marathon

The marathon is a long-distance race with an official distance of 42.195 kilometres (26 miles 385 yards), usually run as a road race, but the distance can be covered on trail routes. The event was instituted in commemoration of the fabled run of the Greek soldier Pheidippides, a messenger from the Battle of Marathon to Athens, who reported the victory. The marathon can be completed by running or with a run/walk strategy. There are also wheelchair divisions.
The marathon was one of the original modern Olympic events in 1896, though the distance did not become standardized until 1921. More than 800 marathons are held throughout the world each year, with the vast majority of competitors being recreational athletes, as larger marathons can have tens of thousands of participants.

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Mfalme wa Marathon! Rais Ruto na Raila Odinga wampongeza Eliud Kipchoge

    Mshindi mara mbili wa Olimpiki, Mkenya Eliud Kipchoge, ameshinda kwa kuvunja rekodi yake mwenyewe na kuweka rekodi mpya ya dunia katika mbio za Berlin marathon Jumapili. Akivuka mstari ndani ya saa mbili tu, dakika moja na sekunde tisa aliwahi kwa sekunde 30 kutoka kwenye rekodi yake ya awali...
  2. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Mfalme wa Marathon! Rais Ruto na Raila Odinga wampongeza Eliud Kipchoge

    Bingwa wa mbio za Marathon za Olimpiki mara mbili Eliud Kipchoge ameshinda mbio za Berlin Marathon kwa kuweka rekodi mpya. Kipchoge alishinda mbio hizo kwa kukimbia saa 2:01:09 katika mbio za maili 26.2. Ameshinda rekodi yake ya Dunia kwa tofauti ya sekunde 30 dhidi ya Mark Korir aliyeibuka wa...
  3. Melubo Letema

    JamiiForums Tanzania Kutoka Jumuiya ya Madola : Njaa zinabadili Upepo wa Mbio za Uwanjani Hadi Marathon

    Bofya Hapa Kumsikiliza... Njaa zinabadili upepo wa Riadha Mwanariadha wa Mbio za uwanjani, Mita 5000 ( Track and Field) Faraja Lazaro, ameshauri wahusika wa Riadha, wawekeze kwenye mashindano ya Uwanjani , Pamoja Serikali kuweka fungu Ili Wanariadha wasihame kwenda kwenye Marathon, ambapo Pesa...
  4. simplemind

    JamiiForums Tanzania AfriKa mashariki imenyakua medali zote za Marathon

    Let us share the happiness together.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Marathon kuwapatia Geay, Giniki Shs.161 milioni ikiwa wataibuka washindi Oregon Marekani

    MASHINDANO YA RIADHA YA DUNIA July 16 2022 Eugene, Oregon USA Kama watashinda mbio za marathon za 42km Jumapili ya tarehe 17 July 2022, basi wanariadha wa Tanzania Emanuel Giniki GISAMODA | Profile | World Athletics Emmanuel Giniki 2:10:39' nafasi 200 kwa ubora duniani huku Gabriel Geay...
  6. Melubo Letema

    JamiiForums Tanzania Emanuel Giniki Gisamoda Ashika Nafasi ya kwanza Geneve Marathon (42K), Switzerland Leo.

    Mwanariadha Emanuel Giniki Gisamoda ashika nafasi ya kwanza katika Mbio za Generali Geneve Marathon ( 2:10:39) huko Geneva Switzerland Jumapili 15 Mei 2022 katika kilomita 42, ambapo amewashinda wa Kenya na waethiopia. Giniki ni Mwanariadha pekee anaefanya vizuri katika Riadha hapa nchini...
  7. Melubo Letema

    JamiiForums Tanzania Emanuel Giniki Gisamoda Avunja Rekodi ya Mashindano ya Warsaw Peace Half Marathon huko Poland (1:00:30)Leo.

    Mwanariadha wa Kimataifa wa Riadha Tanzania, Emanuel Giniki Gisamoda Ameshinda Mbio za "Warsaw Peace Half Marathon 2022" kilomita 21 Nchini Poland, Kwa Kutumia Muda wa Saa Moja na sekunde thelathini (1:00:30) iliyodumu Miaka 8 Kwa sekunde kumi na Tisa. Tukumbuke Emanuel Giniki, Mwaka huu...
  8. Melubo Letema

    JamiiForums Tanzania Eliud Kipchoge Ameshinda Tokyo Marathon (2:02:40)

    Mwanariadha wa Kimataifa kutoka Kenya, Eliud Ameshinda Tokyo Marathon Kwa muda 2:02:40 huko Japan, Hadi Sasa Ameshinda Mashindano Makubwa manne (4), anatarajiwa kushiriki Boston Marathon itakayofanyika April 18, 2022 na New York Marathon itakayofanyika November 22, 2022. Picha Kwa hisani ya...
  9. Melubo Letema

    JamiiForums Tanzania Emanuel Giniki ashinda Kilimanjaro Marathon 21K

    Mwanariadha wa kimataifa Emanuel Giniki ashinda Mbio za Kilimanjaro Marathon kwa Nusu Marathon (21K) kwa kutumia Muda wake mzuri Sana (Personal Best) wa 1:00:34 , akifuatiwa na Gabriel Gerald Geay na Inyasi Sulley mashindano yaliyofanyika Moshi, Kilimanjaro na kuhudhuriwa na Waziri mkuu. Japo...
  10. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro marathon ni kesho, kinachoendelea Huko Moshi ni ulevi na ngono usiku huu kesho zawadi zote zinaelekea Kenya

    Watanzania huko Moshi Kilimanjaro Kesho ni washerekeaji tu wa Kilimanjaro marathon . Hawana uwezo wa kupata zawadi Hata moja. Wakenya ninasikia wamekuja wengi wamelala tayari kuanza bio Kesho na kuondoka na zawadi zote. Wabongo ni ulevi usiku kucha na ngono Yakima asubuhi Hakuna cha...
  11. Melubo Letema

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa RT Acheni kuendekeza Njaa, Kwa Kilimanjaro Marathon - Wilhelm Gidabuday

    Unajua, Kilimanjaro Marathon ni mbio kama ilivyo mbio ingine. RT bado ni baba wa Mbio zote nchini Tanzania. Bahati mbaya sana viongozi wengi wa RT kwa njaa zao wamekua wakiwatukuza sana wandaaji wa Kili Marathon mpaka kujishushia heshima zao. Sas hvi baadhi ya viongozi waliopo Kilimanjaro haswa...
  12. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenyan Jepkosgei Wins 2021 London Marathon

    Kenya's Joyciline Jepkosgei on Sunday, October 3, emerged victorious in the 2021 London Marathon. The athlete clocked in at 2 hours 17 minutes 43 seconds smashing the 2 hours, 18 minutes and 20 seconds record set by her compatriot Brigid Kosgei in 2019. Kosgei, the defending champion, sought...
  13. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya washinda medali ya dhahabu na fedha mtawalia kwenye mbio za marathon kule Tokyo

    Kama kawaida Wakenya wanaendelea kukusanya medali kadhaa kule, vipi majirani kunaye anatajika hata kuonekana tu kwenye TV. • Fellow Kenyan Brigid Kosgei took silver and Molly Seidel of the United States took bronze • Battling hot and humid conditions, Chepng'etich dropped out around the 30km...
  14. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Waandaaji Zanzibar International Marathon mlikwama wapi?

    Twende kwenye mada moja kwa moja. Kwanza nawapongeza kwa hatua nyingine baada ya miaka zaidi ya kumi na kenda ya kupotea kwa mbio hizo na mwaka huu kuamua kuzirudisha kwa nguvu. Unapozipa mbio jina la International ina maana unategemea kuwa tofauti na zile za kina Goba, Meru, sijui Ushoroba nk...
  15. Melubo Letema

    JamiiForums Tanzania Alphonce Simbu, Failuna Matanga washinda mbio za BIMA Marathon 2021

    Mwanariadha wa kimataifa, atakaeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Olimpiki Japan mwaka huu Alphonce Felix Simbu ameshinda mbio za BIMA Marathon 21K kwa muda wa (1:02:09), naye mwakilishi pekee wa kike wa mashindano ya Olimpiki Failuna Abdi Matanga ameshinda mbio hizo kwa muda wa (1:16:52)...
  16. Linguistic

    JamiiForums Tanzania Hizi Marathon zinaendeshwa chini ya mamlaka gani na kwa udhibiti wa nani?

    Wakuu habarini za machweo. Kwa muda mrefu nimeona utitiri wa hizi mbio zinazoitwa za marathon ambazo zimeibuka kwa kasi sana kipindi. Sina upingamizi na hizi mbio zao ila ninachotaka kukisema ni kwamba regulation ya hizi marathon is very important. Zinaendeshwa chini ya mamlaka gani na kwa...
Back
Top Bottom