marafiki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania IGP: Polisi mnaweza kufanya kazi zenu mkiwa marafiki wa Raia wema!

    Jana ilitokea ajali ya polisi kupinduka na gari na wengi waliumia na wengine hali si ya kuridhisha. mmoja amekufa ! RIP. Nimesikitika sana na sijapenda reaction ya wananchi niliowashuhudia around. Wote, wote walikuwa wanashangilia na kutoa negative sympathy kwa majeruhi. Sijapenda. Ukiwauliza...
  2. mcTobby

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ili uweze ku maintain circle ya marafiki zako, lazima uwe na mnafiki

    Huwa naona watu wengi wanapenda kuwa na marafiki. Hilo ni la muhimu . Lakini ili usipoteze baadhi ya marafiki zako ambao mnafaidishana(mutual benefit) itakulazimu uwe mnafiki haswa. Watu wengi walio "Real" na maisha yao hawana circle kubwa ya marafiki.. jaribu kufanya tafiti utagundua tu hili.
  3. Surya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aina Tatu za Marafiki

    1. Rafiki wa maisha (or confidence) ~ Huyu ni rafiki ambae ikitokea mmekua wapenzi basi utajisemea I married my best friend. huyu ni rafiki ambae ukikosea haogopi kukukosoa na kukuelekeza mbele ya uso wako, huyu ni rafiki ambae ukiwa haupo anakusemea mazuri. Anakuwa rafiki yako kwasababu...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Ndugu, jamaa na marafiki

    Ndio code mpya tao!
  5. ngara23

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama haupotezi marafiki kubali kuwa haukui na haujitambui

    Mtu anayejitambua huwa hawi na marafiki walewale muda mrefu ni nadra Marafiki huja na kuondoka kutokana na hali iliyopo kipi mnashirikisha Rafiki akija shukuru na akiamua kuondoka shukuru Watu wanaojitambua hawana marafiki wa muda mrefu, hawa ni rahisi kuwa maadui na mara hupenda kubadilisha...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Peer Pressure: Uliwezaje kuachana na marafiki waliokuzunguka walevi ama kuishi nao bila kutumia vilevi

    Vilevi nikimaanisha pombe, bangi, sigara, nk Mfano unakuta mpo out, mnapiga story au mpo nyumbani Wao wanakunywa na kuvuta
  7. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri Polepole nenda kwa Marafiki zako wa China ondoka Miami kwa mabeberu!

    Ushauri Polepole nenda kwa Marafiki zako wa China ondoka Miami, Florida kwa mabeberu!. Kama kweli walikuwa wanakupenda wakati wa Magu watakupa hifadhi huko. Maama kumbukumbu zinaonyesha ulikuwa kinara wa kupiga kelele na kusema USA ni kwa mabeberu na wakati tukipigania mifumo wewe ulikuwa busy...
  8. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Marekani na Marafiki zake wameishaingia kwenye Mtego wa Iran. Hakuna rangi wataacha kuona

    Iran ilikuwa inafanya kusudi kuruhusu ndege za israel zinazoendeshwa na mademu ziingie kuua viongozi wake na kulipua maeneo ya silaha. Ilikuwa ni makusudi ili Marekani waingie mtegoni. Israel wameharibu sana silaha za Iran. Na maeneo mengi kwa kupiga kimkakati. Si sababu Iran haiwezi zuia. Ila...
  9. Bata batani

    JamiiForums Tanzania Katika marafiki zako kama huna rafiki ambae ukikwama unakosa hata kukusaidia buku 5 au 10 jitafakari sana

    Kama Hawa ndio washikaji zako , Kama ndio Hawa ndo marafiki zako , Ikitokea umekwama una shida unahitaji either buku tano au kumi either ni urgently au sio urgently sasa katika marafiki zako wa karibu ukakosa wa kukupiga tafu .. Aisee jitafakari sana uhusiano wako na marafiki wanaokuzunguka
  10. Adiya5

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Marafiki wa kubadilishana nao mawazo

    Hello watanzania, Nimetokea Facebook, Insta na Tiktok nimekuja Jamiiforums kujifunza mambo mbalimbali na kutengeneza marafiki pia, Nahitaji marafiki makini, wenye akili timamu, wacheshi, wakarimu, wenye uelewa wa mambo ya duniani, wenye fikra pevu, jinsia yoyote, Mimi ni Mwanamke, elimu darasa...
  11. Mrengwa wa kulia

    JamiiForums Tanzania Kipindi cha mazungumzo ya nyuklia na Marekani, Mrusi alileta air defence nyingi sana. Kama zawadi ya kupewa drone za Shaheed

    Naaandika kwa Uchungu na machozi Kipindi cha mazungumzo ya nyuklia na Marekan. Mrusi alileta air defence nyingi sana. Kama zawadi ya kupewa drone za shaheed. Na wakaingia mkataba wa urafiki mkubwa usio na Mipaka. Sasa naona kama bwana mkubwa iran katapeliwa hivi. Tena yale maeneo muhimu...
  12. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Greta na marafiki wanakaribia kufika Nchi Takatifu

    Greta na marafiki wanakaribia Nchi Takatifu. Israel tayari imeamua kwamba Kiherehere maarufu huyo hatafika ufuo wa Gaza. Atapigwa na kitu kizito hukohuko!!
  13. Veteran Sailor

    JamiiForums Tanzania Usiumie wala kuhuzunika pale unapopoteza marafiki

    Habari za wakati huu wana JF.. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada.. Tumekuwa tukisikia au kuona baadhi ya ndugu au rafiki zetu wakilalamika kuwa marafiki zao wamewatenga.. wengine wamebadilika hawawakumbuki tena kama ilivyokuw hapo kabla.. Naomba nikukumbushe kitu katika maisha.. Kawaida...
  14. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Marekani na Ulaya ,iongeze Nguvu na Jitihida kuumaliza Ujamaa na Ushawishi wa wakomonisti Afrika ! Urusi, DPRK,Uchina kua Marafiki wa CCM ni HATARI !!

    Utekaji, Mauaji yanayoendelea nchini ni Kwa sababu ya Hakikisho la Uungaji mkono linaloendelea kutoka UCHINA, URUSI, NA DPRRK na Nchi wenye mlengo wa Ujamaa !!. Maana yake nini ? CCM inaenda kua Chama chenye kiburi kikubwa sana kupitia hayo Mataifa, in turn Uranium itaenda Urusi kwa mikataba ya...
  15. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta marafiki

    Natafuta marafiki aliye tayari tuwasiliane pm.
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania Nchi zilizoendela zinaonyesha kuwa na upweke sana na marafiki zao ni wanyama wa kufuga majumbani

    Kama usafiri unaweza kubisha hii mada. Wenzetu unaweza kuwa na jirani na wala msiwe na urafiki na mazoea. Nchi zilizoendelea ni ngumu sana kuwa na mazoea ya kulazimishana na urafiki kama huku afrika. Ndio maana wanaruhusiwa kumiliki bunduki wajikinge na CCm wasiojulikana. Wenzetu wameona...
  17. Moto wa volcano

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa mlio oa / kuolewa badilisha lifestyle ya kuishi na marafiki

    Kwa mlio oa / kuolewa , weka mipaka ya marafiki kuizoea nyumba yako , inatosha kukutana viwanja na marafiki sio kuweka vijiwe vya soga nyumbani kwako . Kuna aina ya lifestyle unatakiwa kuibadilisha ukishaingia kwenye maisha ya ndoa
  18. Rorscharch

    JamiiForums Tanzania Unakuaje Mtu Mzima Katika Kundi Lako la Marafiki Kila Ukiambiwa Usimamie Ishu Fulani Hata 2000 Kila Siku Huna

    Tunaelekea wapi kama wanaume? Kuna kundi la wanaume ambao kwa namna ya kushangaza wamezoea kuishi ndani ya unyonge—unyonge wa kutokuwa na hata shilingi mfukoni. Hali ni mbaya kiasi kwamba hata mtu ambaye humjui binafsi, ukimuangalia tu unajisikia kero. Kwa nini? Kwa sababu umaskini wake...
  19. D

    JamiiForums Tanzania Nawezaje Kutengeneza Marafiki?

    Wakuu habari zenu na wale wakristo heri ya Pasaka. Niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi ni mtu ambaye kazi zangu nyingi nazifanyia ndani nikiwa peke yangu na ninaoshiriikiana nao wengi ni foreigners hivyo kazi tunazifanya na kuzifuatilia kupitia Slack, Hubstaff, Jira n.k. Huku tukishiriki sana...
  20. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Achana na Marafiki wenye Njaa

    Njaa ninayoizungumzia hapa ni Tamaa, sio Njaa ya chakula.... Njaa ndio inawafanya hao unaowaita marafiki zako wawe wanafiki kwako, njaa ndio inaowafanya hao uwapendao wakusaliti na matatizo yako au shida zako wazigeuze fursa kwao. Kwa sababu ya pesa wauze utu wako, na wakudharirishe badala ya...
Back
Top Bottom