MASHINDANO YA RIADHA YA DUNIA
Kama watashinda mbio za marathon za 42km Jumapili ya tarehe 17 July 2022, basi wanariadha wa Tanzania Emanuel Giniki GISAMODA | Profile | World Athletics Emmanuel Giniki 2:10:39' nafasi 200 kwa ubora duniani huku Gabriel Geay ambaye muda wake 2:04:55' unamuweka ktk nafasi 26 kwa wakimbiaji kasi zaidi dunia, watavuna mamilioni ya pesa kwenye mashindano ya riadha ya dunia yanayofunguliwa leo Ijumaa nchini Marekani.
Kubwa ni kuwa muda ambao wanariadha hao wa Tanzania ktk rekodi zao unawapa nafasi ya kutoa upinzani mkali na hata kuwepo nafasi ya kuibuka na medali ya dhahabu, fedha au Shaba hii ni kutokana na kuhesabika kimichezo na rekodi zao kuwa ni miongoni mwa wanariadha bora duniani wa masafa hayo marefu ya mbio za marathon na lolote linaweza kujitokeza la kuishangaza dunia na taifa la Tanzania,.
Shirikisho la Riadha la dunia (WA) limetangaza kitita cha dola 70,000 kwa bingwa wa mashindano hayo ambayo ni zaidi ya Sh 161 milioni.
Wakimbiaji hao wa mbio za marathon toka Tanzania watashindana na wakimbiaji tajwa bora duniani toka nchi za Ethiopia, Maroc, Kenya, Uganda, Belgium, Eritrea, Republic of South Africa n.k source : Oregon22 | WCH 22 | World Athletics
July 16 2022
Eugene, Oregon USAKama watashinda mbio za marathon za 42km Jumapili ya tarehe 17 July 2022, basi wanariadha wa Tanzania Emanuel Giniki GISAMODA | Profile | World Athletics Emmanuel Giniki 2:10:39' nafasi 200 kwa ubora duniani huku Gabriel Geay ambaye muda wake 2:04:55' unamuweka ktk nafasi 26 kwa wakimbiaji kasi zaidi dunia, watavuna mamilioni ya pesa kwenye mashindano ya riadha ya dunia yanayofunguliwa leo Ijumaa nchini Marekani.
Kubwa ni kuwa muda ambao wanariadha hao wa Tanzania ktk rekodi zao unawapa nafasi ya kutoa upinzani mkali na hata kuwepo nafasi ya kuibuka na medali ya dhahabu, fedha au Shaba hii ni kutokana na kuhesabika kimichezo na rekodi zao kuwa ni miongoni mwa wanariadha bora duniani wa masafa hayo marefu ya mbio za marathon na lolote linaweza kujitokeza la kuishangaza dunia na taifa la Tanzania,.
Shirikisho la Riadha la dunia (WA) limetangaza kitita cha dola 70,000 kwa bingwa wa mashindano hayo ambayo ni zaidi ya Sh 161 milioni.
Wakimbiaji hao wa mbio za marathon toka Tanzania watashindana na wakimbiaji tajwa bora duniani toka nchi za Ethiopia, Maroc, Kenya, Uganda, Belgium, Eritrea, Republic of South Africa n.k source : Oregon22 | WCH 22 | World Athletics