku katika uwanja wa Shule ya Msingi Mazoezi Manund, Korogwe Mjini mkoani Tanga. Baraza la Maulid litafanyika siku ya Ijumaa...
  7. U

    Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt Abubakar Zuberi awaalika Waislam wote kuhudhuria Maulid ya Daarul Maarif, kwenye Viwanja vya Bakwata Makao Makuu

    DAARUL MAARIFA DAY 2025 Mheshimiwa Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt Abubakar Zuber Bin Ally anawaalika Waislam wote kuhudhuria katika Maulid ya Daarul Maarif, itakayofanyika Viwanja vya Msikiti wa Mfalme Mohammad VI Bakwata Makao Makuu. Mufti amewataka Mashekhe wote wa Mikoa, Wilaya, Kata...
  8. Full charge

    Hapa Maulid kamaanisha Ulaya ipi hiyo?

    Mimesoma chapisho lake kwenye mtandao wa Instagram akizungumzia uhamisho wa Kennedy Musonda aliyekuwa mchezaji wa club ya Yanga ambaye kwasasa katimkia timu moja huko Israel. Maswali niliyojiuliza baada ya kusoma chapisho lake lote ni haya hapa tusaidiane kujiuliza: Je Maulid hakusoma...
  9. Tauceti Rigel

    Ukiwasikiliza Kina Maulid Kitenge kwenye hii Morning Show ya Wasafi Utaelewa kwanini wananchi wana hulka ya Mazombie

    Kipindi Cha Asubuhi, Mazungumzo ya Maudhi: Tunalelewa na Vyombo vya Habari au Tunadhalilishwa? Je, tumewahi kukaa chini kama taifa na kujiuliza: tunapata nini tunapowasha redio zetu asubuhi? Ni maarifa, ni uelewa, ni mwelekeo wa kujenga taifa au ni mzaha, upuuzi na mazoea ya kihuni...
  10. Waufukweni

    Maulid ambaka mtoto wa miaka 6 hadi kufa akiwa njiani akienda Shuleni

    Jeshi la Polisi mkoa wa Kusini Unguja linamshikilia Maulid Hassan Maulid (18) kwa kosa la mauaji ya mtoto wa miaka 6, ambaye alibakwa hadi kufa akiwa njiani akienda shuleni.
  11. Waufukweni

    Waziri Aweso ashiriki Maulid ya Mtume Korogwe, nakusoma kitabu cha Maulid, Mlango wa Nne

    Waziri wa Maji na Mbunge wa Pangani, Jumaa Aweso, ameungana na waumini wa dini ya Kiislamu katika hafla ya Maulid ya Mtume iliyofanyika kijijini Kwa Mndolwa, wilayani Korogwe, mkoani Tanga. Hafla hiyo pia ilihudhuriwa na Sheik Mkuu na Mufti wa Tanzania, Abubakar Zubeir, ambaye aliongoza waumini...
  12. tpaul

    Maulid Kitenge ameigeuza radio ya Wasafi FM kuwa mali yake, ashawishi wenzake kupotezea habari ya Lissu

    Sikio halizidi kichwa. Huu ni msemo maarufu wa wahenga unaolenga kuwaonya watoto kuwaheshimu wazazi/walezi wao au wafanyakazi kuwaheshimu waajiri na viongozi wao wa kazi. Anayejiita mtangazaji (mimi namuona kama mchekeshaji tu) Maulid Kitenge wa Wasafi FM ameshindwa kuuishi msemo huu wa...
  13. MSAGA SUMU

    Baraza la maulid Kitaifa limekaa kama mkutano mkuu wa NEC

    Kutoka Geita. Mgeni rasmi aliķuwa Kassim Majaliwa. Kila Sheikh, Maalimu, Mufti nk aliyepata nafasi ya kushika kipaza sauti amelaani maandamano ya Chadema huku wakitoa salamu za pongezi kwa CCM katika kudumisha amani, kuleta maaendeleo na kuzuia mauaji. Ilikuwa vigumu kutofautisha baraza la...
  14. Dkt. Gwajima D

    Heri ya Sikukuu ya Maulid.🇹🇿

    Nawatakia watanzania wote Heri ya Sikukuu ya Maulid.... 🇹🇿🙋🌹
  15. Mohamed Said

    ''Uhuru wa Tanganyika Umepatikana Kwa Dua'' Sheikh Iddi Chaurembo Maulid ya Mfungo Sita Msikiti wa Mtoro Mwinyi Mangara

    https://youtu.be/xqip_zI7S04?si=6fp94bVbh-y6kq1_ DUA SHAMBANI KWA SHEIKH ABDALLAH IDDI CHAUREMBO 1956 Dua hii iliongozwa na Sheikh Suleiman Takadir aliekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU. Waliokaa chini kutoka kulia: 1 Sheikh Hussen Mbegu 2... 3 Ania S. Chaurembo 4. Mohd I. Chaurembo...
  16. Mohamed Said

    Maandalizi ya Maulid Kwa Zitto

    MATAYARISHO YA MAULID KWA ZITTO LEO USIKU Mida hii kuna matayarisho makubwa uwanjani Kwa Zitto Mtaa wa Kionga na Jaribu, Magomeni Mapipa. Uwanja uliozoeleka kwa chips na berbeque za kila aina umegeuka kuwa uwanja wa Qur'an, kumsalia Mtume SAW na visomo vya kuwaombea maghufira masheikh zetu...
  17. Bujibuji Simba Nyamaume

    Serikali imdhibiti Maulid Kitenge na kundi lake la wahuni wanaojiita Wasafi Jogging Group

    Huyu jamaa Kwa kutambua kwamba nchi Sasa Ina mbululaz wengi wanaojipendekeza Kwa watu maarufu huku wakijiita machawa akaanzisha kundi la kukimbia mchakamchaka barabarani. Mazoezi ni muhimu Kwa afya ya mwili na akili, lakini yasifanywe kihuni, yafanywe mahali sahihi na salama Kwa wafanya mazoezi...
  18. Mjanja M1

    Mbunge wa Viti Maalumu aolewa na Maulid Kitenge

    Mtangazaji nguli wa Michezo Maulid Kitenge amefunga ndoa na mbunge wa Viti Maalum Nusrat Hanje. Harusi hiyo iliyofanyika kwa usiri mkubwa katikati ya wiki iliyopita imeibua mjadala mkubwa kwa kile kinachodaiwa mtangazaji huyo mkongwe kutowaalika marafiki zake wa karibu ambapo watu saba tu ndio...
  19. Erythrocyte

    Freeman Mbowe awatakia Maulid njema Waislam Wote .

    Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , ambaye anajulikana pia kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , amejitokeza hadharani kushiriki pamoja na Watukufu Waislam Mawlid al Nabi , ambayo ni maadhimisho ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad S.A .W Ujumbe wake huu hapa
  20. Boss la DP World

    Maulid Kitenge punguza dharau Brother

    Si mara moja wala mara 2 unapokuwa ukiripoti matukio mbalimbali umekuwa ukitumia lugha za kejeli especially kwa watu wenye mawazo tofauti na yako. Hata kama unatekeleza kazi maalumu hupaswi kudharau watu. Haya, Endelea na lile jukumu letu.
Back
Top Bottom