Mwanariadha Gabriel Geay wa Tanzania awa tishio mbio za Boston marathon 17 April 2023

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,321
24,228
Boston, Marekani

MBIO ZA MARATHON BOSTON 2023 - APRIL 17, 2023


GABRIEL GEAY AMALIZA MBIO ZA BOSTON MARATHON 2023 NCHINI MAREKANI NA KUSHIKA NAFASI YA PILI , KONGOLE KWA GABRIEL GEAY !

Evans Chebet of Kenya wins back-to-back Boston Marathons, this time in 2 hours 5 minutes 54 seconds. Gabriel Geay of Tanzania is second 2 hours 6 minutes 4 seconds



1681551953295.png

Picha toka maktaba : Gabriel Geay wa Tanzania akimaliza mbio za mita 10,000 tarehe 24 June 2018

Gabriel Geay mwanariadha toka Tanzania mwenye muda mzuri duniani katika mbio ndefu za marathon aliourekodi wa 2:03:00 (2022 Valencia) anatoa upinzani mkali kwa anayeshikilia rekodi ya dunia Eliud Kipchoge, Evans Chebet wote wakimbiaji mahiri tajwa wa kutoka Kenya na Herpasa Negasa wa Ethiopia katika mbio za jumatatu tarehe 17 April 2023 mjini Boston Marekani.

Mara ya mwisho mbio hizi maarufu za Boston ambapo pia mwenye rekodi ya dunia alishiriki inaonesha kuwa ilikuwa miaka 65 iliyopita yaani mwaka 1954 hivyo mbio za marathon za Boston 2023 zinaangaziwa na manguli wa mbio za marathon kwa ukaribu wa kipekee.

Gabriel Gerald Geay (Alizaliwa Septemba 10,1996) akiibeba bendera ya taifa lake la Tanzania huku akiangaliwa na mamilioni ya wapenzi wa mbio za marathon Live kupitia televisheni duniani kote . Gabriel Gerald Geay ameanzia mbali kabla ya kuingia mbio za masafa marefu kabisa.

Geay ameshindana kwenye viwango vya juu kwenye umbali wa mita 5000 pia kupitia nusu marathoni. Geay alishinda mbio maarufu za barabarani ikiwemo ya Peachtree Road race ya mwaka 2016 na Bolder Boulder mita 10,000 ya mwaka 2017 . Mpaka Julai 2022, Geay alikuwa amepata kiasi cha zaidi ya dola za kimarekani 100,000 kama hela za ushindi.

Notable international entrants

NameCountryPersonal bestComment
Eliud KipchogeKenya2:01:09 (2022 Berlin)Marathon GOAT coming off WR in Berlin
Evans ChebetKenya2:03:00 (2020 Valencia)Won Boston & NYC last year
Gabriel GeayTanzania2:03:00 (2022 Valencia)Coming off pb in Valencia; T-8 all-time
Herpasa NegasaEthiopia2:03:40 (2019 Dubai)2nd 2022 Seoul (2:04:49), DNF Chicago in 2022
Benson KiprutoKenya2:04:24 (2022 Chicago)2021 Boston

Eliud Kipchoge na Boston Marathon 17 April 2023


Source : Boston Marathon Registration | Boston Athletic Association
 
Mahojiano na Kipchoge kuhusu Boston 2023 - Tayari nimetembelea kuangalia mazingira ya mbio hivyo kwangu Tayari nimezikimbia mbio hizi ktk bongo yangu, vitu kama vilima ktk mbio hizi za Boston pia vipo kwetu nchini Kenya hivyo, nipo fiti kabisa

 
Boston Massachusetts
USA

News : balozi wa hiyari BongoZozo | Gabriel Geay Boston Marathon Muhamasishaji Bora - Influencer of the Year na waTanzania waliojitokeza uwanja wa ndege mjini Boston, Massachusetts USA wakimpokea mwanariadha wa mbio za marathon Gabriel Geay

1681558857641.png
 
Muda upi na TV gani itakuwa inaonyesha channel gani kwa Tanzania

Boston time 09:47 hrs + 7= 16:47 Hrs EAT Tanzania


HOW TO WATCH THE RACE ON TV: The race kicks off on Monday, April 17th with a 9:37 a.m. start for the pro men, 9:47 a.m. start for the pro women, and a 10:00 a.m. start for the open race (wheelchair pros kick off a little after 9 a.m.). You can follow the action by downloading the BAA Racing app or online (live tracking link not available yet). The race will be broadcast locally on WCVB (ABC) and around the U.S. on ESPN and the ESPN app.
 
17 April 2023
Boston, Massachusetts
USA

BOSTON 2023 MARATHON: LIVE COVERAGE SOON


Source : TODO DEPORTE
 
17 April 2023
Headlining this year's Marathon, the biggest name in all of Marathon Running Elioud Kipchoge. Two others to watch in the Men's Professional Evans Chebet of Kenya and Tanzania's Gabriel Geay.

This year's Boston Marathon women's elite field is stacked. Among them is first-time Boston runners that could post top times including Lonah Salpeter, Israel's national record holder, Amane Beriso from Ethiopia, and 2022 second place finisher Ethiopian Ababel Yeshaneh, who was just 4 seconds behind the winner.
 
12 min ago
By Cindy Boren
Reporter covering sports breaking news
The elite men’s pack has narrowed to seven lead runners, and Gabriel Geay of Tanzania surged ahead just after the 30-kilometer mark. Eliud Kipchoge is also among the leaders, but is fading a bit, as the runners hit a four-hill stretch (from Mile 17 to 21) that includes Heartbreak Hill

1681745216207.png
 
April 17, 2023, 11:29 a.m. ET5 minutes ago
5 minutes ago
Victor Mather

1681745861043.png


Gabriel Geay puts in a surge, with only Evans Chebet sticking with him. We could be down to two.
 
April 17, 2023, 11:38 a.m. ET3 minutes ago
3 minutes ago
Victor Mather
Training partners Evans Chebet and Benson Kipruto, the two Kenyans considered most likely to win the race besides Kipchoge, are driving side-by-side with two miles to go. Gabriel Geay is trying to hang on.
 
Eliud Kipchoge ashemsha ashindwa kufikia kile dunia ilikuwa inategemea, kongole kwa Gabriel Geay wa Tanzania kwa kuiweka taifa lake ktk vichwa vya habari za michezo duniani kupitia mbio hizi maarufu ndefu za marathon ambapo leo 17 April 2023 wallikuwepo miamba kama Kipchego na wengine wamedondoshwa

Eliud Kipchoge amemaliza nafasi ya sita kwa kutumia masaa mawili: dakika 9 na sekunde 23 (2:09:23)
 
Tunamshukuru Mama Samia kwa huu ushindi wa mwanariadha Geay. CCM iliahidi sasa inatenda.

18 April 2023
Na Global
MTANZANIA ATISHA MAREKANI, ASHINDA MEDALI BOSTON MARATHON, RAIS SAMIA AMWAGIA...
Mtanzania Gabriel Geay amefanikiwa kushika nafasi ya pili katika mbio za Bostoni marathon
 
Boston, Marekani

MBIO ZA MARATHON BOSTON 2023 - APRIL 17, 2023


GABRIEL GEAY AMALIZA MBIO ZA BOSTON MARATHON 2023 NCHINI MAREKANI NA KUSHIKA NAFASI YA PILI , KONGOLE KWA GABRIEL GEAY !

Evans Chebet of Kenya wins back-to-back Boston Marathons, this time in 2 hours 5 minutes 54 seconds. Gabriel Geay of Tanzania is second 2 hours 6 minutes 4 seconds



View attachment 2588500
Picha toka maktaba : Gabriel Geay wa Tanzania akimaliza mbio za mita 10,000 tarehe 24 June 2018

Gabriel Geay mwanariadha toka Tanzania mwenye muda mzuri duniani katika mbio ndefu za marathon aliourekodi wa 2:03:00 (2022 Valencia) anatoa upinzani mkali kwa anayeshikilia rekodi ya dunia Eliud Kipchoge, Evans Chebet wote wakimbiaji mahiri tajwa wa kutoka Kenya na Herpasa Negasa wa Ethiopia katika mbio za jumatatu tarehe 17 April 2023 mjini Boston Marekani.

Mara ya mwisho mbio hizi maarufu za Boston ambapo pia mwenye rekodi ya dunia alishiriki inaonesha kuwa ilikuwa miaka 65 iliyopita yaani mwaka 1954 hivyo mbio za marathon za Boston 2023 zinaangaziwa na manguli wa mbio za marathon kwa ukaribu wa kipekee.

Gabriel Gerald Geay (Alizaliwa Septemba 10,1996) akiibeba bendera ya taifa lake la Tanzania huku akiangaliwa na mamilioni ya wapenzi wa mbio za marathon Live kupitia televisheni duniani kote . Gabriel Gerald Geay ameanzia mbali kabla ya kuingia mbio za masafa marefu kabisa.

Geay ameshindana kwenye viwango vya juu kwenye umbali wa mita 5000 pia kupitia nusu marathoni. Geay alishinda mbio maarufu za barabarani ikiwemo ya Peachtree Road race ya mwaka 2016 na Bolder Boulder mita 10,000 ya mwaka 2017 . Mpaka Julai 2022, Geay alikuwa amepata kiasi cha zaidi ya dola za kimarekani 100,000 kama hela za ushindi.

Notable international entrants

NameCountryPersonal bestComment
Eliud KipchogeKenya2:01:09 (2022 Berlin)Marathon GOAT coming off WR in Berlin
Evans ChebetKenya2:03:00 (2020 Valencia)Won Boston & NYC last year
Gabriel GeayTanzania2:03:00 (2022 Valencia)Coming off pb in Valencia; T-8 all-time
Herpasa NegasaEthiopia2:03:40 (2019 Dubai)2nd 2022 Seoul (2:04:49), DNF Chicago in 2022
Benson KiprutoKenya2:04:24 (2022 Chicago)2021 Boston

Eliud Kipchoge na Boston Marathon 17 April 2023


Source : Boston Marathon Registration | Boston Athletic Association



Gabriel Gerald Geay
Gabriel Gerald Geay mkimbiaji wa mbio za riadha za marathon toka Tanzania naye anaonekana ataingia katika vitabu vya rekodi ya wanariadha walioiletea sifa nchi yake.

Kufuatana na kumbukumbu za chama cha riadha nchini Tanzania RT ambazo zipo mtandaoni, wanariadha wafuatao walifanya vizuri :


i. Filbert Bayi (World Record one mile, World Record 1,500m, 1980 Olympic Silver Medal 3,000m steeplechase)

ii. Suleiman Nyambui ( World Record 5,000m, 1980 Olympic Silver Medal 5,000m)

iii. Col (Ret) Juma Ikangaa (1982 Commonwealth Games Brisbane Australia Silver Medal Marathon, NYC Marathon 1989 Gold Medal, Beijing Marathon 1987, 1988 Gold Medals, Tokyo Marathon 1984, 1986 Gold Medals, Fukuoka Marathon 1986 Gold Medal, Boston Marathon 1988,1989, 1990 Bronze Medals)

iv. Mwinga Mwanjala (1980 Olympics finalist 800m, 1982 Commonwealth Games Brisbane Australia 800m Bronze Medal)

v. Zakaria Barie (1982 Commonwealth Games Brisbane Australia 10,000m Silver Medal)

vi. Gidamis Shahanga (1978 Commonwealth Games Edmonton Canada Marathon Gold Medal, 1982 Commonwealth Games Brisbane Australia 10,000m Gold Medal, Marathon Bronze Medal)

vii. Samwel Mwera (2005 All Africa Games Abuja Nigeria 800m Gold Medal)

viii. Lwiza John (2005 All Africa Games Abuja Nigeria 800m Bronze Medal)

Source : Our Athletes
 
Back
Top Bottom